Tetesi: Baada ya Clouds kumpa promo ya nguvu Saida Karoli, E FM nao kumtoa Mr. Nice

mi niko tofauti na wengi sana kuhusu saida hivi kipi kinakufanya ushabikie mziki wa saida au mziki wa kihaya???

Daily media zinahamasisha matumiz ya kiswhil ila leo promo kubwa ni kwa mwanamziki mhaya lugha had swag ni mhaya,
TUKUMBUKE TUNAYOYATOLEA MISHIPA
Redio ya kihaya
 
mi niko tofauti na wengi sana kuhusu saida hivi kipi kinakufanya ushabikie mziki wa saida au mziki wa kihaya???

Daily media zinahamasisha matumiz ya kiswhil ila leo promo kubwa ni kwa mwanamziki mhaya lugha had swag ni mhaya,
TUKUMBUKE TUNAYOYATOLEA MISHIPA
Wenye wivu wajinyonge... acha wivu mkuu!
 
mi niko tofauti na wengi sana kuhusu saida hivi kipi kinakufanya ushabikie mziki wa saida au mziki wa kihaya???

Daily media zinahamasisha matumiz ya kiswhil ila leo promo kubwa ni kwa mwanamziki mhaya lugha had swag ni mhaya,
TUKUMBUKE TUNAYOYATOLEA MISHIPA
The strongest man is the one who stands alone!!! Ila punguza chuki kwa wahaya
 
mi niko tofauti na wengi sana kuhusu saida hivi kipi kinakufanya ushabikie mziki wa saida au mziki wa kihaya???

Daily media zinahamasisha matumiz ya kiswhil ila leo promo kubwa ni kwa mwanamziki mhaya lugha had swag ni mhaya,
TUKUMBUKE TUNAYOYATOLEA MISHIPA
Mkuu na wewe imba taarabu yako kwa kisukuma hakuna aliyekukataza.
 
mi niko tofauti na wengi sana kuhusu saida hivi kipi kinakufanya ushabikie mziki wa saida au mziki wa kihaya???

Daily media zinahamasisha matumiz ya kiswhil ila leo promo kubwa ni kwa mwanamziki mhaya lugha had swag ni mhaya,
TUKUMBUKE TUNAYOYATOLEA MISHIPA
Vipi kuhusu wanAoshabikia nyimbo za kingeleza....
 
Imesikia pia Inspekta Haroun atapewa promo na Radio One huku Juma Nature akiandaliwa promo na TBC fm
 
ila nguvu ya media bana c mchezo kabisa kama hadi saida kasimama tena basi hata mr takeu inaezekana kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom