Azinduka Toka Kwenye Jeneza Siku Sita Baada ya Kufariki

Status
Not open for further replies.
Wewe nawe maiti ina "flow of blood and water." ?

Nakubaliana na Gavana, walimdhania kafa.

Mi nanunua sana nyama katika mabucha kila siku zikiwa na damu inayochurizika.Bandama lenyewe ukiliminya linabadilika kuwa damu achilia mbali maini.Maji yapo ktk utumbo mkubwa.Pia ujue Yesu alipewa siki alipoomba maji nayo inabadili tabia ya damu.Joto la middle east na kizoezi alichopewa miwli ulichukua masaa mengi kupoa.

Waulize wanya pombe wakikatwa mwili damu inavyochelewa ganda.Seems utaihsia kuwa Mkristu.
 
Warumi walikuwa na njia bora kwa kipindi kile za kutesa na ilikuwa ikiwaa furaha kama mchezo wakusisimua.Hawakuwa na haja ya kuvunja miguu ya mfu.Pia mari ya kiongozi wao haikuwa ya kuchezea kama unavyojaribu shawishi hapa.Na huna ushahidi kuwa hao askari hata kama walikuwa wakijua kuwa alikuwa hana hatia,bado wangeona sababu ya kumuokoa na si kuenjoy mauaji au hata kulinda uhai wao mbele ya kaisari.Pia unasahau wayahudi walikuwa na akili sana ndio maana waiweka taadhari.

SO muwe mnasoam mistari n akuilewa huku mkiwa na reference nyingi.


Acheni uongo nyie damu ina mazingira ya kuganda.Damu zipo hadi katika nyama za wanyama zilizotundikwa masaa kibao zikiwa exposed ktk hewa, ndio Yesu aliyekuwa chini ya masaa 3?Na ushahidi ni aliwahishwa kuzikwa mapema kabla ya sabato kwa taratibu za kiyahudi.

Kutoa bandama au ini ni sehemu za mwili ambazo zenyewe tuu ni kama damu na zina damu nyingi,maji yapo ktk utumbo.Pia mjue kuwa alipewa siki alipoomba maji nayo pia inachange behavaious ya damu.

unaelewaje 3(day+night)? na hii 3days and 3nights, na hii 1day+3nights?


Kumbuka Yesu alijfananisha na Yona kwa kuwa ndani ya kitu na siku symbolically na si literally(ingekuwa literally basi naye pia ingebidi amezwe na huyo nyangumi).Kwanza Yona alimezwa na hivyo hakupata physical injuries ambazo zingeweza haribu sensitive organs.Ila Yesu alipigwa MKUKI na kilichotoka kinaonyesha kuwa kuwa aliumizwa kati ya ini ama bandama na utumbo mkubwa wenye maji.

Yona angekumbwa na ukosefu wa hewa na kuanza sumbuliwa na digestive juices za huyo samaki.Ila inategemea huyo samaki alimeza nini tena kinachoweza kuwa more reactive/absoptive zaidi ya mwili wa Yona hivyo yona kuwa protected.Pia kuhusu Oxygen yona kam alizimia na kuwa ktk semi com auhitaji wa oxygen unakaribia zero au km si zero.Wapo watu wengi wameokolewa toka tumboni mwa chatu.Na wengi wao waliokolewa walipona kama chatu hakuwapiga meno ,na kuwapa backeria au virus.Ila wengi ngozi zao zilibanduka na kubaki kama wameungua kwa vile digestive juices zilishaanza washambulia.

PIA SI SECURE SANA KWAKO KAMA MUUMINI WA UWEPO WA MUNGU MWEZA YOTE.KWANI KAMA MUNGU WAKO HAWEZI MORACLES KIDOGO KWA YONA,NA KWA YESU iweje Yesu afanye zaidi yake kwa kufufua waliokwisha toa harufu?Mnajikata mkia mkidhani mnakata wa mwingine

Umemezwa na propaganda kiasi huwezi angalia kitu kwa akili yako.Watu wengine pamoja na kuwa si wakufaulu sana,ila wanafeli mitihani kwa uzembe.Mfano teja anashindwa jibu madhara ya unga huku kila siku naowaona wenzie.Kuna ubishi mwingine waislam wanaendesha bila kuwa makini unawapeleka katika kufuru zaidi ya wema wanaoutafuta.
METHODS OF CRUCIFIXION

ORIGINS OF CRUCIFIXION


Crucifixion was the common mode of eliminating political prisoners, murderers and insurgents. Long before the birth of Jesus, the Phoenecians had experimented with various methods to get rid of their anti-social characters. They had tried hanging, impaling, stoning, drowning, etc. But all these were too quick in their effects; the culprits expired too soon for their liking. So they invented the crucifixion, a system which produced a slow L-I-N-G-E-R-I-N-G death.



TWO METHODS OF CRUCIFIXION



The Romans borrowed and perfected the system. They developed a crucifixion for fast death and disposal, and another for a slow death and disposal.


The Christian Masters[SUP]1[/SUP] are confused in their paintings of the gruesome scene. They portray the two robbers[SUP]2[/SUP] who were simultaneously crucified with Jesus, his "crossmates", one on his right hand and the other on his left hand, as undergoing the FAST method, whereas Jesus himself is painted as undergoing a S-L-O-W process.



The Romans never combined these two different methods. They were never confused, as the Christian artists were, with the fast and the slow methods. The Old Masters have painted hybrid crosses (mixture) of the "fast" and "slow" methods in their drawings of Jesus' bodily supports on the cross - i.e. with Sadile or without sadile [SUP]3[/SUP] either nails or leather thongs to bind the arms to the crossbar; and, either platforms to support the feet, or spikes.



1. Meaning great artists like Michaelangelo, Rembrandt, Leonardo Da Vinci, etc.

2. Mark 15:27 - "lestes" in the original. Alternatively translated as "thieves" or "brigandas" is actually a derogatory term for "Zealot." These "crossmates" of Jesus were not common thieves or crooks. They were the terrorists of their day, heroes of their nation.


3.
Sadile: Obviously a SADDLE, or "horn" which was fitted in the middle of the upright piece of the cross, so that it projected between victim's legs at the crotch to support his body-weight, but for aesthetic reasons the Christian fathers have eliminated the "horn" from the cross. See illustrations further down.



"THE GOSPEL UNTRUTH"


Contrary to common belief, Jesus was not nailed to the cross, but bound, if at all, like the other two. In the light of the knowledge available, we must regard the "Doubting Thomas" episode as a flagrant "gospel fabrication", similar to the story of the woman caught in the act of adultery.

See below for a reproduction of the Bible page and note that John chapter 8, begins with verse 12. Can you imagine any chapter in any religious Book beginning with verse 12 as the first verse? Verses 1 to 11 are expunged as a fabrication by the 32 Christian Scholars of the highest eminence, backed by 50 co-operating denominations in their

"Most up-to-date Version of the Bible"- the R.S.V.
[SUP]1[/SUP]


1.
R.S.V
. stands for Revised Standard Version, first published in 1952. The translators claimed to have had access to the "Most Ancient Manuscripts" from which they learnt that the story about the adulteress was a fabrication.


Image39.jpg


THIS IS A FOOTNOTE, REPRODUCED AS IS FROM THE BIBLE.



THEIR HURRY A BLESSING IN DISGUISE


T
he Jews were in extreme haste to have Jesus done away with.

Remember the midnight trial?
Early in the morning, they dragged him to Pilate.
From Pilate to Herod.
From Herod back to Pilate.

According to a boisterous American (another "born-again") there were "SIX" trials within twelve hours.

At the busiest time in Jerusalem, around the Feast of the Passover, it appears from the Gospel narratives that people of worth had nothing else to do but twiddle their thumbs in great expectation of interviewing Jesus. Exactly as things happen on the "set", for the shooting of films. Hurry! hurry! hurry!



According to the Gospel writers, the Jews and the Romans managed to have Jesus on the cross by the 6th hour, that is by 12 noon; and by the 9th hour[SUP]1[/SUP], that is, by 3 o'clock he had given up the ghost - he had died (?).
Strange people, these Jews! As much as they were in a hurry to mount Jesus on the cross, no sooner had they succeeded, they were once more agitated to bring him down.

Can you imagine why?

Their religious scruples -the Sabbath! They were warned in the "fifth Book of Moses":



"His body
(any crucified person) shall not remain all night upon the tree, but thou shah in any wise bury him that day, (for he that is hanged is accursed of God), that thy land be not defiled, which the Lord thy God giveth thee for an inheritance."

(HOLY BIBLE) Deuteronomy 21:23


To appease the religious scruples of the Jews (or for any other reason) if it became necessary to expedite death on the cross, the executioners resorted to the "cruri-fragium", a club like horror with which the legs were broken.
The victim expired by suffocation within the hour.
This was the fast method.


1. Matthew 27:46. 32



Image40.jpg

This drawing is an attempt at a more accurate representation of the "execution" of Jesus. To check his ideas the artist Charles Pickard, actually manoeuvred himself into this position.

 
unajua nilikuwa nashangaa imekuweje tukatoka katika mada husika tukainga katika personal attacks.Kumbe ni udini wa watu humu ndani.Kila waongeacho watu wao wanawahi fananisha na dini huku wakiwa na mtazamo mbaya kuhusu dini yao wenyewe.Sasa kama nyie mnazika faster si mahlai pa kujifunza hapa?Na coincidences pia inabidi mhusika atumie busara.
Sasa kama by coincidende nilikuwa naangalia mpira mpira ghafa messi akafunga goli nikashangilia halafu bahati mbaya na wewe ukajamba huku ukiwa na mwenzi wako.kwanini uanze nionyesha nisichokiona,ungepaswa subiri ili ujue kama nilikuwa nacheka hicho au lah.Then ndio utake ujue nimekuoaje au kusikiaje?Kwa chabo au wewe ulizidisha misifa.

HAKUNA PERSONAL ATTACK , HAKUNA MTU HUMU JF ALIANDIKA BIBLIA AU babu yako ni MUANDISHI WA BIBLIA?????

READ PLEASE , FROM THE SCRIPTURES

GOD'S WAYS ARE NOT OUR WAYS
Was the prayer of Jesus (pbuh) being answered? He had cried (o the loving father in heaven for help, with strong crying and tears:

"And being in an agony, he prayed more earnestly;


and his sweat was, as it were, great drops of blood falling down to the ground"
(HOLY BIBLE) Luke 22:44



What can be expected from such heart-felt prayer and importuning? One of the four brothers[SUP]1[/SUP] of Jesus reminds us that:



"The effectual fervent prayer of a righteous man availeth much."
(HOLY BIBLE) James 5:16



Such heartfelt prayers! Such blood-curdling cries! Such sorrow and sobs! A cynic remarked that it would even bring God down from His Throne.[SUP]2

[/SUP]


1. The Christians give brothers and sisters to Jesus, through a union of Mary with Joseph the Carpenter. (Matthew 13:55-56).
2. God Almighty does not go up or down He is Omnipresent. All-Prevading. Present everywhere!



GOD ACCEPTED JESUS' PRAYERS


Paul confirms that his supplications did not fall on deaf ears:
"Who, in the days of his flesh, when he had offered up prayers and supplications with strong crying and tears unto him that was able to save him from death, and was HEARD in that he feared."
(HOLY BIBLE) Hebrews 5:7



What does it mean "God heard" his prayers! It means that God accepted his prayers. God Almighty is not deaf at any time. He is the All-Hearing God. He heard (accepted) the supplication of Jesus in the same way that He had heard (accepted) the prayer of father Abraham. Abraham, in his old-age had prayed for a son, and Ishmael was born. The words of Abraham had become flesh.

Ishmael literally means "GOD HEARD", in Hebrew.
Zakariah also in his old-age prayed for a son, and God heard (accepted) his prayers, and John the Baptist was born.

Now Jesus cried for help, and God heard (accepted) his prayers:



"And there appeared an angel unto him from heaven, strengthening him."


(HOLY BIBLE) Luke 22:43


Strengthening him in the faith, in the hope that God will save him.

This is actually what he was beseeching God to do for him. When and how rests alone in the Hands of God. His ways are not our ways. Count the blessings so far:



(a) An assurance from Heaven.



(b) Pilate finds him, not guilty!



(c) His wife shown a dream in which she is told that no harm should come to Jesus.



(d) Legs not broken!



(e) In a hurry to bring him down from the cross.



WHAT USE - "THE BONES" . . .


The fourth above: "and they brake not his legs", we are told was in fulfilment of a prophecy:



"He keepeth all his bones, not one of them is broken."



(HOLY BIBLE)
Psalm 34:20


If the bones of a victim were to be protected from harm, then they could only be of benefit if the person was ALIVE! For a person, already dead, intact bones mean nothing.

Whether they are sawed into pieces, or smashed into smithereens, it will not make any difference to the resurrected body, the spirit or the ghost. But for living persons on the cross (like the "crossmates" of Jesus), the breaking of the legs made all the difference between life and death. The pagan Romans were not hell-bound to fulfil any prophecy.

Their reason was that they "SAW that he was dead already, they brake not his legs". -
(HOLY BIBLE) John 19:33


"SAW"
is a very simple word. We may yet ask, what did they see? Could it be the fulfilment of the words of Christ:
"seeing, ye shall see and shall not preceive" -
(Matthew 13:14).

When John says that the soldiers "saw", he means that they surmised. For no modern-day stethoscope was used to verify death; nor did anyone touch his body or feel his pulse before concluding that "he was dead already". I see in the word "saw" another step in God's plan of rescue.

 
HAKUNA PERSONAL ATTACK , HAKUNA MTU HUMU JF ALIANDIKA BIBLIA AU babu yako ni MUANDISHI WA BIBLIA?????

READ PLEASE , FROM THE SCRIPTURES

GOD'S WAYS ARE NOT OUR WAYS


WHAT USE - "THE BONES" . . .


The fourth above: "and they brake not his legs", we are told was in fulfilment of a prophecy:



"He keepeth all his bones, not one of them is broken."



(HOLY BIBLE)
Psalm 34:20


If the bones of a victim were to be protected from harm, then they could only be of benefit if the person was ALIVE! For a person, already dead, intact bones mean nothing.

Whether they are sawed into pieces, or smashed into smithereens, it will not make any difference to the resurrected body, the spirit or the ghost. But for living persons on the cross (like the "crossmates" of Jesus), the breaking of the legs made all the difference between life and death. The pagan Romans were not hell-bound to fulfil any prophecy.

Their reason was that they "SAW that he was dead already, they brake not his legs". -
(HOLY BIBLE) John 19:33


"SAW"
is a very simple word. We may yet ask, what did they see? Could it be the fulfilment of the words of Christ:
"seeing, ye shall see and shall not preceive" -
(Matthew 13:14).

When John says that the soldiers "saw", he means that they surmised. For no modern-day stethoscope was used to verify death; nor did anyone touch his body or feel his pulse before concluding that "he was dead already". I see in the word "saw" another step in God's plan of rescue.




Siwezi soma mammbo jambo kind of article,Article isiyokuwa na maana hapa wala haionyesh inataka jibu nini zaidi ya kushambulia Christianity kipuuzi. Nimechukua kipande hichi kwa vile kinabeba na kujibu yote. Hapa hii article ndeefu uliyoweka haina msaada kwako kuthibitisha kuwa Yesu hakufa na Hii ni challenge ambayo muslim scholars of all ages walishindwa sema kama Yesu hakufa nani alikufa?Wengi walikimbilia kuwa ni Yuda wngine Mungu aliweka mtu wa mfano wake.wengine wakaamua jifanya kuwa wanamheshimu sana,kwa kujidai kuwa mungu asingeachia nabiialiyempenda kam Yesu afe kifo kama kile.Ingawa Quran yenyewe haikusema hayo zaidi ya kueleza kuwa wayahudi walisema kuwa si wao walimuua Yesu, halafu ikapose swali.
Mimi nimekueleza kuwa wayahudi kusema kuwa si waliomuua walikuwa sahihi,kwani katika sheria za Rumi mtawala wao hakuna myahudi aliyeruhusiwa.Na amri ya kuhukumu kifo ilimaanisha kuretard au kuasi na hukumu yeke ilikuwa mbaya.Wao walimshitaki kwa uongo,hapakuwa na ilipofika katika kuchagua mtu wa kutoa(Msamaha kama wa rais ) katika siku inayokaribia Passover km msamaha.Bado walichagua mwingine Baraba.

Hoja ya article ya kukusaidia ni dhaifu kwani mwandishi kakwepa ukweli kuwa Askari hawakuona haja ya kuvunja mguu wa mfu,kwani lengo ni kuongeza maumivi kadiri iwezekananvyo.Sasa mwandishi kudai kuwa waliangalia bila kuona ndio ulikuwa msaada ni hoja ya kijinga kwani.Askari pia walikuwa na option ya kugusa.Pia askari pia nao waliamua kuhakiki/kuondoa uwezekano wa Yesu kuwa hai na baadaye kupata nguvu kwa kumchoma mkuki.Na kuthibitisha kuwa mkuki wenyewe uliingia na kuharibu organs muhimu kwa uhai, ndio kutoka kwa maji na damu.


Its sad kwani sikutaka uliza motive yako na what you want to achieve unapohimiza discussion kuhusu Yesu na Ukristu katik thread ya watu kuzikwa haraka,which is the real issue .Kwani bado siku zinaendelea na definition ya Death inaingia majaribuni kadiri siku ziendavyo.
Waislam mmekuwa wepesi kimbilia kila kitu kinachopinga Ukristu bila kujua vingine vinapingana na dini ya kiislam.Na hii ni kwa vile haman muda wa kusoma vitabu vyenu kwa mkiwa na fikra wazi.Kuna maswali muhimu ya kujibu kuhusu uislam na hatma yako kiroho na mwenendo wa dunia kuliko poteza muda na kuingia katika kufuru bila kujijua.Kushambulia Ukristu hakufanyi Mtu aone uislam kuwa palatable,kwani ni kuwafanya watu wasiamini Mungu tuu.Kuna mambo mengi yanayoonekana na yanataosha kabisa kumkimbiza mtu toka uislam hata bila soma Vitabu vyovyote.Mungu wa Ukristu si Mwongo na ujue Uislam hauwezi survive bila kuogelea pembeni ya Uyahudi na Ukristu.Mara zote uislam uislam umejaribu jifananisha ni na Characters wa vitabu vya haya makundi na baadaye kudai kuwa wameboresha.

Sasa uiache thread iendelee na maana yake.Endelea na hii article,na ukiweza soma zote na kma hujaridhika na majibu waandikie.
http://y-jesus.com/wwrj/6-jesus-rise-dead.php/5/
 



Siwezi soma mammbo jambo kind of article,Article isiyokuwa na maana hapa wala haionyesh inataka jibu nini zaidi ya kushambulia Christianity kipuuzi. Nimechukua kipande hichi kwa vile kinabeba na kujibu yote. Hapa hii article ndeefu uliyoweka haina msaada kwako kuthibitisha kuwa Yesu hakufa na Hii ni challenge ambayo muslim scholars of all ages walishindwa sema kama Yesu hakufa nani alikufa?Wengi walikimbilia kuwa ni Yuda wngine Mungu aliweka mtu wa mfano wake.wengine wakaamua jifanya kuwa wanamheshimu sana,kwa kujidai kuwa mungu asingeachia nabiialiyempenda kam Yesu afe kifo kama kile.Ingawa Quran yenyewe haikusema hayo zaidi ya kueleza kuwa wayahudi walisema kuwa si wao walimuua Yesu, halafu ikapose swali.
Mimi nimekueleza kuwa wayahudi kusema kuwa si waliomuua walikuwa sahihi,kwani katika sheria za Rumi mtawala wao hakuna myahudi aliyeruhusiwa.Na amri ya kuhukumu kifo ilimaanisha kuretard au kuasi na hukumu yeke ilikuwa mbaya.Wao walimshitaki kwa uongo,hapakuwa na ilipofika katika kuchagua mtu wa kutoa(Msamaha kama wa rais ) katika siku inayokaribia Passover km msamaha.Bado walichagua mwingine Baraba.

Hoja ya article ya kukusaidia ni dhaifu kwani mwandishi kakwepa ukweli kuwa Askari hawakuona haja ya kuvunja mguu wa mfu,kwani lengo ni kuongeza maumivi kadiri iwezekananvyo.Sasa mwandishi kudai kuwa waliangalia bila kuona ndio ulikuwa msaada ni hoja ya kijinga kwani.Askari pia walikuwa na option ya kugusa.Pia askari pia nao waliamua kuhakiki/kuondoa uwezekano wa Yesu kuwa hai na baadaye kupata nguvu kwa kumchoma mkuki.Na kuthibitisha kuwa mkuki wenyewe uliingia na kuharibu organs muhimu kwa uhai, ndio kutoka kwa maji na damu.


Its sad kwani sikutaka uliza motive yako na what you want to achieve unapohimiza discussion kuhusu Yesu na Ukristu katik thread ya watu kuzikwa haraka,which is the real issue .Kwani bado siku zinaendelea na definition ya Death inaingia majaribuni kadiri siku ziendavyo.
Waislam mmekuwa wepesi kimbilia kila kitu kinachopinga Ukristu bila kujua vingine vinapingana na dini ya kiislam.Na hii ni kwa vile haman muda wa kusoma vitabu vyenu kwa mkiwa na fikra wazi.Kuna maswali muhimu ya kujibu kuhusu uislam na hatma yako kiroho na mwenendo wa dunia kuliko poteza muda na kuingia katika kufuru bila kujijua.Kushambulia Ukristu hakufanyi Mtu aone uislam kuwa palatable,kwani ni kuwafanya watu wasiamini Mungu tuu.Kuna mambo mengi yanayoonekana na yanataosha kabisa kumkimbiza mtu toka uislam hata bila soma Vitabu vyovyote.Mungu wa Ukristu si Mwongo na ujue Uislam hauwezi survive bila kuogelea pembeni ya Uyahudi na Ukristu.Mara zote uislam uislam umejaribu jifananisha ni na Characters wa vitabu vya haya makundi na baadaye kudai kuwa wameboresha.

Sasa uiache thread iendelee na maana yake.Endelea na hii article,na ukiweza soma zote na kma hujaridhika na majibu waandikie.
Did Jesus Rise From the Dead?

Hakuna kushambulia christianity kwani ushahidi wote unatoka katika biblia wala si kitabu kingine.

Kwa kukuweka sawa angalia namna biblia ilivyo chakachuliwa ili kuipa nguvu hoja yako ya kufa na kufufuka Bwana Yesu

Let us look at Luke 24:44-48 from the NIV Bible:

Luke 24



44 He said to them, "This is what I told you while I was still with you: Everything must be fulfilled that is written about me in the Law of Moses, the Prophets and the Psalms."

45 Then he opened their minds so they could understand the Scriptures.

46 He told them, "This is what is written: The Christ will suffer and rise from the dead on the third day,

47 and repentance and forgiveness of sins will be preached in his name to all nations, beginning at Jerusalem.

48 You are witnesses of these things.



There is a serious forgery in Luke 24:44-48! It says that it is written that Jesus will die and resurrect on the third day.

Where in the Old Testament do you have that?!

Show me one Old Testament verse that prophesized about Jesus' third day resurrection?


We're told Jesus Christ was crucified. Lets check this out


But then again, we're told a lot of things that later prove to be doubtful or even untrue, so it would be reassuring if we could verify the fact.



So let's ask the witnesses. Let's ask the gospel authors.



OHHHH, one problem. We don't know who the authors were. This is a less popular Christian mystery (i.e., waaay less popular) – the fact that all four gospels of the New Testament are anonymous.

[1] Nobody knows who wrote them. Graham Stanton tells us, "The gospels, unlike most Graeco-Roman writings, are anonymous.
The familiar headings which give the name of an author (‘The Gospel according to . . .') were not part of the original manuscripts, for they were added only early in the second century."

[2]
Added in the second century? By whom? Believe it or not, that is anonymous as well.


But let's forget all that. After all, the four gospels are part of the Bible, so we must respect them as scripture, right?
Right?
Well, maybe not. After all, The Interpreter's Dictionary of the Bible states, "It is safe to say that there is not one sentence in the NT in which the MS [manuscript] tradition is wholly uniform."[3]
Add to that Bart D. Ehrman's now famous words, "Possibly it is easiest to put the matter in comparative terms: there are more differences in our manuscripts than there are words in the New Testament."[4]
Whoa. Hard to imagine. On one hand, we have Matthew, Mark, Luke and John telling us . . . oh, excuse me.
I meant to say, we have Anonymous, Anonymous, Anonymous and Anonymous telling us . . . well, what? What do they tell us? That they can't even agree on what Jesus wore, drank, did or said?

After all, Matthew 27:28 tells us the Roman soldiers dressed Jesus with a scarlet robe.

John 19:2 says it was purple.

Matthew 27:34 says the Romans gave Jesus sour wine mingled with gall.
Mark 15:23 says it was mixed with myrrh.

Mark 15:25 tells us Jesus was crucified before the third hour,

but John 19:14–15 says it was "about the sixth hour."

Luke 23:46 says Jesus' last words were "Father, into Your hands I commit my spirit,"
but John 19:30:
says they were "It is finished!"


Now, wait a minute. Jesus' righteous followers would have hung on his every word. On the other hand, Mark 14:50 tells us that all the disciples deserted Jesus in the garden of Gethsemane. But okay, some people – not disciples, I guess, but some people (anonymous, of course) – hung on his every word, hoping for some parting words of wisdom, and they heard . . . different things?
Believe it or not, after this point, the gospel records become even more inconsistent.
Following the alleged resurrection, we hardly find a single issue the four gospels (Matthew 28, Mark 16, Luke 24, and John 20) agree upon.
For example:

Who went to the tomb?



Matthew: "Mary Magdalene and the other Mary"


Mark: "Mary Magdalene, Mary the mother of James, and Salome"
Luke: "The women who had come with him from Galilee" and "certain other women"
John: "Mary Magdalene"

Why did they go to the tomb?.


Matthew: "To see the tomb"


Mark: They "brought spices, that they might come and anoint him"
Luke: They "brought spices"
John: no reason given

Was there an earthquake (something nobody in the vicinity would be likely to either miss or forget)?



Matthew: Yes


Mark: no mention
Luke: no mention
John: no mention

Did an angel descend? (I mean, come on, guys – an angel? Are we to believe that three of you somehow missed this part?)



Matthew: Yes


Mark: no mention
Luke: no mention
John: no mention

Who rolled back the stone?


Matthew: The angel (the one the other three anonymouses – now, let's see, would that be "anonymouses" or "anonymice"? – didn't see)


Mark: unknown
Luke: unknown
John: unknown

Who was at the tomb?



Matthew: "an angel"


Mark: "a young man"
Luke: "two men"
John: "two angels"

Where were they



Matthew: The angel was sitting on the stone, outside the tomb.


Mark: The young man was in the tomb, "sitting on the right side."
Luke: The two men were inside the tomb, standing beside them.
John: The two angels were "sitting, one at the head and the other at the feet, where the body of Jesus had lain."

by whom and where was Jesus first seen?



Matthew: Mary Magdalene and the "other Mary," on the road to tell the disciples.
Mark: Mary Magdalene only, no mention where.

Luke: Two of the disciples, en route to "a village called Emmaus, which was about seven miles from Jerusalem."
John: Mary Magdalene, outside the tomb.

So where does this leave us, if not wondering whose idea of scripture this is? ..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom