GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
"Kama Mchezaji wa Simba SC nimesikitishwa sana na Kauli za huyu Patrick Gakumba kuhusu Mimi na Uhusiano wangu na Kocha Gomez "
"Nikiri tu kwamba namjua Patrick Gakumba ila nashangaa ni kwanini kila mara anajitokeza kudai ni Wakala wangu "
"Ukweli ni kwamba Patrick Gakumba si Wakala wangu bali nilimtumia tu Kufanikisha Kusajiliwa Kwangu Simba SC "
"Sina kawaida ya kuwa na Wakala wa Kudumu na huyu nilimalizana nae Siku ile ile najjunga na Simba SC "
"Nawaomba Radhi sana Wana Simba SC wote kwa Usumbufu huo ila Patrick Gakumba si Wakala wangu kabisa "
"Namheshimu Kocha Gomez na sina tatizo nae na ni Rafiki yangu kabla ya Kukutana hapa Simba SC na namkubali mno "
"Nimeshawasiliana na Patrick Gakumba na kumtaka asiniharibie hapa Simba SC kwani ananishushia Heshima pia "
Maneno yote haya nimemkariri Msemaji wa Simba SC Haji Manara ( alias ) BUGATTI alipokuwa akifanya Mazungumzo na Kipindi cha Michezo cha Ufm ( Uhai FM ) na Mtangazaji Mussa Kawambwa Jr kutoka Azam Media Jioni hii ya leo kuelekea Mechi ya ASFC ya Kesho kati ya Mnyama ( Simba SC ) na Dodoma Jiji FC kutoka Mkoani Dodoma.
Ushauri wangu kama GENTAMYCINE kwa Media Kubwa nchini Tanzania hebu ziwe zinaacha Kuhoji ' Wahuni ' kama huyu anayejiita Wakala wa Meddie Kagere aitwae Patrick Gakumba badala yake kukitokea ' sintofahamu ' yoyote ziwe ama zinamtafuta Mchezaji husika au Watafute Official Agents wao ili Kulinda ' Credibility ' ya Chombo husika na hata Mtangazaji ( Mwandishi ) Mwenyewe.
"Nikiri tu kwamba namjua Patrick Gakumba ila nashangaa ni kwanini kila mara anajitokeza kudai ni Wakala wangu "
"Ukweli ni kwamba Patrick Gakumba si Wakala wangu bali nilimtumia tu Kufanikisha Kusajiliwa Kwangu Simba SC "
"Sina kawaida ya kuwa na Wakala wa Kudumu na huyu nilimalizana nae Siku ile ile najjunga na Simba SC "
"Nawaomba Radhi sana Wana Simba SC wote kwa Usumbufu huo ila Patrick Gakumba si Wakala wangu kabisa "
"Namheshimu Kocha Gomez na sina tatizo nae na ni Rafiki yangu kabla ya Kukutana hapa Simba SC na namkubali mno "
"Nimeshawasiliana na Patrick Gakumba na kumtaka asiniharibie hapa Simba SC kwani ananishushia Heshima pia "
Maneno yote haya nimemkariri Msemaji wa Simba SC Haji Manara ( alias ) BUGATTI alipokuwa akifanya Mazungumzo na Kipindi cha Michezo cha Ufm ( Uhai FM ) na Mtangazaji Mussa Kawambwa Jr kutoka Azam Media Jioni hii ya leo kuelekea Mechi ya ASFC ya Kesho kati ya Mnyama ( Simba SC ) na Dodoma Jiji FC kutoka Mkoani Dodoma.
Ushauri wangu kama GENTAMYCINE kwa Media Kubwa nchini Tanzania hebu ziwe zinaacha Kuhoji ' Wahuni ' kama huyu anayejiita Wakala wa Meddie Kagere aitwae Patrick Gakumba badala yake kukitokea ' sintofahamu ' yoyote ziwe ama zinamtafuta Mchezaji husika au Watafute Official Agents wao ili Kulinda ' Credibility ' ya Chombo husika na hata Mtangazaji ( Mwandishi ) Mwenyewe.