Baada ya bureau de change masonara mjiandae kupokwa

concordile 101

JF-Expert Member
Oct 13, 2013
1,413
1,763
Naomba msiniulize kwanini, ila jueni tu baada ya bureau mnaofuata ni nyinyin hapo maana inasemekana sasa hivi watu wamebadili style ya kuchange pesa.

Kuna watu kibao baada ya kushindwa kuhamisha mitaji yao kwa kuchange hela ili wasepe wamehamia kwenye kubadilishana madini.

Iko hivi mtu ananunua dhahabu toka Msumbiji au mkoani sasa na mara nyingi tumekuwa tukiuza kwa masonara. Sasa baadhi ya masonara sasa hiv wanapokea pesa toka kwa matajiri ili inapotokea madini yameletwa aweze kununua na kusepa zake.

Sasa muheshiwa roho mpenda vyote ashazipata habar zenu, anasubir upepo tu ila siku yenu yaja ambapo tutapita tunawanyanganya hizo almasi zenu na hakuna kuandikiana.

Sasa jifanyeni hamsikii wakat sisi hatuna pesa ya uchaguzi.
 
Sonara msilaumu kuwa hamkutarifiwa. Hii ni taarifa rasimi kwenu.
Kwa sasa nimeamini jamii forumu ni kokoro linalovua kila aina ya viumbe wa majini. Maana kila aina ya habari utazipata hapa. Hii habari ni ya ukweri namna matajiri wanayotorosha pesa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilidhani baada ya kufunga bureau de change shilingi itapanda dhamani sasa naona maruwe ruwe

Labda achukuwe ushauri huo hapo chini utamfaa ili tuwe donor cantreee
IMG_20190315_133814.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba msiniulize kwanini, ila jueni tu baada ya bureau mnaofuata ni nyinyin hapo maana inasemekana sasa hivi watu wamebadili style ya kuchange pesa.

Kuna watu kibao baada ya kushindwa kuhamisha mitaji yao kwa kuchange hela ili wasepe wamehamia kwenye kubadilishana madini.

Iko hivi mtu ananunua dhahabu toka Msumbiji au mkoani sasa na mara nyingi tumekuwa tukiuza kwa masonara. Sasa baadhi ya masonara sasa hiv wanapokea pesa toka kwa matajiri ili inapotokea madini yameletwa aweze kununua na kusepa zake.

Sasa muheshiwa roho mpenda vyote ashazipata habar zenu, anasubir upepo tu ila siku yenu yaja ambapo tutapita tunawanyanganya hizo almasi zenu na hakuna kuandikiana.

Sasa jifanyeni hamsikii wakat sisi hatuna pesa ya uchaguzi.
Mwenye kusikia na asikie ....!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom