kemi2011
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 735
- 290
Kuna MTU yuko Facebook anajiita Aziz Cargo, anatangaza kuuza bidhaa kwa bei ya chini sana na kwamba anampelekea mteja mzigo wake popote alipo Tanzania.
Jamani MTU huyu ni tapeli na mwizi mkubwa namba anayotumia ni 0719639731 Mimi nimeishaibiwa
Kama kuna MTU anajua namna ya kukamata matapeli na wezi wa mitandao plse saidia kabla hajawaliza wengi.
Akipokea pesa baada ya mda mfupi anakublock, kuweni makini
Jamani MTU huyu ni tapeli na mwizi mkubwa namba anayotumia ni 0719639731 Mimi nimeishaibiwa
Kama kuna MTU anajua namna ya kukamata matapeli na wezi wa mitandao plse saidia kabla hajawaliza wengi.
Akipokea pesa baada ya mda mfupi anakublock, kuweni makini