Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
Kwani yeye ni kutoka chama gani hapa nchini?
Ni kweli kabisa, ila kitendo cha Magufuli kupokea nchi kilofa haina hela mpaka kuahirisha sherehe za uhuru kimagirini kusingizia usafi kumbe hakuna hela kilimtia uchungu. Ndo maana asubuhi asubuhi aliamkia wizara ya fedha kimachungumachungu na kwa kweli ana uchungu na wezi mchwa walioitafuna nchi hii na wote wenye nia hiyo.