Sir kijangwa
Member
- Mar 10, 2014
- 80
- 34
Wakuu msaada tafadhali mimi tayari ni mtumishi wauma naenda kujiendeleza kwa ngazi ya shahada .nimechaguliwa idol meals guy kwa kozi tajwa halo Juu.
Je, kozi hii inaweza kunisaidia kutoka kituo cha kazi kwenda halmashauri au wizarani? Ubora wa kozi hii inayotolewa udom tu ni upi?
Ushauri tafadhali
Je, kozi hii inaweza kunisaidia kutoka kituo cha kazi kwenda halmashauri au wizarani? Ubora wa kozi hii inayotolewa udom tu ni upi?
Ushauri tafadhali