concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 1,413
- 1,763
Naomba msiniulize kwanini, ila jueni tu baada ya bureau mnaofuata ni nyinyin hapo maana inasemekana sasa hivi watu wamebadili style ya kuchange pesa.
Kuna watu kibao baada ya kushindwa kuhamisha mitaji yao kwa kuchange hela ili wasepe wamehamia kwenye kubadilishana madini.
Iko hivi mtu ananunua dhahabu toka Msumbiji au mkoani sasa na mara nyingi tumekuwa tukiuza kwa masonara. Sasa baadhi ya masonara sasa hiv wanapokea pesa toka kwa matajiri ili inapotokea madini yameletwa aweze kununua na kusepa zake.
Sasa muheshiwa roho mpenda vyote ashazipata habar zenu, anasubir upepo tu ila siku yenu yaja ambapo tutapita tunawanyanganya hizo almasi zenu na hakuna kuandikiana.
Sasa jifanyeni hamsikii wakat sisi hatuna pesa ya uchaguzi.
Kuna watu kibao baada ya kushindwa kuhamisha mitaji yao kwa kuchange hela ili wasepe wamehamia kwenye kubadilishana madini.
Iko hivi mtu ananunua dhahabu toka Msumbiji au mkoani sasa na mara nyingi tumekuwa tukiuza kwa masonara. Sasa baadhi ya masonara sasa hiv wanapokea pesa toka kwa matajiri ili inapotokea madini yameletwa aweze kununua na kusepa zake.
Sasa muheshiwa roho mpenda vyote ashazipata habar zenu, anasubir upepo tu ila siku yenu yaja ambapo tutapita tunawanyanganya hizo almasi zenu na hakuna kuandikiana.
Sasa jifanyeni hamsikii wakat sisi hatuna pesa ya uchaguzi.