- Thread starter
- #21
Hahaha kilasiku mnamuona mkurugenzi wa tume ya uchaguzi taifa anasema chaguzi zote zinafata sheria, nadhani katiba inafuatwa kwenye hili.Kwani katiba inafatwa
Hahaha kilasiku mnamuona mkurugenzi wa tume ya uchaguzi taifa anasema chaguzi zote zinafata sheria, nadhani katiba inafuatwa kwenye hili.Kwani katiba inafatwa
Ijishughulishe na korosho, iitwe JPM korosho foundation
Hahaha awamu mbili zote atakua hajawamaliza tu?! Nadhani akiondoka 2025 kutakuwa hakuna fisadi hata mmoja, na kila mtanzania atakuwa analipa kodi.Ifunge mafisadi
Hahaha hapa sijui, maana kuna wanaohisi Makonda anaweza kuiongoza.Wakurugenzi wawe watoto wa azori, Ben saanane,lissu hawa wataitendea haki jamii inayoumizwa na ukatili wa jamii husika
Wazo zuri, maana ya Mkapa inaboresha makazi ya watumishi wa afya nasikia.Ijenge barabara na madaraja
Watangulizi wake wanazo, isipokuwa mzee Mwinyi.Sina hakika itakuwepo.Hivi Uganda Kuna foundation ya IDD Amin Dada!?
Nadhani haiwezekani, itakuwa conflict of interest. Maana serikali iliyopo madarakani inapaswa kuwatumikia wananchi 100% likiwemo hilo Foundation itakalolifanya. Technically haiwezekani.hivi hawezi kuwa na Foundation akiwa madarakani?naombeni kujua
Nadhani haiwezekani, itakuwa conflict of interest. Maana serikali iliyopo madarakani inapaswa kuwatumikia wananchi 100% likiwemo hilo Foundation itakalolifanya. Technically haiwezekani.
Haitakuwa ya mwanzo. Tumeona watangulizi wake wanazo, isipokuwa Mwinyi.Labda itakuwa ya mwanzo
Sidhani kama ukiwa madarakani inawezekana, angalia hata Trump Foundation alianzishwa kabla ya urais wake nayo inafungwa, lakini hii ni siasa zao.hakuna duniani aliyewahi kuwa Rais kufanya hivyo?
Sidhani kama ukiwa madarakani inawezekana, angalia hata Trump Foundation alianzishwa kabla ya urais wake nayo inafungwa, lakini hii ni siasa zao.
Nahisi inawezekana lakini ukichunguza operation zake kwa haki haitakiwi lazima kuna fraudulent activities tu. Unajua zile ni non profit, lakini sidhani kama wakwetu wana operate as real non profit. Soyrce za fund zao wananchi hatuzijui, inapaswa iwe wazi kwa public.ila mke wake anaweza kufanya,mama Kikwete alikua nayo WAMA ...
Nahisi inawezekana lakini ukichunguza operation zake kwa haki haitakiwi lazima kuna fraudulent activities tu. Unajua zile ni non profit, lakini sidhani kama wakwetu wana operate as real non profit. Soyrce za fund zao wananchi hatuzijui, inapaswa iwe wazi kwa public.
Kwanini waweze wakiwa ikulu tu, kwanini hawakuzifanta kabla au baada ya kutoka ikulu.
Ya mama Mkapa sijui Fursa sawa kwa wote, au Haku sawa kwa wote sijuu inaendelea au imekufa.
Angali Clinton Foundation au Bill Gate &Melinda Foundation zinavyo operate na uangalie za hawa wetu.
Hahaha kweli transparent haipo hapa kwetu na tunadhani madaraka ni immunity ya kufanya uovu, na sheria zilipaswa ziwe zile za one fits all. Lakini sheria zetu nazo zina macho, nani achunguzwe nani asichunguzwe. Nani ashitakiwe na nani asishitakiwe. Kuna uvunjifu wa sheria mwingi ndio maana unaona Foundation za kwetu zinakufa lakini za wenzetu zipo.mkuu hata watu wa kawaida wanafungua NGO ila hela tena kama sio zote zinaishia mifukoni,haziwafikii walengwa ...nimekuelewa sana mkuu,uwazi ni kitu tunachomiss,na hakuna uwazi sababu tuna hiden agenda mkuu,mie nikifungua charity yangu nitakua muwazi ONLY if Nanye Go atakuwa Rais na mimi festi ledi
Hahaha hao watapona akiondoka.Iwasaidie wendawazimu na wehu aliowatengeneza wakati wa utawala.
Hahaha kweli transparent haipo hapa kwetu na tunadhani madaraka ni immunity ya kufanya uovu, na sheria zilipaswa ziwe zile za one fits all. Lakini sheria zetu nazo zina macho, nani achunguzwe nani asichunguzwe. Nani ashitakiwe na nani asishitakiwe. Kuna uvunjifu wa sheria mwingi ndio maana unaona Foundation za kwetu zinakufa lakini za wenzetu zipo.
Lakini hata sisi tutakufa njaa tukifanya charity organisation, inabidi pesa za donor ziwe zinaingia kwa account yetu binafsi! Just kidding lol.
Hapa kwetu donor hawafuatilii malengo ya foundation yametimizwa au la, na wananchi hawahoji.
Hahaha nianzie mwisho, wake zao hutumia hizo foundation kama duka kariakoo. Na waumezao hupitishia pesa huko na hazikaguliwi na CAG wala auditor firm yoyote, yani nikama vile mume kamfungulia mkewe duka khanga na vitenge, sasa pesa chafu zikipita huko hawaangahiki nazo. Dona kantre nazo zinajua hii michezo, hata Rais Wetu anafahamu ndio maana hakutaka mama jesica afanye, alijua watamsema akaichunia.usijali,hatutahitaji misaada ya dona kantre kama Magufuli,yetu itajiendesha yenyewe ,wenzetu wako honest kwenye mambo kama haya,sisi ndio sehemu ya kupumulia…silaumu lakini, labda kama kusingekuwepo na poverty mambo yangekua sawa na wenzetu….kwenye mizani hatuko sawa…kwa hio hamna lawama...hii ni kwa wale watu binafsi,sasa hata wake wa marais wanapiga??!!! .