Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,442
- 113,452
Wanabodi,
Baada ya Barrick kutangaza kuinunua Acacia na Acacia kukubali kununuliwa ile July 19, kuna watu walidhani sasa mambo ndio yamemalizika, kuinunua kampuni ni kama kununua nyanya sokoni au shati dukani, hapana, baada ya Acacia, kukubali kununuliwa na Barrick, taratibu za manunuzi zinakamilishwa kwanza kwa kutolewa dodument muhimu sana inaitwa "Scheme Document", yenye kuonyesha uratatibu mzima wa mauziano hayo. kila mwanahisa wa Acacia anatakiwa kuisani na kuiridhia mbele ya mahakama, ndipo Acacia wataitisha mkutano mkuu wa wanahisa wote, AGM hapo Sept 3 na kupitisha azimio la kifo rasmi cha Acacia, Resolution of Dissolution.
Jana ndipo Acacia ametoa matangazo mawili kuhusu hiyo scheme document
Nakiri kupandisha uzi huu baada ya kupata tip kutoka kwa mwana jf huyu
P
Baada ya Barrick kutangaza kuinunua Acacia na Acacia kukubali kununuliwa ile July 19, kuna watu walidhani sasa mambo ndio yamemalizika, kuinunua kampuni ni kama kununua nyanya sokoni au shati dukani, hapana, baada ya Acacia, kukubali kununuliwa na Barrick, taratibu za manunuzi zinakamilishwa kwanza kwa kutolewa dodument muhimu sana inaitwa "Scheme Document", yenye kuonyesha uratatibu mzima wa mauziano hayo. kila mwanahisa wa Acacia anatakiwa kuisani na kuiridhia mbele ya mahakama, ndipo Acacia wataitisha mkutano mkuu wa wanahisa wote, AGM hapo Sept 3 na kupitisha azimio la kifo rasmi cha Acacia, Resolution of Dissolution.
Jana ndipo Acacia ametoa matangazo mawili kuhusu hiyo scheme document
Barrick Gold Corporation - Home
www.acaciamining.com
Barrick Gold Corporation - Home
www.acaciamining.com
Nakiri kupandisha uzi huu baada ya kupata tip kutoka kwa mwana jf huyu
Acacia yaruhusiwa kuendelea kusafirisha madini kutoka mgodi wa North Mara
Tume ya Madini Tanzania imeiruhusu kampuni ya Acacia kuendelea na utaratibu wa kusafirisha dhahabu baada ya kuzuiliwa kwa takribani mwezi mmoja. Taarifa iliyotolewa na Acacia inaeleza sasa wataanza kusafirisha madini kutoka North Mara baada ya kutimiza masharti. [start text] Najiuliza na...
www.jamiiforums.com
Hivyo Acacia licha ya kutotambuliwa na serikali yetu, lakini bado ipo na inaendelea na kazi mpaka ununuzi ukamilike na mmiliki mpya Barrick atakapo take over.Tume ya Madini Tanzania imeiruhusu kampuni ya Acacia kuendelea na utaratibu wa kusafirisha dhahabu baada ya kuzuiliwa kwa takribani mwezi mmoja. Taarifa iliyotolewa na Acacia inaeleza sasa wataanza kusafirisha madini kutoka North Mara baada ya kutimiza masharti.
Najiuliza na wenzangu mnisaidie kujiuliza, tuliambiwa Acacia hawana leseni, tukaambiwa tena serikali haitazungumza tena na Acacia bali Barrick, juzi tena tunajulishwa Barrick imenunua hisa zote 100% za Acacia kwamba shughuli zote zilizokuwa zikifanywa na Acacia sasa zitafanywa na Barrick.
Am little bit confused. Pascal Mayalla please.
P