Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,059
- 7,189
kutokana na mfumuko wa bei unaoendelea nchini bila ufumbuzi wa tatizo hili,imepelekea thamani ya fedha za ndani kushuka..ni wazi sasa ukienda na sh.elfu kumi sokoni haitoshi kwa mahitaji ya nyumbani kwa siku.
Ni tofauti na miaka ya nyuma,kwani hadi mwaka 1993 shiling ya Tanzania ilikua na thamani kubwa angalau.
Kutokana na tatizo hili BOT yaweza kuanzisha noti mpya ya sh.elfu ishirini (20,000) kwenye mzunguko ili kupunguza hadha ya kubebelea noti nyingi kununua vitu vichache.
Je nini madhara yake(hasara na faida kama zipo) kiuchumi na kijamii?
Ni tofauti na miaka ya nyuma,kwani hadi mwaka 1993 shiling ya Tanzania ilikua na thamani kubwa angalau.
Kutokana na tatizo hili BOT yaweza kuanzisha noti mpya ya sh.elfu ishirini (20,000) kwenye mzunguko ili kupunguza hadha ya kubebelea noti nyingi kununua vitu vichache.
Je nini madhara yake(hasara na faida kama zipo) kiuchumi na kijamii?