Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani Rivers hawataki kuchukua kombe?!!.. Unadhani Rivers ni Masikini namna hiyo?!!..Mnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.
Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
HahahaaaaMnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.
Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
Una undugu na the late Yonah Fares Maro?Unadhani Rivers hawataki kuchukua kombe?!!.. Unadhani Rivers ni Masikini namna hiyo?!!..
njoo ujibu kunya. nani akushobokee?!!unadhani unaweza kufanya kila mtu humu fala?Sijakulazimisha uufungue na Uusome tafadhali na acha kunilazimisha nikujibu Kunya ( Hovyo ) uanze Kuichukia rasmi hi ID sawa? Endelea tu Kushoboka nami Kiboya!
tupe feedback ya 2b! hili ni jukwaa huru ila punguza tantalila za kufanya kila mtu boya humuKwani ni lini labda uliachana nao Ufala?
Feedback iliyoko ni ya Wewe kuwa Fool.tupe feedback ya 2b! hili ni jukwaa huru ila punguza tantalila za kufanya kila mtu boya humu