Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,446
- 16,300
Belarus walikuwa kwenye kundi moja na hizi nchi 6 zilizowekewa masharti jana ya kusafiri na kuishi nchini Marekani, mwanzo kabisa tetesi zilikuwa nchi 7 ndizo zitawekewa vikwazo ikiwemo Belarus.
Lakini jana ilipotoka taarifa ya nchi zilizowekewa vikwazo, Belarus haikuwemo na hatimaye leo watatembelewa na US Secretary of States mwenyewe bwana Mike Pompeo.
Pia hii inakuja baada ya miaka 25 ya Belarus kutotembelewa na kiongozi yoyote mkubwa wa Marekani. Katika ziara yake anatarajiwa kukutana na rais wa Belarus, Bwana Lukashenka pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje Bwana Makei.
Lakini jana ilipotoka taarifa ya nchi zilizowekewa vikwazo, Belarus haikuwemo na hatimaye leo watatembelewa na US Secretary of States mwenyewe bwana Mike Pompeo.
Pia hii inakuja baada ya miaka 25 ya Belarus kutotembelewa na kiongozi yoyote mkubwa wa Marekani. Katika ziara yake anatarajiwa kukutana na rais wa Belarus, Bwana Lukashenka pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje Bwana Makei.