Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 244
Hapa JF kulikuwa na tuhuma kuwa CHADEMA ni chama cha kaskazini tu tena cha kidini lakini baada ya chedema kwenda kusini na kudhihirisha kuwa kimekubalika kila pande ya nchi tuhuma hizo hatuzioni tena hapa JF, watu bila shaka wameona ukweli wa chama hiki na jinsi kinavyopendwa nchi nzima.
Sasa nawaomba pia CCM waende kaskazini mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara wakafanye mikutano kama walivyofanya Jangwani.
Waende CHADEMA SQUIRE ya Arusha (NMC) wakashushe swaga pale wawavue watu magwanda na magamba tuone.
Sasa nawaomba pia CCM waende kaskazini mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara wakafanye mikutano kama walivyofanya Jangwani.
Waende CHADEMA SQUIRE ya Arusha (NMC) wakashushe swaga pale wawavue watu magwanda na magamba tuone.