Kasu
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 382
- 282
Anaitwa TUDD THOMAS, Band Manager wa WCB kwa sasa.Kalori ni tofauti na singeli, alafu mie namkubali sana producer wa saida, ana beats fulani hivi nzito za kitamaduni na kipekee.
Anaitwa TUDD THOMAS, Band Manager wa WCB kwa sasa.Kalori ni tofauti na singeli, alafu mie namkubali sana producer wa saida, ana beats fulani hivi nzito za kitamaduni na kipekee.
Redio ya kihayami niko tofauti na wengi sana kuhusu saida hivi kipi kinakufanya ushabikie mziki wa saida au mziki wa kihaya???
Daily media zinahamasisha matumiz ya kiswhil ila leo promo kubwa ni kwa mwanamziki mhaya lugha had swag ni mhaya,
TUKUMBUKE TUNAYOYATOLEA MISHIPA
Wanakamatia fursa.Wanataka kumpuna tena kama kipindi kileeee
Umejuaje,???!Umuofia kwenu wakulu,
Baada ya Clouds kumpa promo ya nguvu Saida Karoli na kumrudisha kwenye gemu ya muziki kwa kishindo,inasemakana lakini, E-Fm ya Dar nayo imepanga kumrudisha Mr. Nice!
Wenye wivu wajinyonge... acha wivu mkuu!mi niko tofauti na wengi sana kuhusu saida hivi kipi kinakufanya ushabikie mziki wa saida au mziki wa kihaya???
Daily media zinahamasisha matumiz ya kiswhil ila leo promo kubwa ni kwa mwanamziki mhaya lugha had swag ni mhaya,
TUKUMBUKE TUNAYOYATOLEA MISHIPA
The strongest man is the one who stands alone!!! Ila punguza chuki kwa wahayami niko tofauti na wengi sana kuhusu saida hivi kipi kinakufanya ushabikie mziki wa saida au mziki wa kihaya???
Daily media zinahamasisha matumiz ya kiswhil ila leo promo kubwa ni kwa mwanamziki mhaya lugha had swag ni mhaya,
TUKUMBUKE TUNAYOYATOLEA MISHIPA
Ukisema hivi utawataka akina Celine Dion, Gladys Knight and the like watundike madaluga...mpe nafasi..Saida apumzike umri umemtupa mkono
Mkuu na wewe imba taarabu yako kwa kisukuma hakuna aliyekukataza.mi niko tofauti na wengi sana kuhusu saida hivi kipi kinakufanya ushabikie mziki wa saida au mziki wa kihaya???
Daily media zinahamasisha matumiz ya kiswhil ila leo promo kubwa ni kwa mwanamziki mhaya lugha had swag ni mhaya,
TUKUMBUKE TUNAYOYATOLEA MISHIPA
Hivi kweli sauti yake imeshazeeka?Saida apumzike umri umemtupa mkono
Vipi kuhusu wanAoshabikia nyimbo za kingeleza....mi niko tofauti na wengi sana kuhusu saida hivi kipi kinakufanya ushabikie mziki wa saida au mziki wa kihaya???
Daily media zinahamasisha matumiz ya kiswhil ila leo promo kubwa ni kwa mwanamziki mhaya lugha had swag ni mhaya,
TUKUMBUKE TUNAYOYATOLEA MISHIPA
Haijazeeka kihivyo, ila kama ameamua kukomaa akomae haswaHivi kweli sauti yake imeshazeeka?
Sawa aiseeUkisema hivi utawataka akina Celine Dion, Gladys Knight and the like watundike madaluga...mpe nafasi..