Azim Dewji: Hongera zako kwa NHC Kwetu Wamatumbi furaha na ahueni

<span style="font-family: arial black">Huu ni uongo uliotukuka.<br>
<br>
Huu ni kutokana na watu kujirusha na kusahau kufikiria maendeleo binafsi ya uchumi wenu kama jamii na taifa kijumla.<br>
<br>
Na kama WaTNG mtaendelea kuwa hivi basi maisha yenu yote uchumi wenu utatawaliwa na wageni kama ilivyo sasa ( kwa kukujuza ni more than 70% ya uchumi wa Tz unamilikiwa na wageni) wenyewe kila siku bilicanas.<br>
<br>
<span style="color:#ff0000;">nawapa pole </span>kwa kuanza kumtafuta mchawi mchana huu.</span>
<br><br>Hapo penye nyekundu, kweli mwenye asili aachi asili mdau mpaka umejisahau ukazungumza kwa picha ya ID yako kuwa kweli <strong>WEWE NI MWARABU WA DAMU NIMEKUBALI</strong> unasema UNATUPA POLE kwa hiyo wewe HAUMO HAIKUHUSU KWA KUWA WEWE SIO MTANZANIA WEWE NI MWARABU.<br><br>Big up wenye kukusoma hii nayo shule tukisema wanasema Chuki.
 
<br><br>Hapo penye nyekundu, kweli mwenye asili aachi asili mdau mpaka umejisahau ukazungumza kwa picha ya ID yako kuwa kweli <strong>WEWE NI MWARABU WA DAMU NIMEKUBALI</strong> unasema UNATUPA POLE kwa hiyo wewe HAUMO HAIKUHUSU KWA KUWA WEWE SIO MTANZANIA WEWE NI MWARABU.<br><br>Big up wenye kukusoma hii nayo shule tukisema wanasema Chuki.

Mkuu huyo jamaa anatabia ya ubaguzi kwa watanzania. Yeye anachofahamu ni uzanzibari, hakubali kwamba ni mtanzania sasa ukiongezea kwamba ni mwenye asili ya huko uarabuni basi inakuwa taabu sana.

Maoni uliyoyatoa hapa ni ya msingi sana na watanzania tunapaswa kuyazingatia na kuyatafakari kwa kina.
 
Hawa waasia and the like hawana maana kabisa, kwani ndio hao wanaongoza kwa ubaguzi, magendo, rushwa, nyara za serikali, mfano tembelea uingereza au Canada, kati ya waasia 10 matajiri atmost 4 wametokea TZ. Hawa jamaa wa NHC waendelee hivyo hivyo chini ya huyo director, hao waasia kama wanataka si wajenge nyuma zao?? wanatajirikia bongo harafu wanaenda kuendeleza kwao, this is totaly not acceptable at all! bravo CCM tumeanza kuamka! Ukienda ktk makampuni binafsi, wengi wao waasia wako ktk idara nyeti kama za Accountancy, ni wabaguzi wanaongea kikwao tu.
 
Mimi naona huu uongozi wa NHC sio mzuri kama watu wanavyojaribu kuwakuza. Kwanza hiki ni kitendo cha ubaguzi wa hali ya juu ambao nimewahi kuuona kwenye Idara kubwa kama hii. Pili kitendo cha kutaka kubomoa nyumba na kujenga nyumba nyingine ni cha kifisadi na cha kurudisha nchi nyuma. Je ni kwa nini NHC wasijenge nyumba nyingine kwenye sehemu ya wazi??. Mnavyosema Prime areas ni kwanini wenyewe wasilete hizo Prime areas kwa kujenga nyumba za kisasa badala ya kuanza kugombana na wapangaji wa miaka zaidi ya ishirini eti kwasababu ni Upanga!!?. Tanzania ndiyo maana hatuendelei maana tunafikiria watu wanafaidika vipi badala ya maaendeleo?. Kuna maeneo mengi sana ambayo hayaja jegwa Tanzania na NHC ingekaa chini na serikali na kujenga nyumba zenye barabara na za kisasa badala ya kujazana na magorofa upanga na Obay maana wanavyosema ni Prime area baada ya hizo apartment patakuwa ushahilini maana hawajaweka mipangokama barabara, maji safi namaji chafu . NHC fanya kama NSSF jenga miji mipya badala ya kufikiria kudidimiza baadhi ya Watanzania. Hata kama wakipewa hizo nyumba bure mimi sina wasiwasi kwani wamekaa miaka zaidi ya ishirini na nyumba zenyewe sio kubwa hivyo na hazikufanyima matengenezo kwa miaka mingi!!. Hizo nyumba zimejegwa kwa thamani gani!
 
Ndugu zangu
Nimejaribu kupitia michango ya wadau hapa JF kwenye hii mada,
Nimesikitishwa sana na inatisha kuona hisia, mawazo na matendo ya kibaguzi yanatamalaki,
Hii inasononesha na kutisha,
Tunapiga hatua nyingi kurudi nyuma kwa kasi sana,
Inatisha na kufedhehesha,

Karne hii na majanga lukuki yanayotumaliza kama taifa tuaongele na kushadidia ubaguzi ?

Aibu kuu kwetu sote.

NHC inayo haki zote na baraka zote kujijenga ili kuwahudumia watanzania "wote"

Kuuliza asili kwenye fomu sidhani kama itasaidia kwenye lengo hilo.

Mimi nina asili ya "kimatumbi". Nakumbuka siku moja nilitibiwa Aghakhan hospital enzi hizo (2000) na kulikuwa na kipengele cha asili kwenye fomu ya kumuona dokta.
Nilikasirika sana na utawala wa hospital uliniahidi next time watakuwa wamebadilisha hizo form.
They did it.

KWA NINI TUNAWEKA GIA YA RIVASI WAKATI HUU NDUGU ZANGU ?
 
Mimi naona huu uongozi wa NHC sio mzuri kama watu wanavyojaribu kuwakuza. Kwanza hiki ni kitendo cha ubaguzi wa hali ya juu ambao nimewahi kuuona kwenye Idara kubwa kama hii. Pili kitendo cha kutaka kubomoa nyumba na kujenga nyumba nyingine ni cha kifisadi na cha kurudisha nchi nyuma. Je ni kwa nini NHC wasijenge nyumba nyingine kwenye sehemu ya wazi??. Mnavyosema Prime areas ni kwanini wenyewe wasilete hizo Prime areas kwa kujenga nyumba za kisasa badala ya kuanza kugombana na wapangaji wa miaka zaidi ya ishirini eti kwasababu ni Upanga!!?. Tanzania ndiyo maana hatuendelei maana tunafikiria watu wanafaidika vipi badala ya maaendeleo?. Kuna maeneo mengi sana ambayo hayaja jegwa Tanzania na NHC ingekaa chini na serikali na kujenga nyumba zenye barabara na za kisasa badala ya kujazana na magorofa upanga na Obay maana wanavyosema ni Prime area baada ya hizo apartment patakuwa ushahilini maana hawajaweka mipangokama barabara, maji safi namaji chafu . NHC fanya kama NSSF jenga miji mipya badala ya kufikiria kudidimiza baadhi ya Watanzania. Hata kama wakipewa hizo nyumba bure mimi sina wasiwasi kwani wamekaa miaka zaidi ya ishirini na nyumba zenyewe sio kubwa hivyo na hazikufanyima matengenezo kwa miaka mingi!!. Hizo nyumba zimejegwa kwa thamani gani!


wewe kumbe huko nyuma kabisa, muundo mzuri wa mji kwanza unaanzia mjini, mji unakuwa na mpangilio mzuri unaovutia sasa nyumba unakuta imeandikwa ni ya mwaka 1943 imejengwa kwa kupanga mawe , usahihi wako hupo wapi, inabidi wajngo mazuri yaanzie mjini kuelekea pembeni , UNASIKIA WEWE MZEE!!!?
 
Ndugu zangu
Nimejaribu kupitia michango ya wadau hapa JF kwenye hii mada,
Nimesikitishwa sana na inatisha kuona hisia, mawazo na matendo ya kibaguzi yanatamalaki,
Hii inasononesha na kutisha
,

Tunapiga hatua nyingi kurudi nyuma kwa kasi sana,
Inatisha na kufedhehesha,

Karne hii na majanga lukuki yanayotumaliza kama taifa tuaongele na kushadidia ubaguzi ?
Aibu kuu kwetu sote.
NHC inayo haki zote na baraka zote kujijenga ili kuwahudumia watanzania "wote"
Kuuliza asili kwenye fomu sidhani kama itasaidia kwenye lengo hilo.
Mimi nina asili ya "kimatumbi". Nakumbuka siku moja nilitibiwa Aghakhan hospital enzi hizo (2000) na kulikuwa na kipengele cha asili kwenye fomu ya kumuona dokta.
Nilikasirika sana na utawala wa hospital uliniahidi next time watakuwa wamebadilisha hizo form.
They did it.
KWA NINI TUNAWEKA GIA YA RIVASI WAKATI HUU NDUGU ZANGU ?

MG kitabia uwa sipendi kukopi ila imebidi nikopi kwa kuwa watu wa aina yako ndio wamefikisha Nchi hapa tulipo kwa kuwa na tabia za kinafiki kwa kujifanya kuwa hawaoni ukweli [Reality] nimekopi hii kisha ipitie labda utaelewa huo ubaguzi unaoutungu wewe na Watanzania wenye asili ya Kiasia kuwa zama hizo zimepitwa na wakati uko ni kujificha ndani ya kivuli [Mask] ya UBAGUZI.Tumechoka na matamko hayo na ndio maana CCM kwa kilipofika ni kwa sababu ya kufumbia macho haya na kuogopa maneno ya baadhi ya Wazushi wa vivuli vya ubaguzi huku Tiafa linaangamia.

<strong>[video]http://en.wikipedia.org/wiki/Indians_in_Tanzania[/video]
There are currently over 90,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.
Post independence, the leadership of Julius Nyerere ensure peaceful transition and equal representation for all Tanzanian people, thus escaping the conflicted path taken by Kenya and Uganda.
Still some Indians migrated overseas to the United Kingdom, United States and Canada. Some have achieved great prominence, most notably the late Freddie Mercury (born Farouk Bulsara into the Parsi community of Stone Town, who reached fame as the lead singer of the rock group Queen).
.

Hapo penye Red Colour unasemaje?Utajenga Taifa la namna gani Waasia wapatao elfu 90,000 WANAMILIKI SIZEABLE PORTION OF THE TANZANIAN ECONOMY,dhidii ya Watanzania wengine Millioni 40,0000,000 kisha wenye ufupi wa kutathimini kama wewe wanaona hayo ni sawa uku Tiafa linaangamia kwa aina hii ya matusi.

Nimatumaini kuwa ujua manaa ya neno SIZEABLE. Kwenye dictionary ya kiingereza neno Sizeable linamaa hii
Sizeable =Substantial, Substantial= Significant
A significant amount or effect is large enough to be important or affect a situation to a noticeable degree.
.
A sizeble amount or effect is large enough to be important or affect a situation to a noticeable degree.
.
Sentensi hizo mbili zinamaana moja.
Please nyie wakina MG gives us a break tumewachoka na kauri hizo hata dunia inajua,acheni unafiki tuantaka kuona Tanzania yenye haki sawa na fulsa sawa za kiuchumi.Ubaguzi ubaguzi whats is that so good and better to all of us that we are protect getting into as fall as the reality the majority Tanzanians are facing currently.
 
Shida zote hizi zingekwisha kama hawa jamaa zetu wangekuwa wanajenga nyumba hapa Tanzania. Dewji sijui anachotetea kwa sababu yeye ni kati ya watu wachache sana wa asili yao aliyeamua kujenga na kuishi kwenye nyumba yake.
 
Mimi naona huu uongozi wa NHC sio mzuri kama watu wanavyojaribu kuwakuza. Kwanza hiki ni kitendo cha ubaguzi wa hali ya juu ambao nimewahi kuuona kwenye Idara kubwa kama hii. Pili kitendo cha kutaka kubomoa nyumba na kujenga nyumba nyingine ni cha kifisadi na cha kurudisha nchi nyuma. Je ni kwa nini NHC wasijenge nyumba nyingine kwenye sehemu ya wazi??. Mnavyosema Prime areas ni kwanini wenyewe wasilete hizo Prime areas kwa kujenga nyumba za kisasa badala ya kuanza kugombana na wapangaji wa miaka zaidi ya ishirini eti kwasababu ni Upanga!!?. Tanzania ndiyo maana hatuendelei maana tunafikiria watu wanafaidika vipi badala ya maaendeleo?. Kuna maeneo mengi sana ambayo hayaja jegwa Tanzania na NHC ingekaa chini na serikali na kujenga nyumba zenye barabara na za kisasa badala ya kujazana na magorofa upanga na Obay maana wanavyosema ni Prime area baada ya hizo apartment patakuwa ushahilini maana hawajaweka mipangokama barabara, maji safi namaji chafu . NHC fanya kama NSSF jenga miji mipya badala ya kufikiria kudidimiza baadhi ya Watanzania. Hata kama wakipewa hizo nyumba bure mimi sina wasiwasi kwani wamekaa miaka zaidi ya ishirini na nyumba zenyewe sio kubwa hivyo na hazikufanyima matengenezo kwa miaka mingi!!. Hizo nyumba zimejegwa kwa thamani gani!
tatizo ni prime areas na sio just majengo.
hawa watu wameishi kwa bei nafuu sana kwenye hizo nyumba na sasa ni wakati wa kuhisi ughali wa eneo wanaloishi City centre.
kwa nini hizo nyumba wasikae madaktari wa Muhimbili hapo Upanga
 
Naweza ambiwa lengo la ujenzi wa izi nyumba za NHC jamani

Lengo ni kuwaempower Watanzania,kukulaisishia Maisha wewe Mtanzania,hasa wale ambao wanakipato cha chini na wanaonza maisha ndio lilikuwa lengo la Serikali yako.
 
MG kitabia uwa sipendi kukopi ila imebidi nikopi kwa kuwa watu wa aina yako ndio wamefikisha Nchi hapa tulipo kwa kuwa na tabia za kinafiki kwa kujifanya kuwa hawaoni ukweli [Reality] nimekopi hii kisha ipitie labda utaelewa huo ubaguzi unaoutungu wewe na Watanzania wenye asili ya Kiasia kuwa zama hizo zimepitwa na wakati uko ni kujificha ndani ya kivuli [Mask] ya UBAGUZI.Tumechoka na matamko hayo na ndio maana CCM kwa kilipofika ni kwa sababu ya kufumbia macho haya na kuogopa maneno ya baadhi ya Wazushi wa vivuli vya ubaguzi huku Tiafa linaangamia.

<strong>[video]http://en.wikipedia.org/wiki/Indians_in_Tanzania[/video]
.

Hapo penye Red Colour unasemaje?Utajenga Taifa la namna gani Waasia wapatao elfu 90,000 WANAMILIKI SIZEABLE PORTION OF THE TANZANIAN ECONOMY,dhidii ya Watanzania wengine Millioni 40,0000,000 kisha wenye ufupi wa kutathimini kama wewe wanaona hayo ni sawa uku Tiafa linaangamia kwa aina hii ya matusi.

Nimatumaini kuwa ujua manaa ya neno SIZEABLE. Kwenye dictionary ya kiingereza neno Sizeable linamaa hii
Sizeable =Substantial, Substantial= Significant
.
.
Sentensi hizo mbili zinamaana moja.
Please nyie wakina MG gives us a break tumewachoka na kauri hizo hata dunia inajua,acheni unafiki tuantaka kuona Tanzania yenye haki sawa na fulsa sawa za kiuchumi.Ubaguzi ubaguzi whats is that so good and better to all of us that we are protect getting into as fall as the reality the majority Tanzanians are facing currently.

Mhhh!

Upofu upo wa aina nyingi,
Sii lazima uwe na matatizo ya macho au mfumo wa kuona,
Mtu unaweza kuwa na upofu wa fikra, na chanzo kikuu ni kulishwa au kujilisha uongo, ujinga, uzembe nk kwa muda mrefu,
Ila tiba yake inaweza kuwa mtihani,

Somo 1:
Nashukuru katika maisha nimejifunza mengi, mojawapo ni kupambana na changamoto badala ya kulialia na kutafuta vizingizio na visababu (vyenye misingi au la).
Kwa bahati nzuri (au mbaya) hii kazi ninayofanya ini vishawishi vya kupiga "dili". Nimefuatwa na watu wa aina mbalimbali, wahindi, waarabu, wazungu, wachaga, wamatumbi wenzangu, ndugu zangu nk.
Woote wanasema, "mzee tupige dili, au au unataka kufa masikini ?, hicho kikorola chako utakaanacho mpaka lini?"
Jibu langu sikuzote limekuwa NO.

Hapa kahuna suala la asili, ni tamaa mbaya, udhaifu na ubinafsi tu.

Somo 2:
Katika pitapita zangu za maisha pia nimepata kijifunza kwa baadhi ya familia za kitanzania zenye asili ya kiasia wanavyo endesha maisha.
Wakati mimi na jamaa zangu tupo tabata tunachoma kiti moto kwa bia, wao wanakula chakula bora, wanabajeti hela kwa ajili ya kesho na maendeleo ya familia. Ilifikia sehemu bosi wangu "mmatumbi" mwezangu akaniambia, "Kijana, kwa mtindo huu wa maisha huwezi fanikiwa, wee kila siku bia bia, nyama, nyama"
Nikaamua kubadilika, sasa nina korola limited.

Hitimisho:

Tuwe na ujasiri wa kukabiliana na changamoto za maisha, sii kulialia na kijenga chuki zisizo na mashiko.
Ufisadi, uhujumu uchumi, ubabe, ulafi, ulangai, wizi, ujambazi, ufala, uzandiki, ubinafsi, ukware, ututusa, uzembe, ujinga, upumbavu nk hauna asili.

Tafakari !
 
Back
Top Bottom