Please don't go NIT, i beg you.Habar wadau,bachelor degree in accounting and transport finance ni course inayopatikana nit,sasa nauliza INA utofauti gan Na bachelor of accountancy inayotolewa Na vyuo vingine hap Tz.
Iv NIT kipo hovyo sanaaa ? Nilikuja weekend moja apo dah nikaona wasomi wa pale wana mazingira magumu some lecture hall hamna madirisha .....ile block 20 hovyoooo kbs
Coz yako ina matter kwny transport sectors . Bach of Account ina matter general environment. ingawa content ni same kwa 90% .hyo ya nit ina logistics transactions na ni complicated sana na haina soko.Habari wadau, bachelor degree in accounting and transport finance ni course inayopatikana NIT, sasa nauliza INA utofauti gan Na bachelor of accountancy inayotolewa Na vyuo vingine hap Tanzania.
ushaur mzuri sanaHao wanaokushaur usome nit. Hawajui walisemalo. Kijana shtuka mapema. Nenda TIA kuna coz inaitwa bacherol of public sector accounting and finance ni nzuri na inasoko au IFM na IAA arusha.kuliko hapo kama hauna mtu wa kukushika mkono mbeleni.
sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
ahaa NIT RED ALARM MKUU tunalitambua hilo...Please don't go NIT, i beg you.
Hahahhahahhahaa NIT RED ALARM MKUU tunalitambua hilo...
ukweli usiopingika si mshauri mtu asome hiki chuo na sijuh kwanini wameshindwa kukizuia kisidahili hawa TCU nao majipu..Hahahhahahh
Kile chuo ilipasa kiachiwe madereva tu, msema kweli ni mpenzi wa Mungu.ukweli usiopingika si mshauri mtu asome hiki chuo na sijuh kwanini wameshindwa kukizuia kisidahili hawa TCU nao majipu..
ubabe mwing na mkuu mwnyew anashangaa kwa nini kinatoa degree badala ya diploma na certificate...Kile chuo ilipasa kiachiwe madereva tu, msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Haya makozi mengine shida tupu pale.