Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,059
- 23,934
Waislamu kipindi hizchoHao wasiojua umuhimu wa ilmu ni kina Nani?
Waislamu kipindi hizchoHao wasiojua umuhimu wa ilmu ni kina Nani?
Boko Haram "Elimu ya Dunia ni Haram"Waislamu kipindi hizcho
2005 nilisoma hapo. Enz tunachunga ng'ombe #kygo # haàaaaUnajua kwamba Kigonsera ilikuwa ni Seminari? Umewahi kuisikia shule inaitwa Tosamaganga? Umewahi kuisikia shule inaitwa Matola nk? Unajua zilikuwa zinamilikiwa na nani?
Kuna Shule za Seminary na kuna shule za Misheni (missionary schools)..Wadau msaada wa sababu ya kutotaifisha
Uwanja wa damu2005 nilisoma hapo. Enz tunachunga ng'ombe #kygo # haàaaa
Thanks mkuu... Huyu muanzisha uzi tumsamehe saba mara sabiniKuna Shule za Seminary na kuna shule za Misheni (missionary schools)..
Hizi zilimilikiwa na Taasisi za kidini,ikiwemo,katoliki, Lutheran,..nk..
Shule nyingi sana za misheni zilitaifishwa(wadau wamezitaja sana)..
..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Waislamu kipindi hizcho
Naona aliyeanzisha huu uzi ameukimbia 😂😂😂Hata Weruweru Girls ilikuwa ya Masister wa kikatoliki.
Kuna Shule za Seminary na kuna shule za Misheni (missionary schools)..
Hizi zilimilikiwa na Taasisi za kidini,ikiwemo,katoliki, Lutheran,..nk..
Shule nyingi sana za misheni zilitaifishwa(wadau wamezitaja sana)..
..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
St.Joseph school pale Posta Dar es salaam iliyopo karibu na kanisa katolic la st Joseph ilitaifishwa na kuitwa Forodhani secondary school! Serikali ya Tanzania ilitaifisha mashule yote ya taasisi za Kidini mpaka za Wahindu na mabudha! akutaifisha Seminary ata moja-kwani hizi sio shule kama shule za kawaida.hizi ni shule za kuandaa Makasisi/wachungaji wa makanisa na sio kuandaa vijana kwenda vyuo vikuu
Hizo nadhani zilikuwa zinamilkiwa na Kanisa lakini hazikuwa Seminari kama nimemwelewa mtoa mada. Kumbuka sio Kila shule zinazomilikiwa na Kanisa Katoliki ni Seminari.
Wakati wa zile nyaraka za Paul zinaandikwa Waturuki walikuwa bado huko Khazakhstan (central asia). Pale walikuwepo Wagiriki na ndiyo hasa walioandikiwa ile baruaWagalatia Ni waturuki....Mimi Ni mtanzania
Tutajie majina ya shule ambazo hazikutaifishwa. Najua Umbwe ilitaifishwa.Moja ya Nguzo za Azimio la Arusha la mwaka 1967 ni kutaifisha vyanzo vyote vya Uchumi ikiwamo Mabenki, Mashirika ya Bima, Vyuo & Shule binafsi.
Swali ni kwamba kwanini Shule za Seminari hazikutaifishwa?
Sasa ni zamu yake aje na hizo ambazo hazikutaifishwa. Wengine wanaongea tu, bila ya kuwa na ushahidi wowote.Nadhani mleta Mada umeshapata baadhi ya majina ya shule zilizotaifishwa wakati wa azimio la Arusha shule Kama Nganza,Tosamaganga,pugu,Nsumba,Milambo na nyingine nyingi tu zilikuwa za kanisa katoriki.
Rumuli na Rugambwa za Bukoba mjini pia zilikuwa zinamilikiwa na kanisa zikataifishwaUnajua kwamba Kigonsera ilikuwa ni Seminari? Umewahi kuisikia shule inaitwa Tosamaganga? Umewahi kuisikia shule inaitwa Matola nk? Unajua zilikuwa zinamilikiwa na nani?
Ni vyema ungezitaja kwa manufaa ya jukwaa..Mkuu zipo seminari kibao tu zilitaifishwa. Ninajua tofaiti ya missionary schools na seminaries. Nimesoma katika taasisi hizo, so I can tell the difference