Na kweli hata mi nimeusikia mchana huu kwenye xxl,nikaushangaaa!maana ulinikumbusha nyimbo za jaiving enzi hizo primarymay be hakumaanisha wafu fm, maana kwa muda nilioisikiliza leo wamepiga wimbo wake wa joto hasira mara 3
Na kweli hata mi nimeusikia mchana huu kwenye xxl,nikaushangaaa!maana ulinikumbusha nyimbo za jaiving enzi hizo primary
Mh who iz Ruge? Tafadhali
Heheheeeee duh!nachukulia kuwa hujui ulichokiandika a.k.a vidole havikushirikisha viungo vingine vya mwili ikiwemo kichwa/ubongo
mbona hata tv anayo wewe huangaliagi diary ya LJD nini sii tv yake hiyo..
Yaaa nakumbuka kunasiku nilikaa na broo G aliniahidi hii kitu ipo
heeeeeeeeeeee watu wengine bwana,hiyo redio redio gani kwamba wao masaa 24 awe anapiga nyimbo zakeeeeee tu,where on earth have you seen that