Baada ya Diamond Platnumz, Vodacom wamemchukua Millard Ayo

Sunbae

JF-Expert Member
Sep 14, 2015
254
176
Kampuni ya Mawasiliano nchini Vodacom Tanzania imeingia ushirikiano wa kibiashara na mtangazaji Millard Ayo. Millard na Vodacom wameingia makubaliano hayo mapema mwezi Juni mwaka huu na jana tarehe 2.7.2016 ushirikiano huo ulitangazwa rasmi.

Haijaeleweka ni kiasi gani atakuwa analipwa Millard Ayo na kandarasi hiyo ni ya myda gani lakini inasemekana ni mzigo wa maana, kwa lugha rahisi ni kwamba Millard amepewa hela ili awe anafanya matangazo ya Vodacom pekee, hivyo hatofanya matangazo ya kampuni nyingine yoyote ya mawasiliano nchini.

"Nimempata mtu wangu wa nguvu ambaye nimekuwa nikimtafuta kwa muda mrefu sasa. Pamoja tutafika nae mbali sana na leo nafuraha kukujulisha kuwa Vodacom Tanzania ndio mtu wangu wa nguvu kabisa. Na hakuna shaka maisha ni murua tukiwa pamoja. #BetterTogether"

Hii hapa chini ni video ambayo Millard kaipandisha jana kwenye ukurasa wake.

 
Makonda aongea hivi,aongea vile ndo habari kubwa kwake na magazeti
 
Kampuni ya Mawasiliano nchini Vodacom Tanzania imeingia ushirikiano wa kibiashara na mtangazaji Millard Ayo. Millard na Vodacom wameingia makubaliano hayo mapema mwezi Juni mwaka huu na jana tarehe 2.7.2016 ushirikiano huo ulitangazwa rasmi.

Haijaeleweka ni kiasi gani atakuwa analipwa Millard Ayo na kandarasi hiyo ni ya myda gani lakini inasemekana ni mzigo wa maana, kwa lugha rahisi ni kwamba Millard amepewa hela ili awe anafanya matangazo ya Vodacom pekee, hivyo hatofanya matangazo ya kampuni nyingine yoyote ya mawasiliano nchini.

"Nimempata mtu wangu wa nguvu ambaye nimekuwa nikimtafuta kwa muda mrefu sasa. Pamoja tutafika nae mbali sana na leo nafuraha kukujulisha kuwa Vodacom Tanzania ndio mtu wangu wa nguvu kabisa. Na hakuna shaka maisha ni murua tukiwa pamoja. #BetterTogether"

Hii hapa chini ni video ambayo Millard kaipandisha jana kwenye ukurasa wake.


Hongera kwake kwa kupiga hela.
 
Back
Top Bottom