Lengo LA msajili lilikuwa ni kummaliza maalimu kisiasa ili anufaike na 10% ya ruzuku matokeo yake kammaliza Swaiba wake Le profu kabaki analialia,Profu anamlazimisha aifute ACT kwa hoja ambahata hakimu wa mahakama ya mwanzo hawezi pata kosa kwenye hoja zileProfesa na msajili wameiua CUF live live!!
Kweli Maalim wewe ni nouma,
Tukiwaambia CCM si chama cha siasa wanatubishia, kuna jamaa mwingine kafunga ofisi kuu mjengoni kaenda kupiga kambi Zenji ...kama si uwoga ni nini hicho? Maalim kawavuruga ni balaaMKUTANO hauwezi fanyika
Police-CCM watauzuia kwa amri ya Waziri Lugola
Wapinzani tafuteni njia ingine ya kufanya siasa
CCM isha kimbiwa na watu,mkija na njia mbadala 2020 mnawapiga easy!
Nilipoona tangazo lile jana, nikawaza sana. Watawaruhusu kweli????"Polisi Wamevamia Ukumbi wa Mikutano wa PR Stadium (Karibu na Uwanja wa Taifa) ambapo Mkutano wa Ndani wa Viongozi wa ACT Wazalendo na Wanachama wa Mkoa wa Dar es salaam utafanyika na kulazimisha watu kutawanyika." Ado Shaibu, Katibu Mwenezi ACT Wazalendo
Sahihisha sema " Jeshi la CCM lavamia mkutano wa ndani wa ACT.JESHI LAVAMIA MKUTANO WA NDANI WA ACT
https://www.jamiiforums.com/threads...ndani-wa-act-wazalendo.1565458/#post-30889964
Amepewa risala nzito Zanzibar-tumechoka kuwasaliti wazanzibari wenzetu.Bendera za ASP zinatafutwa zilipofichwa. Kumekucha Zanzibar.Tukiwaambia CCM si chama cha siasa wanatubishia, kuna jamaa mwingine kafunga ofisi kuu mjengoni kaenda kupiga kambi Zenji ...kama si uwoga ni nini hicho? Maalim kawavuruga ni balaa