mbombo mte
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 713
- 190
Wana Jf, nimekuwa mara nyingi natafakari nichukuwe kanuni gani jinsi ya kuishi ktk maisha, lakini nimekuja kuona hakuna kanuni yoyote. Labda ba ndugu nisaidieni maana:
1. Nimeona wenye haraka haraka wamepata mafanikio,
2. Jamaa walivumilia mwishoni wakaja kula zilizooza badala ya mbivu,
3. Kuna wegine walikuwa na subira wakaja kumbulia nuksi na balaa,
4. Na ambao hawakusikia la mkuu wala hawakuvunjka guuu,
5. .................................................................
6......................................................................,
EBU NISAIDIENI WANAJF.
1. Nimeona wenye haraka haraka wamepata mafanikio,
2. Jamaa walivumilia mwishoni wakaja kula zilizooza badala ya mbivu,
3. Kuna wegine walikuwa na subira wakaja kumbulia nuksi na balaa,
4. Na ambao hawakusikia la mkuu wala hawakuvunjka guuu,
5. .................................................................
6......................................................................,
EBU NISAIDIENI WANAJF.