Habari wana jamvi. Mtu mwenye shahada ya Elimu (BA.Ed) akitaka kusoma course ya shahada anaweza kusoma course ipi nyingine kwa kutumia vigezo vya shahada ya Elimu. Msaada
Anasoma kozi nyingine yoyote, Kuna Mwalimu wangu wa shule ya msingi sasaivi anafanya kazi Benji ya NMB, kwa hiyo inawezekana ili mradi uwe na sifa stahiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.