Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,871
- 33,364
Lini wameungana? Walitangaza lini?Kwaiyo hii sheria inatuhusu, hadi sisi Ccm tulioungana na cuf na Nccr?
Lini wameungana? Walitangaza lini?Kwaiyo hii sheria inatuhusu, hadi sisi Ccm tulioungana na cuf na Nccr?
Mnajitekenya wenyewe halafu mnacheka wenyeweHilo Mbowe hatokubali!
Aisee, mm nlimsikia Mrema wa Tlp kuwa anashilikiana na ccmLini wameungana? Walitangaza lini?
Hivi Ukawa ilikuwa bado ipo?
Je, vyama vilivyoshirikiana na ukawa vilikuwa vinafaidi matokeo ya ukawa?
Msajili hakusema atawazuia kuungana, ila waungane kwa makubaliano ya kimaandishi,Ado Shaibu amesema wao (ACT-Wazalendo) wataungana na vyama vinavyohitaji kufanya hivyo na huyo msajili hana uwezo wa kuwazuia.
Mlikipa tlp sh ngapi kwa kumuunga mkono magufuli.Katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020 vyama vitakavyotaka kushirikiana ni lazima viingie mkataba wa kisheria na kuweka wazi maeneo ya ushirikiano wao.
Msajili msaidizi mh Nyahuza amesema uchaguzi wa mwaka 2015 uliacha vidonda baada ya chama kimoja kilichoungwa mkono kupitia UKAWA kuvisahau vyama vingine kiruzuku baada ya uchaguzi.
Msajili amesema baadhi ya vyama vililalamika kuwa chama kikuu cha upinzani kilipata wabunge wengi na kura nyingi za urais kutokana na uungwaji mkono na vyama vilivyounda UKAWA na hivyo kupokea mgao mkubwa wa ruzuku kutoka serikalini
Katika utaratibu mpya ni lazima ielezwe vyama shirika vitanufaikaje na ushirikiano huo na lazima iwekwe kisheria, amesisitiza msajili Nyahuza.
Source ITV
Maendeleo hayana vyama!
Sisi ccm tumeungana na tlp na UDP watamuunga mkono jiwe lkn kwenye ruzuku hawalambi hata mia na msajili wa vyama hatutafanya chochote make kateuliwa na mwenyekiti wetu, hiyo sheria ni kwa ajili ya chadema na ACT make wametukalia kooni hatupumui
Nccr washaungana na CCM sasa.CHADEMA wakubali NCCR wafanyiwe kama walivyofanyiwa wao 2015 ili Ukawa irudi, tuna Imani na Mbatia.Ni ushauri tu
Naunga mkono hojaCHADEMA wakubali NCCR wafanyiwe kama walivyofanyiwa wao 2015 ili Ukawa irudi, tuna Imani na Mbatia.Ni ushauri tu
Kwa hiyo CHADEMA iungane na CCM? Maana nccr tayari keshasaini MOA na ccm!CHADEMA wakubali NCCR wafanyiwe kama walivyofanyiwa wao 2015 ili Ukawa irudi, tuna Imani na Mbatia.Ni ushauri tu
Tlp, udp, inabidi wanufaike na ushirika wao na ccm, wadhulumiwa sana na ccm kwenye ruzukuKatika uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020 vyama vitakavyotaka kushirikiana ni lazima viingie mkataba wa kisheria na kuweka wazi maeneo ya ushirikiano wao.
Msajili msaidizi mh Nyahuza amesema uchaguzi wa mwaka 2015 uliacha vidonda baada ya chama kimoja kilichoungwa mkono kupitia UKAWA kuvisahau vyama vingine kiruzuku baada ya uchaguzi.
Msajili amesema baadhi ya vyama vililalamika kuwa chama kikuu cha upinzani kilipata wabunge wengi na kura nyingi za urais kutokana na uungwaji mkono na vyama vilivyounda UKAWA na hivyo kupokea mgao mkubwa wa ruzuku kutoka serikalini
Katika utaratibu mpya ni lazima ielezwe vyama shirika vitanufaikaje na ushirikiano huo na lazima iwekwe kisheria, amesisitiza msajili Nyahuza.
Source ITV
Maendeleo hayana vyama!