Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,619
- 20,947
-->>ndio uongozi mliouchagua HAKUNA NAMNA TENA...
Kama umekariri kua Mvua ndio chanzo cha maji pekee watu wanachoweza kukitumia kulima basi iko kazi kubwa sana,Nyie ni washirikina wakubwa. Mnaamini mambo ya kijinga kabisa. Mwenye mamlaka ya kuleta na kuzuia mvua ni Mungu pekeee
Tuangalie ile option ya kuzalisha mvua. Sio far fetched kama tunavyofikiri. Merry xmasKutokana na hali ya kukosekana kwa mvua katika sehemu nyingi inatazamiwa kukosekana kwa chakula katika sehemu nyingi.
Mpaka Chrissmas hii bado hali ya mvua haieleweki na mazao yaliyochipua yameanza kukauka. Kama hali itaendelea kuwa hivi ni dhahiri kwamba familia nyingi hasa za wakulima zitakumbwa na baa la njaa.
Ikumbukwe kwamba wahanga wa tetemeko la Bukoba walipoonyesha kuitrgemea serikali kwa malazi na chakula walionywa kuwa serikali haikuleta tetemeko hivyo wajifunge mkanda na kujipigania. Pia wahanga wa mvua ya mawe wilayani Kahama walipewa taarifa katika ziara ya Mh.Rais kwamba serikali haitawajengea nyumba kama ilivyoahidi katika awamu ya NNE
Kwa dalili hizi za baa la njaa(Mungu tuepushe) je tutegemee nini kwa serikali?Je,tujifunge mikanda kwa kuwa serikali haijazuia mvua kama ambavyo haikuleta tetemeko huko Bukoba?
Hali imeanza kuwa mbaya. Kwa mfano Morogoro moja ya mikoa iliyozoeleka kama food basket of the nation, tayari wameanza kupatwa na tatizo la uhaba wa chakula. Kuna ukweli kwamba moja ya sababu kubwa ni mabadiliko ya tabia nchi lakini ni muhimu tukatambua pia kwamba sera mbovu chini ya serikali pia ni sababu nyingine kubwa katika hili. Bado hatuna mfumo mzuri unaoangalia maslahi ya wazalishaji. Kwa mfano nchi za wenzetu zilizopiga hatua, huwa ni Jambo la kawaida kwa serikali kununua mazao ya vyakula kwa bei zenye tija kwa wazalishaji hata kama uzalishaji unakuwa mkubwa kuliko mahitaji ya nchi. Serikali hizi huwa zipo tayari hata kutupa ziada hii kama sio kuipeleka nje au kuigawa umoja wa mataifa (WFP) ili mradi mzalishaji wa nyumbani asife moyo kuzalisha, hivyo kufanya taifa kuwa na "food security."Kwa hali inavyoenda huenda kukawepo na upungufu mkubwa wa chakula, ukame umezidi kwa kweli
fitna iko wp hapoo??...anyways yawezakua uko kweny chain lazma uteteePunguzeni fitna, unafik na kunyoosha vidole ......jiulize ww utajipangaje kukabili baa hilo la njaa....ama unasubiri serekali ikubebe kama mtoto mdogo ...
Dah... Kumbe wabongo shida yetu kubwa ni usirias.... Tukiwa siriaz hakuna tutakachoshindwa ...Sasa kaja mtu Siriaz mibwege bado inalialiaTangu lini MTU Serious akashindwa Kwenda kwao
Sijawahi kuona raia wa inchi wakuombea mabaya inchi yao. Huu ni uzuzu kweli unazani hayo mabaya yakitokea ndio kutakufanya wewe uishi maisha mema. Acheni siasa mjue mtu anayeombea mabaya mtu au taifa ni kumuombea aishi maisha marefu ili Mungu amuonyeshe jinsi unavyofanikiwa ama inchi itakavyopiga hatua. Hayo mabaya yasikatishe tamaa serikali iendelee kufanya kazi kwa juhudi zaidi.Ni moja ya mapigo Tisa ya Mungu kwa Watanzania baada ya kulikataa JIWE KUU LA PEMBENI.Njaa ni pigo la kwanza bado nane yanakuja.Stay tuned, usipoguswa na njaa utaguswa na mengine yanayokuja.
Acha uongo wewe! Mbona hata mtukufu wetu anaweza? Yeye si muweza wa yote?Nyie ni washirikina wakubwa. Mnaamini mambo ya kijinga kabisa. Mwenye mamlaka ya kuleta na kuzuia mvua ni Mungu pekeee
Uongozi umechaguliwa na nani? Si bwana yule alisema ameibiwa kura yeye ndiye aliyechaguliwa?-->>ndio uongozi mliouchagua HAKUNA NAMNA TENA...
Punguzeni fitna, unafik na kunyoosha vidole ......jiulize ww utajipangaje kukabili baa hilo la njaa....ama unasubiri serekali ikubebe kama mtoto mdogo ...
Wewe mwenyewe unapumlia mashine halafu unajifariji na thread za ajabu ajabu hapa. Hivi mtu asiyeona ugumu Wa maisha kwa sasa anafanya makusudi au ametumwa na WALE...!!Hivi waliotangaza kuwa maisha ni magumu sana mabasi yamepaki hamna abiria wa kusafiri, wanajisikiaje kuona watu wamekosa mabasi ,na wengine wakidandia coaster kwa nauli mara mbili.
Aibu ya kufungia mwaka hii.
Ni sahihi kabisa nchi inalegalega kusaidia wakulima hasa pale ambapo hali ya hewa ni nzuri bado tuna tatizo kubwa la uongozi kuanzia juu mpk chini. Lkn kwa kipindi cha ukame uliokithiri kama hiki kwa nchi inayotegemea hali ya hewa lawama zinapungua sababu ni beyond their power.Hali imeanza kuwa mbaya. Kwa mfano Morogoro moja ya mikoa iliyozoeleka kama food basket of the nation, tayari wameanza kupatwa na tatizo la uhaba wa chakula. Kuna ukweli kwamba moja ya sababu kubwa ni mabadiliko ya tabia nchi lakini ni muhimu tukatambua pia kwamba sera mbovu chini ya serikali pia ni sababu nyingine kubwa katika hili. Bado hatuna mfumo mzuri unaoangalia maslahi ya wazalishaji. Kwa mfano nchi za wenzetu zilizopiga hatua, huwa ni Jambo la kawaida kwa serikali kununua mazao ya vyakula kwa bei zenye tija kwa wazalishaji hata kama uzalishaji unakuwa mkubwa kuliko mahitaji ya nchi. Serikali hizi huwa zipo tayari hata kutupa ziada hii kama sio kuipeleka nje au kuigawa umoja wa mataifa (WFP) ili mradi mzalishaji wa nyumbani asife moyo kuzalisha, hivyo kufanya taifa kuwa na "food security."
Kwetu mkulima akiuza kwa serikali anapewa hati garani badala ya Fedha taslimu. Akitaka kujiongezea rizki kwa kuuza mipakani au nchi jirani, wakuu wa wilaya kazi yao ni kuzuia hilo. Ukitazama kiasi cha fedha zinazotengwa kibajeti kwa ajili ya sekta hii ni masikitiko matupu. Sekta ya kilimo ndio inayoongoza katika kutupatia fedha za kigeni (ingawa kwa sasa inashindana vikali na sekta ya utalii). Sekta hii ndio sekta mama ya uchumi wa taifa kwa maana ya kulisha taifa na pia kutoa mali ghafi kwa viwanda vyetu. Lakini uzito huu hauendani kabisa na mikakati ya serikali kuhakikisha kwamba mapato ya kodi yanaenda huko kwa wingi. Hata ukitizama mikopo ya serikali (deni la taifa) kutoka nje, ni kiasi kidogo sana kinaelekezwa kwenye sekta ya kilimo. Lakini ni wakulima hao hao ndio wanatarajiwa kulipa sehemu kubwa ya mikopo hii. Nk. Nk.
Matokeo yake ni mzalishaji kuvunjika moyo na kupunguza kasi ya uzalishaji.
Tuendako:
Wananchi wataanza kufa njaa lakini kwa vile DCs wameshaambiwa kwamba 'tusisikie watu wanalalamila njaa kwako', wakuu hawa watakaa kimya kuogopa kutumbuliwa. By the time hatua za maana zinakuja chukuliwa na serikali kuu, hali itakuwa imeshafikia pabaya. Kwa watu wa mijini, hasa DSM, hili halitaonekana mapema kwa sababu most food inapelekwa huko. Wataanza kufikwa kwanza na mfumuko wa bei bidhaa za vyakula na baadae ndio uhaba utawakumba. Kipindi cha 2017-18 kitakuwa ni kigumu sana kwa watanzania.