Hivi chama unadhani kuna mtu anayeweza kufanya jambo lolote Tanzania Polisi au TISS wasijue? la hasha, ukiona hawasemi au kujifanya hawakugundua siyo kwamba kweli hawakugundua bali wapo wenzao waliohusika wanamfichia siri au wamepewa chochote kuna maslahi. Usijidanganye hata siku moja.Mkuu hayo ni maneno kutoka kwenye kinywa chake tunataka ushahidi; yeye kama ni mkweli na aje uthibitisho tunachokataa asije akakutwa na kosa la kuvunja sheria akadai ni njama za serikali.
Chama
Gongo la mboto DSM