Azim Dewji: Kosa tulilofanya ni kwenda kumchukua MO bila ulinzi lakini Mungu alikuwa upande wetu

Politics aside, tuwe wakweli wa ktk nafsi zetu.
Hivi tangu lini unaona walinzi wa Ikulu wakiwa wana randaranda viunga vya Gymkhana kufanya doria ya ulinzi?
Pana mita ngapi pale kufika Ikulu?

Kwanini imekuwa lazima ionekane taasisi flani rasmi ndio ilimteka MO?

Hii ni kwa faida ya nani ulimwengu ukiamini hivyo?
Kila mmoja wetu ana akili ya kuchakata mambo kwa namna yake.

Ni vyema kila mmoja atumie huo utashi wake katika kusherehekea hii movie.
 
Msemaji wa familia ya MO ndugu Azim Dewji amesema walipopokea simu ya MO walikimbilia eneo la tukio bila ulinzi wowote na anakiri hilo lilikuwa kosa. Nimependa busara ya Dewji maana nyakati nyingine mnaweza kuingia kwenye mtego wa adui kirahisi.
Mi nashauri familia ikae kimya kama walivyoelekezwa kuhusiana na issue ya MO, maana wananchi wote wajanja wanaelewa kilichokuwa kinaendelea!. wakiendelea kuleta porojo tutajua kuwa na wao ni washenzi kama washenzi wengine wanao tugeuza Wantanzania kama wajinga fulani!.
 
IMG-20181021-WA0001.jpg
 
Politics aside, tuwe wakweli wa ktk nafsi zetu.
Hivi tangu lini unaona walinzi wa Ikulu wakiwa wana randaranda viunga vya Gymkhana kufanya doria ya ulinzi?
Pana mita ngapi pale kufika Ikulu?

Kwanini imekuwa lazima ionekane taasisi flani rasmi ndio ilimteka MO?

Hii ni kwa faida ya nani ulimwengu ukiamini hivyo?
Gymkana sio uwanja wa fisi,
 
Kila mmoja wetu ana akili ya kuchakata mambo kwa namna yake.

Ni vyema kila mmoja atumie huo utashi wake katika kusherehekea hii movie.
Ilitakiwa ionyeshwe enzi za kina madenge na kipepe kipindi kile cha ticha anamwambia Kawawa funika kikombe.Sio kizazi hiki cha smartphone
 
Unatakiwa utaalam mahsusi kutafsiri kauli ya Azim. Wahusika walikwenda kwenye tukio kwa sababu walikuwa na confidence; tayari familia ilikuwa ikiwasiliana na kisha kukubaliana na watekaji. Familia ya Mo tayari ilikuwa imemelipa ransom kwa watekaji. Kulikuwa na sharti la kutojaribu kuhusisha mamlaka za serikali. Hivi ndivyo ifanyikavyo mipango ya namna hiyo.
Na kujazia nyama hapo kama wangewashirikisha polis kulikua na hatar zaid ha kumwagana damu,au vurugu za risas ambazo zingepelekea wengine wasio na hatia labda kupoteza maisha
 
Politics aside, tuwe wakweli wa ktk nafsi zetu.
Hivi tangu lini unaona walinzi wa Ikulu wakiwa wana randaranda viunga vya Gymkhana kufanya doria ya ulinzi?
Pana mita ngapi pale kufika Ikulu?

Kwanini imekuwa lazima ionekane taasisi flani rasmi ndio ilimteka MO?

Hii ni kwa faida ya nani ulimwengu ukiamini hivyo?
Mkuu vijana wa Lema kila kitu kwao ni siasa!
 
Msemaji wa familia ya MO ndugu Azim Dewji amesema walipopokea simu ya MO walikimbilia eneo la tukio bila ulinzi wowote na anakiri hilo lilikuwa kosa. Nimependa busara ya Dewji maana nyakati nyingine mnaweza kuingia kwenye mtego wa adui kirahisi.
Ni vyema wamewaamini waliomteka kuwa walikuwa wakimpa vyakula na vinywaji salama, Mungu Mkuu.
 
Msemaji wa familia ya MO ndugu Azim Dewji amesema walipopokea simu ya MO walikimbilia eneo la tukio bila ulinzi wowote na anakiri hilo lilikuwa kosa. Nimependa busara ya Dewji maana nyakati nyingine mnaweza kuingia kwenye mtego wa adui kirahisi.
Udanganyifu unaendelea, kuna statement ya mamboleo inasema waliwataarifu Polisi wakaenda nao sehemu ya tukio.

Mimi nafikiri Polisi wapewe tu fungu lao kwenye hiyo B ili tutulie kwakweli.
 
Back
Top Bottom