Mu7
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 1,560
- 1,821
Kumbe na ww watu kuchati kunakuuma eeh?? Wachawi mko wengi Tanzania hii Wallah!!!Serikali ifanyie kazi Ushauri huu Mzuri sana. Hata isipoitwa kodi ya Uzalendo lakini HAKIKA HIKI NI CHANZO KIZURI SANA CHA MAPATO/KODI KWASABABU TANZANIA HII MTU YUPO RADHI AKOSE VINGINE LAKINI SIO KUKOSA BANDO LA KUCHATI KWENYE GROUP NA TWITTER KUFUATIA MANGE, KIGOGO, KAJALA NA PAULA