Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
CCM chini ya JPM tunaomba iendelee na moto huu huu katika kuisimamia serikali. Ni wazi kuwa nchi hii ilikuwa imeharibika sana kiasi cha kufanya kila mwenye pesa alikuwa na uwezo wa kumfaya maskini chochote.
CHADEMA walisaidia sana kelele na kauli mbiu yao ya VUA GAMBA UVAE GWANDA, ni kweli gwanda za CHADEMA zilikuwa na heshima mitaani kipindi hicho.
CHADEMA wakabweteka, wakaanza kubaguana, na kudharauiana kiasi cha kufikia chama kuwapokea na kuwasafisha na baadae kuwapa kugombea urais jambo ambalo liliwapa nafasi kujipanga upya na kurudisha heshima ya kuvaa nguo za kijani mitaani. Nasasa chadema siyo habari tena ktk nchi hii.
Baada ya chadema nulidhani ACT watajitahidi kurudisha heshima ya vyama vya siasa tanzania .
Lakini nimechunguza siasa na viongozi wa vyama hivi nikagundua ACT nao wamekuja kibiashara kupitia mgongo wa siasa km kosa walilolifanya Chadema baada ya kuaminiwa.
Kiongozi mkuu wa ACT tetesi zilizopo nikwamba amefanya makubariano na maalim seif kuchukua 50% ya rudhuku ya chama akiwa na mtaji wa wabunge wengi kutoka zanziber.
Zitto cyo mwanasiasa wa ukombozi, Zitto anasadikiwa ni CCM pia!
Membe hilo najua mpaka kesho membe ni mwana CCM, ila wajinga ndio waliwao.
Usitangetange baki njia kuu, tanzania tuna chama kimoja tu! Nacho ni CCM.
Nashauri kipatkane chama kipya cha siasa ambacho kitatengeneza wanasiasa wake kusukuma siasa na maendereo ya nchi hii baada ya jpm kumaliza mda wake, maana siamini km tutapata rais kama yeye tena.
CHADEMA walisaidia sana kelele na kauli mbiu yao ya VUA GAMBA UVAE GWANDA, ni kweli gwanda za CHADEMA zilikuwa na heshima mitaani kipindi hicho.
CHADEMA wakabweteka, wakaanza kubaguana, na kudharauiana kiasi cha kufikia chama kuwapokea na kuwasafisha na baadae kuwapa kugombea urais jambo ambalo liliwapa nafasi kujipanga upya na kurudisha heshima ya kuvaa nguo za kijani mitaani. Nasasa chadema siyo habari tena ktk nchi hii.
Baada ya chadema nulidhani ACT watajitahidi kurudisha heshima ya vyama vya siasa tanzania .
Lakini nimechunguza siasa na viongozi wa vyama hivi nikagundua ACT nao wamekuja kibiashara kupitia mgongo wa siasa km kosa walilolifanya Chadema baada ya kuaminiwa.
Kiongozi mkuu wa ACT tetesi zilizopo nikwamba amefanya makubariano na maalim seif kuchukua 50% ya rudhuku ya chama akiwa na mtaji wa wabunge wengi kutoka zanziber.
Zitto cyo mwanasiasa wa ukombozi, Zitto anasadikiwa ni CCM pia!
Membe hilo najua mpaka kesho membe ni mwana CCM, ila wajinga ndio waliwao.
Usitangetange baki njia kuu, tanzania tuna chama kimoja tu! Nacho ni CCM.
Nashauri kipatkane chama kipya cha siasa ambacho kitatengeneza wanasiasa wake kusukuma siasa na maendereo ya nchi hii baada ya jpm kumaliza mda wake, maana siamini km tutapata rais kama yeye tena.