Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,761
- 38,196
cha ajabu tangazo la pespsi wanalipiga.
domo hakwepeki aisee
domo hakwepeki aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magumashi kama hizi ndo tunazikataa weka hapa hiyo Zero tuamini kama tulivoona ya DABB12 ana division 0 form four, Kennedy ni la saba failure
Sasa unategemea nin kutoka kwao
Na wewe mwenye division I-3 form six tumetegemea nini kutoka kwako?B12 ana division 0 form four, Kennedy ni la saba failure
Sasa unategemea nin kutoka kwao
Na wewe mwenye division I-3 form six tumetegemea nini kutoka kwako?
Acha dharau mkuu, muanzisha hii thread sijaona akizungumzia hayo masuala uliyoyaleta hapa
Hahaha we chalii bhana!!Twangala Twizzy form4 alipata Div.3 ya mwishoni apa Arusha sec.,Ila advance akapata div.2..sasa iyo Zidgi zeho duuh.!!Kuhusi Kenedy sijuiB12 ana division 0 form four, Kennedy ni la saba failure
Sasa unategemea nin kutoka kwao
Sass Kama unaujua yanini uuombe pale we we unajua diamond na clouds ni tofauti
Watangazaji hawa wamenishangaza leo msikilizaji kaomba wimbo wa Innos B ft Diamond plutnumz - Yope rmx wanasema hawaujui wakati wimbo huo youtube una trend number 1 kwa taarifa yenu huu wimbo ndo habari ya mjini huku kitaa nakaribisha povu
Mwambie Hugo ng'ombe anajiongelesha Sana hapaKwani ukiwa trending n
o 1 youtube ndio lazma waujue?
Mi nyimbo za ally kiba huwa sizijui hata
zikitrend no 0
kwani zikitrend no 0 si ndo inatakiwa usizijue, au hujaelewa ulichokiandika, trend 0 inamaanisha no trending at all
Kati ya hao wawili nani ni punga ? kwa sauti ya konki masterWatangazaji hawa wamenishangaza leo msikilizaji kaomba wimbo wa Innos B ft Diamond plutnumz - Yope rmx wanasema hawaujui wakati wimbo huo youtube una trend number 1 kwa taarifa yenu huu wimbo ndo habari ya mjini huku kitaa nakaribisha povu
Aisee.!!Kati ya hao wawili nani ni punga ? kwa sauti ya konki master
AhahahaaaaaaahNimewaskia Leo tena Ghea na Jose Marah Wanamwongelea Mbosso kuhusu alichokipost baada ya Kifo cha Martha wa Cheka Tu.
Ndoivo mkuu hadi nikajiuliza itakua nimegeuza betrii nini??kucheki frequence kweli ni 88.1 Arusha daah!!Ahahahaaaaaaah