Azzan Zungu ataka uwepo wa kodi ya uzalendo itakayokatwa kwenye Mitandao ya simu kwa kila Mtanzania

Kuanzia 26 Julai 2021 kila uingiapo kwenye menyu yoyote ya Bank utatozwa Tsh100 kwenye salio lako la muda wa maongezi.
Tunatekeleza
 
Rais hakatwi kodi kwenye mshahara wake
Majaji hawakatwi kodi kwenye mshahara wao

Waanze hao nao kulipa kodi ili tuweze kusema kuwa kulipa kodi ni uzalendo
 
IMG-20210803-WA0150.jpg
 
Back
Top Bottom