Mkuu kila aina ya mnyama nyama yake inatofautiana na myama mwingine kwa mazingira yao na chakula wanachokulaNyama ya mbwa ina tofauti gani na nyama ya mbuzi?
Mkuu kila aina ya mnyama nyama yake inatofautiana na myama mwingine kwa mazingira yao na chakula wanachokulaNyama ya mbwa ina tofauti gani na nyama ya mbuzi?
nadhani inakatawa kuuzia watu nyama ambayo haijapimwa na kujulikana kama haina viambukizi vya magonjwaNadhani inakataza kuwauuzia watu nyama ya mbwa ukidai ni nyama ya mbuzi.
Kiingiacho mwilini si najisi bali kitokacho mwilini ndiyo najisi so kuleni hata nyoka paka simba chui tembo na bila kusahau Nguruweeeeeeeee
hayo ni mapambano ya kibiashara kama vile coca na pepsi
lakini hii siyo mbaya kula.
Bado sijaelewa hati ya mashtaka itaandikwa vipi,wameshitakiwa kwa kosa gani? Kumbuka katiba ya nchi inaruhusu raia kula chakula chochote wanachopenda.
Umeuziwa kitu ingine, siyo kondoo mkuu, ushauri wangu ni ufanye utafiti zaidi.Baa nyingi za Dar sasa zinayza nyama ya Kondoo wakisingizia ni mbuzi...mbuzi gani haina ladga imepooza...tuendapo sipo kabisaaa
lakini hii siyo mbaya kula.
Mkuu kila aina ya mnyama nyama yake inatofautiana na myama mwingine kwa mazingira yao na chakula wanachokula
Mibongo ndivyo tulivyo!Ila kwa Wachaga, naweza kuamini. Wachaga linapokuja suala la pesa wanadhani zimeumbwa kwa ajili yao tu..... mara nyingi tu wanaweka utu pembeni..
Jirani yangu mmoja mchaga alikuwa na duka, nakumbuka alikuwa anachanganya mafuta ya kula na sabuni ya maji!!!! wakati mwingine na mi Blueband iliyo eksipaya!!!