Azythromicin inatibu 'infections zinazowapata watu wenye VVU/UKIMWI

Hakuna ugonjwa wa UKIMWI kama lilivyo neno lenyewe Upungufu wa Kinga Mwilini (AIDS).

Kinga ya mwili ikipungua, mwili hushambuliwa na vidudu mbalimbali za magonjwa. Kinga ya mwili hupungua kwa sababu mbalimbali lakini siyo K
kwa kirusi cha HIV, kama tunavyoaminishwa na wanasayansi, ambao mpaka kesho wanabishana. Hata vipimo vinavyotumika kupima kuwepo na HIV katika mwili wa binadamu si vya uhakika. Pia, imethibitishwa kuwa si kila mwenye HIV kinga ya mwili wake hupungua na kusababisha hicho kinachoitwa UKIMWI (AIDS).
Acha kupotosha. Vipimo siyo sahihi una vijua? Unajua principle zake!? Ulisha performed any HIV test? Unafata mkumbo?
 
Huyu jamaa ukifuatilia posts/threads zake nyingi anazotupia humu...ukiweka umakin unaweza kujua kuwa ana tatizo kubwa sana la akili.
 
Hakuna ugonjwa wa UKIMWI kama lilivyo neno lenyewe Upungufu wa Kinga Mwilini (AIDS).

Kinga ya mwili ikipungua, mwili hushambuliwa na vidudu mbalimbali za magonjwa. Kinga ya mwili hupungua kwa sababu mbalimbali lakini siyo K
kwa kirusi cha HIV, kama tunavyoaminishwa na wanasayansi, ambao mpaka kesho wanabishana. Hata vipimo vinavyotumika kupima kuwepo na HIV katika mwili wa binadamu si vya uhakika. Pia, imethibitishwa kuwa si kila mwenye HIV kinga ya mwili wake hupungua na kusababisha hicho kinachoitwa UKIMWI (AIDS).
Acha upotoshaji

Haya unayoeleza umeyatoa wapi
 
Kisandu huyu ni mgonjwa akili wamesema inatiba ugonjwa fulani kwa carriers wa HIV na sio kama inatibu Ukimwi !!
Psychopathic JF utoeni huu uzi mtapata lawama na institutions zinazohusika statement ya kwenye prescription iko explicit
Umemalizia vzuri sana mkuu japo umeanza na kum.tu.kana vile
 
inatibu vyote mpaka UKIMWI, nimekwisha jaribisha kwa wagonjwa wengi tu na wamepona.
Hongera kwa uchunguzi wako.Lakini hivi Vidonge vya ( Azithromycin) havitibu Ukimwi. Vidonge vya (Azithromycin)Vinatibu bacterial infections sio Virus.

Azithromycin is an antibiotic useful for the treatment of a number of bacterial infections.[2]This includes middle ear infections, strep throat, pneumonia, traveler's diarrhea, and certain other intestinal infections.[2] It may also be used for a number of sexually transmitted infections including chlamydia and gonorrhea infections.[2] Along with other medications, it may also be used for malaria.[2] It can be taken by mouth or intravenously with doses once per day.[2]

Common side effects include nausea, vomiting, diarrhea and upset stomach.[2] An allergic reaction or a type of diarrhea caused by Clostridium difficile is possible.[2] No harm has been found with its use during pregnancy.[2] Its safety during breastfeeding is not confirmed, but it is likely safe.[3] Azithromycin is an azalide, a type of macrolide antibiotic.[2] It works by decreasing the production of protein, thus stopping bacterial growth.[2]

Azithromycin was first made in 1980.[4] It is on the World Health Organization's List of Essential Medicines, the most effective and safe medicines needed in a health system.[5] It is available as a generic medication[6] and is sold under many trade names worldwide.[1] The wholesale cost in the developing world is about 0.18 to 2.98 USD per dose.[7] In the United States it is about 33 USD for a course of treatment. chanzo.Azithromycin - Wikipedia

Azithromycin.jpg
Vidonge vya Azithromycin.jpg



 
Huyu jamaa anatakiwa asaidiwe. Nashauri ukoo wafanye kikao wachange apelekwe mirembe akachekiwe
 
Mkuu tatizo lako nafikiri ni lugha, Azuma ni azithromycin ambayo ni antibiotics kazi yake sio kutibu hiv bali inatibu magonjwa yaani infections zinazowasumbua watu wenye upungufu wa kinga mwilini
Especially tuberculosis aka TB ambayo ni adui mkubwa kwa watu wenye HIV so inakuwa inawapa kinga dhidi ya magonjwa nyemelezi kama ya Bacteria....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom