pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,274
- 3,075
Nimekuja muji wa daudi week sasa saida anapiga wapi hiyo show nikayarudi manyanga kabla sija rudi sumbakalesa
Hee! Mhhhh vipi mkuu,unamatatizo na lugha za asili?mi niko tofauti na wengi sana kuhusu saida hivi kipi kinakufanya ushabikie mziki wa saida au mziki wa kihaya???
Daily media zinahamasisha matumiz ya kiswhil ila leo promo kubwa ni kwa mwanamziki mhaya lugha had swag ni mhaya,
TUKUMBUKE TUNAYOYATOLEA MISHIPA
Umuofia kwenu wakulu,
Baada ya Clouds kumpa promo ya nguvu Saida Karoli na kumrudisha kwenye gemu ya muziki kwa kishindo,inasemakana lakini, E-Fm ya Dar nayo imepanga kumrudisha Mr. Nice!
No Josee..kiumri sawa but sio prob kwa kuimba bado yuko foti asee..Saida apumzike umri umemtupa mkono
aisee... changamoto za game ya sasa hivi ataziweza?No Josee..kiumri sawa but sio prob kwa kuimba bado yuko foti asee..
Twende woteNapenda sana sauti yake inatoka crystal clear neno kwa neno,i cant wait to see her tomorrow
Source:Tomato sauceaaagh kumbe inasemekana tu,habari hii imetoka kwenye chanzo cha habari kisichoaminika..
Kweli aiseeSaida apumzike umri umemtupa mkono
Kula like yanguClouds wamedandia gari tu ,saida karudishwa na Diamond baada ya kurudia wimbo wa chambua kama kalanga ,kwaiyi clouds wamechangamkia fulsa tu
Saida yuko vizur ni mwanamuziki ila promo anayopata na game la sasa sidhan ka ataweza himili wanamtwika mzigo mkubwa ambao hawezi yuko lakin kwa sasa nafasi yake haipo,,,,,,, ka mnakumbuka hao mawingu walishikia bendera singeli hadi akina man fongo wakatamba kutaka kuupeleka muziki huo nje kwa kupewa promo kubwa sasa wako wapi,,,,,,, hata saida hatodum atabaki kurudia nyimbo zake na kuzidisha mi makeups ili aonekane binti ila kachoka,,,,,,wakat ukuta