Ya tabata au Sinza?Kitambaa cheupe
HatariiKitambaa cheupe Sinza
hilo nalo lina nafasi yake huwe kuwaza muda wote maendeleo.Badala uulizie jinsi gani utaweza kuanzisha walau kakiwanda kadogo ka kukamua alizeti,wewe unaulizia maswala ya ngono.
Badala uulizie jinsi gani utaweza kuanzisha walau kakiwanda kadogo ka kukamua alizeti,wewe unaulizia maswala ya ngono.
Ushaambiwa mapumziko ya kikazi, unataka watu wawaze alizeti 24/7 kwa 365 days?Badala uulizie jinsi gani utaweza kuanzisha walau kakiwanda kadogo ka kukamua alizeti,wewe unaulizia maswala ya ngono.
Yupo sahihi kwasababu hicho ndio kipaumbele chake...🤣Badala uulizie jinsi gani utaweza kuanzisha walau kakiwanda kadogo ka kukamua alizeti,wewe unaulizia maswala ya ngono.
Mkuu hebu tulia unywe maji ya baridi halafu uvute pumzi ndefu! Tulia kwa dakika 5.Badala uulizie jinsi gani utaweza kuanzisha walau kakiwanda kadogo ka kukamua alizeti,wewe unaulizia maswala ya ngono.
mwamba unaakili sanaMkuu hebu tulia unywe maji ya baridi halafu uvute pumzi ndefu! Tulia kwa dakika 5.
Namna ya kuanzisha hicho kiwanda kidogo cha kukamua mafuta ya alizeti ameshauliza huko jukwaa husika na amejibiwa na keshaanzisha.
Huku sasa anaulizia issue nyingine nyeti katika jukwaa sahihi, kwa hiyo muache jamaa yetu yupo sahihi!
Mindset za watanzania sio wa kuwaza mambo makubwa makubwa. Many people have average mindsets.Badala uulizie jinsi gani utaweza kuanzisha walau kakiwanda kadogo ka kukamua alizeti,wewe unaulizia maswala ya ngono.