mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,912
- 5,255
Hakuna alie kaa lugalo au kawe aseme hawajui hostel.Mkuu unaniangusha bhana yaani unasema umekaa Lugalo halafu Hostel hupajui?
Hostel ni kule ambako zamani walikuwa wakiishi sana wale Askari Wahanga wa Vita ya Amini wa Uganda ( wengi wao wakiwa ni Vilema ) nyuma yake kuna Makaburi ila kwa sasa ndipo Kumejengwa Chuo Kikubwa cha Tiba cha MCMS kwa Ushirikiano na nchi ya Ujerumani ambapo kuna VIP Mortuary ambayo Hayati wa tarehe 17 Machi, 2021 alikuwa akilala na akiogeshewa hapo kabla ya kupelekwa Temeke Main Stadium Watu Kumuaga.