Baada kuona hatutaki EAC Kenya waanza kuvamia mipaka ya Bahari ya Hindi

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Baada ya kuona hatutaki mambo ya kuwapa right ya kuwa na ardhi Tanzania sasa hawa wakenya washajipanga kuchukua kilomita za mraba 103,000 za bahari ya hindi au kwa kiingereza ni 150 nautical miles

BERNARD MEMBE na vile vizee vilivyojazana pale Foreign sijui wana fanya nini...Kule ofisi ya MAKAMO WA RAIS (Mazingira) wana mhusika anaitwa Esther Makwaia anadai kuwa ohhh bado tunafanya process...ili kumeet the deadline...kisa hawana pesa..sioni sababu wakenya washindwe hapo walipo kwani wamelipa dola milioni 10 kwa ajili ya hili zoezi na Serikali ya Norway ilituahidi dola milioni 5 sasa sijui kama tutameet hiyo deadline lakini habari ndio hiyo

Updated on 06 May 2009

On 6 May 2009, the Republic of Kenya submitted to the Commission on the Limits of the Continental Shelf, in accordance with Article 76, paragraph 8, of the United Nations Convention on the Law of the Sea, information on the limits of the continental shelf beyond 200 nautical miles from the baselines from which the breadth of the territorial sea is measured.

It is noted that the Convention entered into force for Kenya on 16 November 1994.

In accordance with the Rules of Procedure of the Commission, a communication is being circulated to all Member States of the United Nations, as well as States Parties to the Convention, in order to make public the executive summary of the submission, including all charts and coordinates contained in that summary.

The consideration of the submission made by Kenya will be included in the provisional agenda of the twenty-fourth session of the Commission to be held in New York from 10 August to 11 September 2009.

Upon completion of the consideration of the submission, the Commission will make recommendations pursuant to Article 76 of the Convention.
http://www.un.org/Depts/los/clcs_new/submissions_files/submission_ken_35_2009.htm
 
Nimetembelea hiyo link na nimepitia ramani zinazohusu hayo maombi ya Kenya. Binafsi sioni tatizo, ni haki yao na hilo eneo haliingii upande wa Tanzania. Endapo nasi tunahitaji kupanua mipaka kwenye deep sea tunatakiwa kufanya procedure hizo hizo. Wala tusitate tension ktk hili.

Nimeambatanisha ramani husika, you cann see yourself.
 

Attachments

  • New Picture.bmp
    1.7 MB · Views: 81
Back
Top Bottom