Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
hapa bwana nape umefuka, mmeshindwa kutekeleza uvuaji gamba na gamba linawavuka ninyi!lakini pia tutawaomba wananchi watuunge mkono na kutuamini katika utekelezaji wa maamuzi na ushauri wetu.
sijui hawa viongozi waccm wanafikilia nini??
Gamba mlilosema lazima mlitoe hamlitoi matokeo yake ndo haya mnayoyapata!