Baa la Njaa: Rais Magufuli, Serikali haijazuia mvua?

si alisema mkuu wa mkoa yeyote ambaye mkoa wake ikiripotiwa kuna mtu amekufa njaa, atafukuzwa mara moja
 
paradoxically, sera ya kuzuia kuuza mazao nje ili kuzuia njaa ndiyo inatuletea njaa. pia kukopa hela na kujenga daraja la salenda na kujenga uwanja chato badala ya irrigation schemes ndiyo huleta njaa. mazuzu!
 
Sijawahi kuona raia wa inchi wakuombea mabaya inchi yao. Huu ni uzuzu kweli unazani hayo mabaya yakitokea ndio kutakufanya wewe uishi maisha mema. Acheni siasa mjue mtu anayeombea mabaya mtu au taifa ni kumuombea aishi maisha marefu ili Mungu amuonyeshe jinsi unavyofanikiwa ama inchi itakavyopiga hatua. Hayo mabaya yasikatishe tamaa serikali iendelee kufanya kazi kwa juhudi zaidi.
Mbona hueleweki, umekunywa mbege ya wapi wewe dada?.
 
Tulishataadharishwa kuwa tukichagua Rais mwenye Kipara lazima nchi ipate majanga.Tumeanza na tetemeko na bado
 
Boss Hali ni mbaya kuliko maelezo cc tuliopo huku vijijini tumeanza kushindia kipande cha Muhogo na kopo la maji. Kuna upepo mkali unavuma alfajiri nakwambia ni sheeda,,,,!
 
Kama umekariri kua Mvua ndio chanzo cha maji pekee watu wanachoweza kukitumia kulima basi iko kazi kubwa sana,
Hebu tuambie huko kwenu ukiacha mvua mnapata wapi maji kwa ajili ya kilimo na ni wakulima wangapi wanapata hayo maji?
 
Hivi waliotangaza kuwa maisha ni magumu sana mabasi yamepaki hamna abiria wa kusafiri, wanajisikiaje kuona watu wamekosa mabasi ,na wengine wakidandia coaster kwa nauli mara mbili.

Aibu ya kufungia mwaka hii.
Kwani waliotangaza kuwa hakuna upungufu wa dawa mahospitalini wakati sisi wagonjwa tulioenda kutibiwa hakuna dawa hospitali zimekauka...hivi nao wanajiskiaje??
 
MTU akikuambia kuna njaa, usimuulize mbona umekula ugali Leo na umebakiza? Unatakiwa kujifunza kuelewa ktk mawanda mapana
Mwisho wake atasema kama wananchi hawana ugali wale chapati wakati wanalalamika hawana chakula. Fuatilia uchangiaji wake utang'amua kitu mkuu.
 
Back
Top Bottom