Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Habari zinatanabaisha kutokea jiji la Arusha kuwa kuna mbinu zakumtoa naibu meya wa jiji la Arusha kwa figisu ambapo madiwani wa jiji hilo la Arusha kupitia ccm hawafiki akidi inayotakiwa licha ya wale waliosaliti kwa ulafi wa kipande cha samaki na kunenepesha Ngo'mbe Mnadani baado idadi yao ni ndogo ukilinganisha na akidi ya Madiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mbinu inayosemwa kutumika ni Polisi kuingilia mkutano huo nakua wasimamizi wa kura hizo mpaka kwenye kuhesabu Mwakilishi wa Mwanahabari Huru anayewakilisha Jiji hilo atatuletea habari zaidi