Azinduka Toka Kwenye Koma na Kuanza Kuzungumza Kijerumani

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,316
33,125
4353426.jpg

Wednesday, April 14, 2010 9:03 PM
Msichana mmoja wa nchini Croatia amewashangaza watu wengi baada ya kuzinduka toka kwenye koma baada ya kupoteza fahamu kwa masaa kadhaa akiwa ameisahau kabisa lugha yake halisi na kuanza kubonga kijerumani kama vile alizaliwa nacho. Msichana huyo ambaye alipoteza fahamu kwa masaa 24 wiki mbili zilizopita, amewaacha madaktari wakiumiza vichwa kutokana na hali aliyo nayo.

Msichana huyo alizinduka akiwa ameisahau kabisa lugha yake ya Croatia na kuanza kuzungumza kijerumani fasaha kama vile alizaliwa nacho.

Wazazi wake walisema kuwa msichana huyo alikuwa akijifunza kijerumani shuleni na pia akiangalia shoo za kijerumani kwenye luninga lakini kijerumani kilikuwa hakipandi kabisa akishindwa hata kuziunga sentesi kifasaha.

"Huwezi kujua ukizinduka toka kwenye koma ubongo utakuwa katika hali gani", alinukuliwa mkurugenzi wa hospitali ya KB Hospital ambayo msichana huyo alikuwa amelazwa.

Madaktari kadhaa wamejaribu kumfanyia uchunguzi msichana huyo lakini wameshindwa kujua chanzo cha hali iliyomtokea.
http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsId=4353426&&Cat=2
 
haya sometimes ni mambo yasiyo na mashiko, huo ni uongo uliodhahiri, kama huyo mama alikuwa hajuhi Kijerumani kabisa amewezaji kukuongea?
 
Hiyo kweli kabisa.
Kuna ndugu yangu alipoteza fahamu kwa zaidi ya mwezi mmoja baada ya ajali iliyomuuza vibaya kichwa chake.
Alipozinduka akapoteza kabisa kumbukumbu zake binafsi ikiwa ni pamoja na kusahau jina lake.
Lakini watu wengine wote aliweza kuwakumbuka na kukumbuka mambo yao.
 
4353426.jpg

Wednesday, April 14, 2010 9:03 PM
Msichana mmoja wa nchini Croatia amewashangaza watu wengi baada ya kuzinduka toka kwenye koma baada ya kupoteza fahamu kwa masaa kadhaa akiwa ameisahau kabisa lugha yake halisi na kuanza kubonga kijerumani kama vile alizaliwa nacho. Msichana huyo ambaye alipoteza fahamu kwa masaa 24 wiki mbili zilizopita, amewaacha madaktari wakiumiza vichwa kutokana na hali aliyo nayo.

Msichana huyo alizinduka akiwa ameisahau kabisa lugha yake ya Croatia na kuanza kuzungumza kijerumani fasaha kama vile alizaliwa nacho.

Wazazi wake walisema kuwa msichana huyo alikuwa akijifunza kijerumani shuleni na pia akiangalia shoo za kijerumani kwenye luninga lakini kijerumani kilikuwa hakipandi kabisa akishindwa hata kuziunga sentesi kifasaha.

"Huwezi kujua ukizinduka toka kwenye koma ubongo utakuwa katika hali gani", alinukuliwa mkurugenzi wa hospitali ya KB Hospital ambayo msichana huyo alikuwa amelazwa.

Madaktari kadhaa wamejaribu kumfanyia uchunguzi msichana huyo lakini wameshindwa kujua chanzo cha hali iliyomtokea.
NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.

Hakuna maajabu yoyote ya dunia ,.ni study ya ubongo tu ,.kuna seheme yenye uwezo wa kutunza kumbukumbu hata za utotoni,kama hakuzaliwa ujerumani basi wazazi wake walikuwa wanazungumnza kijerurumani,.zamani,...hiyyo mifano tumeiona mingi,...hakuna maajabu ya dunia hapo ni ubongo tu,...na sehemu zake za kumbukumbu huwa hauasahau kitu,..
computer huwa ina Recovery program,....mafaili hata uliyoyasahau utkiwanayo yanakuja,....
 
hakuna lolote kila kitu wao tu hivi why wao basi kuna jamaa mmoja nae alizimia ila alipo zinguka tu akataka pombe inakuwaje jamani,huyo alikuwa mjeru ila ni homa tu mbona wabongo wengi wanatamani sana language fulani ila hata azimie vipi akiamka kama kawa lugha ya madafu ile wao
chanaga la macho
conquest-utamu wa sukari tunaipenda ila ni homa
 
Back
Top Bottom