Baada ya Ballali kufariki WHO'S NEXT??

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
May 9, 2007
3,832
2,790
Baada ya kuwa na tetesi kuhusu chanzo cha kifo cha Ballali ambapo tangu nijiunge na JF nimekuwa nikisoma kwamba huyu marehemu walim-poison muda mrefu baada ya harakati za kuvuna fedha pale BoT kukamilika. Nimeingiwa na hisia kwamba there must another as target wa kufuta ushahidi kiaina kama alivyofanya Ballali. Kama kawaida humu JF ambapo mambo mengi yamekuwa yakiibuliwa bila shaka kuna mwenye taarifa juu ya mlolongo wa wale wanaotakiwa kufuta ushahidi kwa mtindo wa Ballali. Karibu tusemezane.
 
Baada ya kuwa na tetesi kuhusu chanzo cha kifo cha Ballali ambapo tangu nijiunge na JF nimekuwa nikisoma kwamba huyu marehemu walim-poison muda mrefu baada ya harakati za kuvuna fedha pale BoT kukamilika. Nimeingiwa na hisia kwamba there must another as target wa kufuta ushahidi kiaina kama alivyofanya Ballali. Kama kawaida humu JF ambapo mambo mengi yamekuwa yakiibuliwa bila shaka kuna mwenye taarifa juu ya mlolongo wa wale wanaotakiwa kufuta ushahidi kwa mtindo wa Ballali. Karibu tusemezane.

bubu `jamaa kawa 'poisoned' au 'ni kaugua kwa muda mrefu'?
 
Lakini kuna maswali mngi zaidi ya kujiuliza kuhusu kifo chake. Ni kweli kafa? Kwa nini ichukue siku nne ndiyo itangazwe? Kwa nini BoT walijua kifo chake toka mapema na wakashindwa kusema? Kwa nini azikwe Marekani? Mimi ni Tomaso mpaka nitakaoona maiti yake na itakapochunguzwa na kupimwa DNA ndiyo nitaamini. Lakini kwa sasa naamini Ballali hajafa.
 
Lakini kuna maswali mngi zaidi ya kujiuliza kuhusu kifo chake. Ni kweli kafa? Kwa nini ichukue siku nne ndiyo itangazwe? Kwa nini BoT walijua kifo chake toka mapema na wakashindwa kusema? Kwa nini azikwe Marekani? Mimi ni Tomaso mpaka nitakaoona maiti yake na itakapochunguzwa na kupimwa DNA ndiyo nitaamini. Lakini kwa sasa naamini Ballali hajafa.

I have been asking myself the same questions.Ni nani ambaye hataki kuzikwa kwao? Yeye ugomvi wake ulikuwa na serikali lakini sio nchi yake.Ni kweli basi hapiendi nchi yake? Wanasema alitangaza uamuzi huo mbele ya jamaa zake akiwemo mkewe,Anna Muganda.Obviuosly watasema hivyo,lakini kama angekuwa kaach ujumbe wa maandishi wengi wetu tungeweza kuamini hilo.
Kwenye hilo,na mimi niko kwenye kundi la wale ambao wana question ukweli wa kifo chake
 
I have been asking myself the same questions.Ni nani ambaye hataki kuzikwa kwao? Yeye ugomvi wake ulikuwa na serikali lakini sio nchi yake.Ni kweli basi hapiendi nchi yake? Wanasema alitangaza uamuzi huo mbele ya jamaa zake akiwemo mkewe,Anna Muganda.Obviuosly watasema hivyo,lakini kama angekuwa kaach ujumbe wa maandishi wengi wetu tungeweza kuamini hilo.
Kwenye hilo,na mimi niko kwenye kundi la wale ambao wana question ukweli wa kifo chake

Zanaki don't exclude a lot of things...assume everything.
 
Bubu
Kila nafsi itaonja umauti maana ni amri ya mwenyezi Mungu,Hata kama ataua au anatumiwa kuua wengine naye atakufa tu.
kwa nini tujisumbue kutafuta habari za wafu kuwa nani atafuatia?
Hakuna mwenye uwezo na mamlaka aizuie roho yake juu ya siku yake ya kufa

Mwingine ataenda mbeya kukagua soko lililoungua na kuishia huko huko maana hata ndege nazo zinaanguka na kuua maana hana amri juu ya siku yake ya kufa.
Mwingine atakuwa kapumzika gesti alfajiri anaangalia luninga mara network zinakatika, maana hana amri juu ya siku yake ya kufa.
Mwingine atakuwa anaenda tu zake Njombe mara lori limeparamia gari yake n.k maana hana amri juu ya siku yake ya kufa.
 
Sala zetu zimefika kwa Muumba... Hawatakula hela zetu walizotuibia.. halafu wanakufa kwa aibu.
 
Next is A. Chenge
Sasa hapa ndio ninaposhindwa kuelewa, yaani ukiwa fisadi na kula na wenzio wakati wewe ndio key maker,mwishilio wake ni kuuawa sio? sasa hiyo faida ya ufisadi na kujilimbikizia mali inawasaidia nini??

Haya Fisadi, mwizi Andrew Chenge jiandae, maana sasa ni zamu yako!

Mzee hii source yake vipi? itakuwa normal death au planned as usual said?maana kwa ujumla mimi naopgopa masuala ya ku-point LIVE!!
 
Kama mnakumbuka kuna ugonjwa fulani wa kuku kudonoana unaitwa CANIBALISM ambapo kuku hutoana roho kwa kudonoana wenyewe yaani kila kuku mwenye damu katika manyoya yake lazima adonolewe. Sasa ndiyo maana nimeuliza nani anafuata??? Muda unakwenda tunaweza kusikia kuku anayefuata kwa canibalism hii ni kuku yupi?
Namkumbuka sana Mwalimu Nyerere aliposema "Ukisha kula nyama ya binadamu hutaacha" Yanatimia.....
 
Next is A. Chenge
Sasa hapa ndio ninaposhindwa kuelewa, yaani ukiwa fisadi na kula na wenzio wakati wewe ndio key maker,mwishilio wake ni kuuawa sio? sasa hiyo faida ya ufisadi na kujilimbikizia mali inawasaidia nini??

Haya Fisadi, mwizi Andrew Chenge jiandae, maana sasa ni zamu yako!

jamani watu walimzushia kifo haikutosha!leo unasema next is chenge!kumbuka wewe sio MUNGU!unaweza wewe ukatangulia na ukamuacha!
 
anaefata baada ya ballal ni Mkapa, lazima afe mapema kabla ya kusimama mahakamani! chenge atakuwa namba 3 alafu Rostam Aziz namba 4, Lowassa hatakufa mapema ila atakalia chungu cha moto, Karamagi anakufa soon ila kwa ukimwi, sababu stress zimekuwa kubwa! Mh. Mkono nae sijui niseme vipi kuhusu huyu jamaa!
 
anaefata baada ya ballal ni Mkapa, lazima afe mapema kabla ya kusimama mahakamani! chenge atakuwa namba 3 alafu Rostam Aziz namba 4, Lowassa hatakufa mapema ila atakalia chungu cha moto, Karamagi anakufa soon ila kwa ukimwi, sababu stress zimekuwa kubwa! Mh. Mkono nae sijui niseme vipi kuhusu huyu jamaa!

Are serious Chacha wa Mwita!
Who is able to say a thing, and produce irritating effect to it?If you are delegating God Almighty,Let us trust your message!
 
Mafisadi wote lazima wakae roho juu, maana kila atakayeropoka tu, na yeye anachimbiwa kaburi, haya mambo tulikuwa tunayaangalia kwenye sinema kumbe yanatendeka kweli, ila list naona inaongezeka kwa kasi, mzee wa vijisenti inabidi awawithdraw statement yake kupitia kwa wakili wake kuwa atasema mambo ya kushangaza maana hali sasa ni mbaya sana
 
Chinga, BWM, mzee wa ANBEN, Net problems na Kiwira Coal, ule unene wa kufyonza ikulu, shinikizo la hasira na ububu ukizingatia alikuwa na kiburi cha uzima, cheo na madaraka, ndivyo vitakavyochochea umauti wake...
 
Next is A. Chenge
Sasa hapa ndio ninaposhindwa kuelewa, yaani ukiwa fisadi na kula na wenzio wakati wewe ndio key maker,mwishilio wake ni kuuawa sio? sasa hiyo faida ya ufisadi na kujilimbikizia mali inawasaidia nini??

Haya Fisadi, mwizi Andrew Chenge jiandae, maana sasa ni zamu yako!
HUYU HAKUWA KEY PRAYER WAPO CAPOS YEYE ALIKUWA ANATOA SERVICE UNDER CAPO REGIME,WOTE HAWA NA AKINA RWEKAZA NI MATARISHI TU,MTU KAMA ANDY CHENGE HAWEZI KUFA AU KUUAWA KWANI CONSIGLIERE HUWA YUPO HADI SIKU FAMILY INAANGUKA SO FORGET ABOUT THE DEARTH OF CHENGE,LABDA SHETANI AAMUE KUMCHUKUA LEO, LAKINI FAMILY HAIWEZI,KWANI MAPESA YOTE KAFICHA YEYE, NDIYO MAANA PALE AIR PORT ALIWAPIGA NA SICILIAN LANGUAGE KWAMBA VILE NI VISENT TU,KWANI ANAJUA ZAIDI YA HAYO MACHO YAJAONA, MASIKIO AYAJASIKIA ,WALA MOYO KUONJA KILE AMBACHO CHENGE ANAJUA,NA ALIKUWA ANATOA MESEGI KWA WALIOBAKI,KWAMBA BADO NIKO USEFULL KWENU MSINIACHE CHENGE SI MJINGA IS BRIGHT BOY KUMBUKA NI LAWYER WA HAVARD ANAJUA LUGHA YA PICHA,ALIPO SEMA VILE WATU WA MAGAZETI WAKAMSADIA KUPELEKA UJUMBE. UNAKUMBKA SAADAM ALIKUWA ANAPOTOKA MAHAKAMANI WANDISHI WAKIMSONGELEA ANAWAMBIA MOLARI UNA ZIDI KUPANDA SIJAKATA TAMAA SO AILKUWA AKIONGEA NA JAMAA MTAANI KWAMBA WAKO PAMOJA WAENDELEE NA MABOMU.
 
kifo cha balali kimegubikwa na utata mkubwa, lakini either kama kafa kikweli ama kafa kiuongo, A chenge ajitayarishe kufa kwa namna moja wapo hapo hivi karibuni.
lawyer wake anamtangazia kifo bila kujua
 
Vifo hivi vya sasa wanauwana wenyewe kwa wenyewe, Serikali ikiona unajua mambo mengi na unaweza kusanua, ni kawaida ndani ya Chama chetu cha Mapinduzi kukuondoa jamani, hivyo ndio maana nikaja ya jibu laivu

Mkulu hapa umenifurahisha kabisa maana naona tunajenga kautaratibu ka kuwakolimba ambao tunaona wana mawazo tofauti na sisi, hivi vifo na ugonjwa usijulikana unaowapatya watu ambao ni muhimu kwa taifa inabidi tuanze kuiuliza serikali kwanini wanakufa hawa kwa vifo visivyo vya kawaida.
 
Hapo sasa kazi inaendelea usikute Makamba naye akatolewa kafara nani anajua sijui??
Hapo sasa shughuli alianza Sokoine walifuata wakafuata sasa Balali atakayefuata anajiandaa sasa mm naona ikifikia point kama hii ni bora tu utoe ushahidi tu kisha unakufa zako sasa angalia Balali kafa na siri moyoni zinamtesa tu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom