Azimio La Kumpongeza Rais Jk..kwa Ziara Ya Bush..

Phillemon Mikael

Platinum Member
Nov 5, 2006
10,518
8,583
kwa kuwa jakaya mrisho kikwete ni RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA..

Kwa kuwa moja ya jukumu letu kama taifa ni kujenga uhusiano mwema ,na marafiki duniani kote...

kwa kuwa moja ya ahadi za rais ni kujenga mahusiano hayo ..na kunufaika na vyombo mbali mbali vya kifedha na mikataba ya kibiashara ikiwemo utalii..na mingine.

kwa kuwa rais kikwete ameshafanya ziara nyingi sana marekani...tukitarajia matunda ikiwemo ziara hii na mikutano kama LEON H SULLIVAN

KWA KUWA MAREKANI NDIO UCHUMI WENYE NGUVU DUNIANI..

KWA KUWA RAIS WA MAREKANI HAJAPATA KUFANYA ZIARA YA KITAIFA TANZANIA...NA IKIJULIKANA KUWA NI NADRA KUKAA KWENYE NCHI MOJA MASIKINI [LAKINI TAJIRI IN RESOURCES] KAMA TANZANIA...

KWA KUWA TUNATAMBUA UJIO WAKE UTAPELEKEA KUJIONGEZEA NAFASI NA FURSA ZAIDI KIBIASHARA...

kwa kuwa hapa JAMBO FORUM ..lengo letu ni kumkosoa RAIS na kumsifia pale anapofanya vema ..pamoja naserikali yeke yote

NAOMBA KUWASILISHA HOJA KUWA SASA BUNGE LAKO LA WATANZANIA WA KWELI NA WENYE UCHUNGU WA NCHI ...JAMBO FORUM...likubali kutoa AZIMIO LA KUMPONGEZA MUHESHIMIWA RAIS JAKAYA HALFAN MRISHO KIKWETE AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA..KWA UGENI HUU MZITO WA RAIS GEORGE WALKER BUSH..jr...RAIS WA MAREKANI
 
kwa kuwa jakaya mrisho kikwete ni RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA..

Kwa kuwa moja ya jukumu letu kama taifa ni kujenga uhusiano mwema ,na marafiki duniani kote...

kwa kuwa moja ya ahadi za rais ni kujenga mahusiano hayo ..na kunufaika na vyombo mbali mbali vya kifedha na mikataba ya kibiashara ikiwemo utalii..na mingine.

kwa kuwa rais kikwete ameshafanya ziara nyingi sana marekani...tukitarajia matunda ikiwemo ziara hii na mikutano kama LEON H SULLIVAN

KWA KUWA MAREKANI NDIO UCHUMI WENYE NGUVU DUNIANI..

KWA KUWA RAIS WA MAREKANI HAJAPATA KUFANYA ZIARA YA KITAIFA TANZANIA...NA IKIJULIKANA KUWA NI NADRA KUKAA KWENYE NCHI MOJA MASIKINI [LAKINI TAJIRI IN RESOURCES] KAMA TANZANIA...

KWA KUWA TUNATAMBUA UJIO WAKE UTAPELEKEA KUJIONGEZEA NAFASI NA FURSA ZAIDI KIBIASHARA...

kwa kuwa hapa JAMBO FORUM ..lengo letu ni kumkosoa RAIS na kumsifia pale anapofanya vema ..pamoja naserikali yeke yote

NAOMBA KUWASILISHA HOJA KUWA SASA BUNGE LAKO LA WATANZANIA WA KWELI NA WENYE UCHUNGU WA NCHI ...JAMBO FORUM...likubali kutoa AZIMIO LA KUMPONGEZA MUHESHIMIWA RAIS JAKAYA HALFAN MRISHO KIKWETE AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA..KWA UGENI HUU MZITO WA RAIS GEORGE WALKER BUSH..jr...RAIS WA MAREKANI

..tumpongeze au tujipongeze? watanzania wote,that is.
 
NAOMBA KUWASILISHA HOJA KUWA SASA BUNGE LAKO LA WATANZANIA WA KWELI NA WENYE UCHUNGU WA NCHI ...JAMBO FORUM...likubali kutoa AZIMIO LA KUMPONGEZA MUHESHIMIWA RAIS JAKAYA HALFAN MRISHO KIKWETE AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA..KWA UGENI HUU MZITO WA RAIS GEORGE WALKER BUSH..jr...RAIS WA MAREKANI

Mimi ninauchungu na nchi lakini sioni sababu ya kumpongeza mkuu wa kaya kwa ujio huu wa mkuu wa ulimwengu.
Bush ana lengo lake (??:D) linalomleta, na sisi tuna madhumuniyetu ya kuupokea huu ugeni (bakuli letu la ombaomba).
 
Acha unafiki mzee!

Kwa upande mmoja unakuja na habari za majungu kwamba JK nae alishiriki kwenye kashfa ya Richmond kwa upande mwingine unahimiza watu wampongeze!

Ukisikia unafiki ndio huo, vipi tumpongeze mtu unaetaka tuamini ni fisadi!
 
Acha unafiki mzee!

Kwa upande mmoja unakuja na habari za majungu kwamba JK nae alishiriki kwenye kashfa ya Richmond kwa upande mwingine unahimiza watu wampongeze!

Ukisikia unafiki ndio huo, vipi tumpongeze mtu unaetaka tuamini ni fisadi!


no si mnafiki kabisa yuko pale pale kwenye msitari na hoja alioisimamia.

yeye kuleta hii mada na kuiiangalia vyema si lengo lake kumpongeza JK bali kuna mambo alitaka tuyaangalie na kutuonyesha JK ni mtu anae penda kupongezwa. ndzni yake mna mengi sana


ila ukweli JK tunakupngeza kwa mengi ni ww Rais pekee hadi sasa Tanzania ambae unajitahidi kuwa muwazi na kujituma kwa taifa hili na tunakupongeza kwa juhudi zako nyingi za karibuni, usiwaonee haya wale wote wenye kulileta majanga taifa letu hata awe rafiki yako wa damu

pia hizo pesa tunazoomba jitahidi hao manyang'au wasijinufaishe peke yao na watanzania kuambulia kukesha barabarani kumfaurahisha anaetugaia hivyo vijisenti
 
kwa kuwa jakaya mrisho kikwete ni RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA..

Kwa kuwa moja ya jukumu letu kama taifa ni kujenga uhusiano mwema ,na marafiki duniani kote...

kwa kuwa moja ya ahadi za rais ni kujenga mahusiano hayo ..na kunufaika na vyombo mbali mbali vya kifedha na mikataba ya kibiashara ikiwemo utalii..na mingine.

kwa kuwa rais kikwete ameshafanya ziara nyingi sana marekani...tukitarajia matunda ikiwemo ziara hii na mikutano kama LEON H SULLIVAN

KWA KUWA MAREKANI NDIO UCHUMI WENYE NGUVU DUNIANI..

KWA KUWA RAIS WA MAREKANI HAJAPATA KUFANYA ZIARA YA KITAIFA TANZANIA...NA IKIJULIKANA KUWA NI NADRA KUKAA KWENYE NCHI MOJA MASIKINI [LAKINI TAJIRI IN RESOURCES] KAMA TANZANIA...

KWA KUWA TUNATAMBUA UJIO WAKE UTAPELEKEA KUJIONGEZEA NAFASI NA FURSA ZAIDI KIBIASHARA...

kwa kuwa hapa JAMBO FORUM ..lengo letu ni kumkosoa RAIS na kumsifia pale anapofanya vema ..pamoja naserikali yeke yote

NAOMBA KUWASILISHA HOJA KUWA SASA BUNGE LAKO LA WATANZANIA WA KWELI NA WENYE UCHUNGU WA NCHI ...JAMBO FORUM...likubali kutoa AZIMIO LA KUMPONGEZA MUHESHIMIWA RAIS JAKAYA HALFAN MRISHO KIKWETE AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA..KWA UGENI HUU MZITO WA RAIS GEORGE WALKER BUSH..jr...RAIS WA MAREKANI

Hivi JF ishakuwa Bunge? makubwa haya.....
 
kwa kuwa jakaya mrisho kikwete ni RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA..

Kwa kuwa moja ya jukumu letu kama taifa ni kujenga uhusiano mwema ,na marafiki duniani kote...

kwa kuwa moja ya ahadi za rais ni kujenga mahusiano hayo ..na kunufaika na vyombo mbali mbali vya kifedha na mikataba ya kibiashara ikiwemo utalii..na mingine.

kwa kuwa rais kikwete ameshafanya ziara nyingi sana marekani...tukitarajia matunda ikiwemo ziara hii na mikutano kama LEON H SULLIVAN

KWA KUWA MAREKANI NDIO UCHUMI WENYE NGUVU DUNIANI..

KWA KUWA RAIS WA MAREKANI HAJAPATA KUFANYA ZIARA YA KITAIFA TANZANIA...NA IKIJULIKANA KUWA NI NADRA KUKAA KWENYE NCHI MOJA MASIKINI [LAKINI TAJIRI IN RESOURCES] KAMA TANZANIA...

KWA KUWA TUNATAMBUA UJIO WAKE UTAPELEKEA KUJIONGEZEA NAFASI NA FURSA ZAIDI KIBIASHARA...

kwa kuwa hapa JAMBO FORUM ..lengo letu ni kumkosoa RAIS na kumsifia pale anapofanya vema ..pamoja naserikali yeke yote

NAOMBA KUWASILISHA HOJA KUWA SASA BUNGE LAKO LA WATANZANIA WA KWELI NA WENYE UCHUNGU WA NCHI ...JAMBO FORUM...likubali kutoa AZIMIO LA KUMPONGEZA MUHESHIMIWA RAIS JAKAYA HALFAN MRISHO KIKWETE AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA..KWA UGENI HUU MZITO WA RAIS GEORGE WALKER BUSH..jr...RAIS WA MAREKANI

333y6wk.jpg


NUGGA PLEEEEEEEEZ
 
Acha unafiki mzee!

Kwa upande mmoja unakuja na habari za majungu kwamba JK nae alishiriki kwenye kashfa ya Richmond kwa upande mwingine unahimiza watu wampongeze!

Ukisikia unafiki ndio huo, vipi tumpongeze mtu unaetaka tuamini ni fisadi!


nungunungu ..unajua hapa jf ...hatuna unafiki na mimi si mnafiki..hapa ni kupiga mawee tu...lakini kama mtu akifanya jema tunasema....this is just the praize of best side of him...

kesho akichemka hatutamuacha!!!!!
 
Poleni wakazi wa Dar,
Hivi kuna njia mbadala ya kutoka gongo la mboto/pugu kwenda katikati ya jiji? au siku atakayoondoka itakuwa 'half day?'makazini.

Wakati huo huo, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema kutokana na ziara ya rais huyo, baadhi ya barabara zitafungwa ili kudhibiti hali ya usalama.

Tibaigana alisema, kesho Barabara ya Sokoine, Lithuli, Ocean, Kivukoni, Gerezani, Nyerere hadi makutano ya Kawawa na Uhuru hadi Old Bagamoyo zitafungwa.

Aidha, alitaja barabara nyingine zitakazofungwa kuanzia kesho mchana na watumiaji wake kutakiwa kutafuta njia mbadala kuwa ni ya Ali Hassan Mwinyi, Ocean, Lithuli na Sokoine.

Kamishna huyo alibainisha kuwa, Jumatatu Barabara ya Sokoine, Ohio, Kivukoni, Gerezani na Nyerere hadi makutano ya Pugu zitafungwa saa za asubuhi na jioni.

Alisema, siku ya mwisho ya ziara yake, Barabara ya Sokoine kupitia Kivukoni, Gerezani na Nyerere hadi makutano ya Pugu, zitafungwa saa za asubuhi na kuwalazimu watumiaji wake kutafuta njia nyingine.

“Kama mtakavyoona, barabara hizo zitafungwa kwa hiyo ni vema wananchi wanaotumia vyombo vya usafiri kupita kwenye barabara mbadala ili kuepuka usumbufu,” alisema Kamishna Tibaigana.

Sorce: Tanzania daima
 
masatu...spika wetu ni invisible.....au MOD....CHIEF WHIP..WEWE....!

MIMI NITAKUWA BURSAR..TEH TEH...PAMOJA NA KUWA HAKUNA PESA ZA KUGAWA..
 
hapongezwi mtu hapa. Kwa Marekani Bush ni failure, ni icon of violence, oppression, arrogance na wizi wa kura, alimwibia kura Allan Gore. Huyu si mtu aliyetakiwa kuja Tanzania, yeye ni alama ya uovu. Amekuja kufanya nini? Kwanza ujiuo wake unaweza kufanya baadhi ya watu wasahau machungu tuliyonayo ya kuibiwa hela zetu kwa mikataba ya Richmond, EPA etc.
Go home George!
 
Hivi JF ishakuwa Bunge? makubwa haya.....

Sasa wewe ndio spika?

Toa hoja, acha vitisho hapa hiii Jf inawweza kuwa anything depending na anayepelekewa message atakavyoamua, na sio lazima tuwe bunge hapa kumtwanga Lowassa, mpaka akajibu mapigo ya JF kutoka kwa MMJ, Hapa ni mawe JF style, hatuhitaji bunge mkuu kufikisha ujumbe kwa viongozi, msitutishe na bunge lililolala usingizi ambalo ndio kwanza lionajaribu kuamka! Mkuu PM hoja yako inajadilika, na haki yako kuanziasha thread inaheshimika hapa JF,

tusichotaka ni vitisho uchwara, vimemshinda lowassa hivyo na wewe utaondoka hapa kama yeye bila kufukuzwa!
 
Hivi kweli leo hii tunasema apongezwe Muungwana baada ya kuchemka vibaya.
Kuja kwa Bush si mafanikio yake FYI Clinton alikuja August 2000 kabla hajaachia ngazi ditto for Bush.
Pili naomba ni weke quotation hii ya BUsh ambayo ni kwamba amembipu Kikwete (source: Yahoo.com news)
He praised the Tanzanian leader and said he was happy to sign the pact.

"I'll just put it bluntly, America doesn't want to spend money on people who steal the money from the people," Bush said. "We like dealing with honest people, and compassionate people. We want our money to go to help human condition and to lift human lives as well as fighting corruption in marketplace economies."
Amemwambia aache wizi!
Kuhusu Sullivan summit naomba utafute thread yangu uone ni jinsi gani alivyokubali Muungwana kuuza nchi eti kwa ajili ya kupewa tuzo zisizo za maana na kutumbuizwa na BOyz 2 men.

hastahili na hapewi pongezi zozote huyo Rais wenu! (I didn't vote for him!)
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom