Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 21,993
Kweli mjini shule
jamani wakati taarifa ya kutaka kujitoa kwenye soko
la maafuta tanzania wengine tumeisikia leo hii
Meli kubwa iitwayo MT PLADDER ikiwa na mafuta shede ya ndege
imerudishwa kurudi bahrain baada ya kuleta mafuta ya ndege ambayo baaya ya kupimwa na TBS yamekutwa hayana kiwango kabisa...ndipo ilipoamuriwa kurejeshwa.....
kazi kweli kweli
tanzania dampo la waungwana
jamani wakati taarifa ya kutaka kujitoa kwenye soko
la maafuta tanzania wengine tumeisikia leo hii
Meli kubwa iitwayo MT PLADDER ikiwa na mafuta shede ya ndege
imerudishwa kurudi bahrain baada ya kuleta mafuta ya ndege ambayo baaya ya kupimwa na TBS yamekutwa hayana kiwango kabisa...ndipo ilipoamuriwa kurejeshwa.....
kazi kweli kweli
tanzania dampo la waungwana