Uchaguzi 2020 Azimio: Bunge la Marekani laisihi Serikali ya Tanzania na wahusika wote kuhakikisha Uchaguzi utakuwa Huru na wa Haki

Kama wamesema jambo jema tusifurahie, hebu mataga jaribuni kutumia akili. Imagine mama yako akitekwa Marekani wakilaaani utapinga tu kwa kuwa ni wa marekani?
Hata Chifu Mangungo alipokuwa akimsikiliza Karl Peters alifikiria kama wewe ..hivi hivi.. Na aliuona wema wa Mjerumani kama wewe leo unavyouona wa Mmarekani.

We(Africans) will never learn.. for real!

Waswahili wanasema, "Mbwa ukimjua jina, Hakupi tabu" Na Wazungu wametujua majina haswa!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Haya maneno ya USA siyapendi. Walete USS Ronald Reagan mwabao wa bahari ya Hindi kama itatokea dhuluma ya kuiba kura wamtandike mtu. Haya maneno dictators never heed to words! 🤪 🤪 🤪 🤪 🤪 🤪
View attachment 1573606

Jamani mimi ni Mzalendo, siyo kuwa nataka nchi yangu ishambuliwe hapana, ila Kiongozi akianza kuwaua watu wake, akija jirani tutamuomba msaada tusiuawe! Ni hilo tu. Ben Saanane yuko wapi? Azory Gwanda yuko wapi? Tumwombe jirani atusaidie kuwatafuta!
Hivi niulize tuu, mauaji yote na utekaji unaotokea Marekani kila kuchwao unafanywa rais????? Na kwanini wameshindwa kuzuia mauaji ya watu wasiopungua 100 wanaouuwa kwa risasi kila siku???

Screenshot_20200918-165527.jpg


Nyani haoni kundule - wahenga
 
Hivi niulize tuu, mauaji yote na utekaji unaotokea Marekani kila kuchwao unafanywa rais????? Na kwanini wameshindwa kuzuia mauaji ya watu wasiopungua 100 wanaouuwa kwa risasi kila siku???

View attachment 1574145

Nyani haoni kundule - wahenga
Mbwa umjue jina.. utafurahia..

Na mabwanyenye (USA) wametujua jina kweli.. USA nyenyenyee na sisi tunaitikia mapambio kama mazwazwa..

Imagine watu huru kabisa wenye taifa huru wanafurahi kudharauliwa kupangiwa wafanye nini...

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mbwa umjue jina.. utafurahia..

Na mabwanyenye (USA) wametujua jina kweli.. USA nyenyenyee na sisi tunaitikia mapambio kama mazwazwa..

Imagine watu huru kabisa wenye taifa huru wanafurahi kudharauliwa kupangiwa wafanye nini...

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Kuna watu bora wangekosa elimu ya darasani na hata wasiijue ile inglishi wanayotumia kuisaliti nchi wakabaki kwenye jamii wakizalisha mali, kuliko kugharamiwa na taifa kupata elimu na sasa kuitumia hiyo elimu kuturudisha utumwani
 
Haalafu kwani uchaguzi wa Marekani ni huru na haki waje kutufundisha jinsi ya kuendesha uchaguzi wetu? Angalia wanavyofanya iwe ngumu kwa watu wasiokuwa weupe kupiga kura, halafu eti nao waje waimbie Tanzania jinsi ya kuendesha uchaguzi wao!!!!!
USA washindwe na walegee hapa kazi tu! Tanzania ni nchi huru na uzuri wa mwaka huu hakuna kimburu yoyote yule ambaye atajidai amechangia uchaguzi wetu. Tanzania tunajitegemea wakae na fedha zao sisi tutakaa na amani yetu na msimamo wetu wa kutofungamana na nchi yoyote. Heko JPM hapa Kazi tu!
 
Kuna watu bora wangekosa elimu ya darasani na hata wasiijue ile inglishi wanayotumia kuisaliti nchi wakabaki kwenye jamii wakizalisha mali, kuliko kugharamiwa na taifa kupata elimu na sasa kuitumia hiyo elimu kuturudisha utumwani
Inafikirisha sana! Unaweza kukuta ni laana tu.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hivi Tanzania inaweza andika bill kama hiyo kuhusu swala la uchaguzi wa Marekani? Kwanini wanataka ingilia mambo ya ndani ya Tanzania na Watanzania wanashangilia. Untill when mtaacha nchi za nje ziwaamulie mambo yenu ya ndani. Amkeni
Wamekwenda shule lakini hawakusoma. Sasa hivi uzuri ni kwamba yale mambo ya kukinga bakuli hakuna tena tupo huru hakuna kupepesa macho, hapa kazi tu!
 
Naskia wanaume wanewaambia jamaa zao waliopo pale Djibout wakae standby kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu Tanzania. CCM mtajua hamjui mwaka huu😂😂😂😂😂
4384BDB4-39C8-4E89-B25F-89B6F3DBA6B3.jpeg
 
Wamekwenda shule lakini hawakusoma. Sasa hivi uzuri ni kwamba yale mambo ya kukinga bakuli hakuna tena tupo huru hakuna kupepesa macho kazi tu!
Si mlijiandaa kupora uchaguzi wa mwaka huu eeeh??? Sasa mwanaume anawapumulia huyo!! Mtajua hamjui mwaka huu😂😂😂
 
Mlinzi wa Amani duniani.
Nani alimchagua kuwa mlinzi wa amani duniani? Au alijichagua mwenyewe?

Kwa taarifa yako Mwamerika ni mvurugaji mkuu wa amani duniani kwa masilahi ya taifa lake. Hayo tunayoyashudia au tuliyashuhudia huko Syria, Libya, Iran, Iraki, Misiri, Palestina, Israel, Afghanistan, Pakistan, North Korea nk - kote ni mkono wa Mwamerika. Lengo lake ni mafuta ya waarabu anataka yaendelee kuwa yake, maliasili za waafrika na wengineo duniani anataka ziendelee kuwa mali yake. Kwenye chaguzi kuu kama hizi duniani kwake huwa ndiyo fursa nzuri ya kupenyeza vibaraka wake. Ndiyo maana bunge la Amerika huwa linazifuatilia kwa karibu. Na Tanzania katuwekea vibaraka wake katika uchaguzi huu, wakisimamiwa na akina Robertson wanaojiita mawakili wa dunia! Lazima tuwe waangalifu. Tarehe 28 Oktoba tuwashikishe adabu.

Mwamerika ni mbabe wa dunia. Kiboko chake ni Mrusi na Mchina.
 
Kitu ambacho Marekani hakijui ni ule u ndumila kuwili wa wanasiasa wa Tanzania.
Tukiwa na Mzee Ruksa wananchi hasa vyama vya upinzani hawakuweka sharti la kwanza kuunda katiba itakayokubarika kwa siasa za mashindano za kuwachagua viongozi wetu.
Walidhani uchaguzi wa siasa za mashindano utakuja automatically bila personal initiative, wakategemea huruma badala ya sheria.
Hata pale Kikwete aliposhindwa kumaliza mchakato wa katiba mpya bado vyama vya upinzani vikajitosa kwenye uchaguzi mkuu bila mafanikio.
Kwanini tulie lie kila ukija uchaguzi mkuu?
Kwanini tusiwe na muarobaini wa kujitawala sisi?
Katiba kwanza,uchaguzi baadae.
 
Si mlijiandaa kupora uchaguzi wa mwaka huu eeeh??? Sasa mwanaume anawapumulia huyo!! Mtajua hamjui mwaka huu😂😂😂
nadhani wewe unaiabudu marekani tu; wao mwaka huu Sisi tuna uchaguzi wetu October 28, nao wana uchaguzi wao November 3, yaani ndani ya wiki moja tu. Wakati tuko hatihati nao wako hatihati tena hati hati sana. Congress nzima ya marekani iko kwenye balloti, trais yuko kwenye ballot, ni maseneta 65 tu ndio hawagombei. Kwa hiyo wao wenyewe wana joto kubwa sana la uchaguzi na wanahanganika kuwa watainghiliwa na urusi tena. Wasikusumbue akili, wanaandika tu. tena hiyo House resolution haikwenda hata senate wala kwa rais bali ni resolution ya bunge tu.
 
nadhani wewe unaiabudu marekani tu; wao mwaka huu Sisi tuna uchaguzi wetu October 28, nao wana uchaguzi wao November 3, yaani ndani ya wiki moja tu. Wakati tuko hatihati nao wako hatihati tena hati hati sana. Congress nzima ya marekani iko kwenye balloti, trais yuko kwenye ballot, ni maseneta 65 tu ndio hawagombei. Kwa hiyo wao wenyewe wana joto kubwa sana la uchaguzi na wanahanganika kuwa watainghiliwa na urusi tena. Wasikusumbue akili, wanaandika tu. tena hiyo House resolution haikwenda hata senate wala kwa rais bali ni resolution ya bunge tu.
Jidanganye tu. Unafikiri bunge la Ndugai lile??? Yajayo yanafurahisha
 
Unaweza kuwa unaishi ila uijui vizuri!! Hujui Jiwe wenu kawachokonoaje hawa watu na this time sidhani kama watamuacha maana wanemstahi sana!!
Wewe nawe utakuwa ni mweupe kabisa; kama magufuli kawachokonoa kwa kuwazuia kutuibia, sasa wewe hilo linakuuma? Unadhani Marekani ni mjomba wako wewe? Rais Donald Trump anaita nchi zote za kiafrika ni Ass-hole halafu wewe unaachekelea kuwa hao ndio wajomba wa kukutetetea? trump alisema hakuna mtu mweuzi anayetawala nchi ikaendelea, na wewe unasema huyo ndiyo mwungwana. Kwani Lissu siyo mweusi? Siyo Ass-hole?

Bure kabisa wewe;
 
Wewe nawe utakuwa ni mweupe kabisa; kama magufuli kawachokonoa kwa kuwazuia kutuibia, sasa wewe hilo linakuuma? Unadhani Marekani ni mjomba wako wewe? Rais Donald Trump anaita nchi zote za kiafrika ni Ass-hole halafu wewe unaachekelea kuwa hao ndio wajomba wa kukutetetea? trump alisema hakuna mtu mweuzi anayetawala nchi ikaendelea, na wewe unasema huyo ndiyo mwungwana. Kwani Lissu siyo mweusi? Siyo Ass-hole?

Bure kabisa wewe;
Walikuwa wanatuibia nini???
 
Back
Top Bottom