Azim Dewji: Hongera zako kwa NHC Kwetu Wamatumbi furaha na ahueni

wahindi tanazania hawafiki laki moja na nusu..ukichanganya na waarabu hawafiki laki mbili

na wapo weeengi tu ambao ni walala hoi kabisaaa.......na hata huko mbagala na tandika wapo

na wengine wanaishi singida,rufiji na sumbawanga.....

tuache kuwaonea.......na kuwabagua.......eti waolewe na waafrica......

mbona wengi wapo walioana na waafrica??????/

lakini kwani lazima????????

mbona wapo waswahili hawata kuoana na wachaga au wahaya???????/

tuacheni wivu na akili finyu.......hizo nyumba za upanga na city centre ni uchafu tu.......wapewe ikibidi.....

tuna ardhi teeele...


kama sisi tunaweza tujenge zingine tuuziane waswahili nzuri kuzidi hizo.....

wao wana haki kudai nyumba hizo ambazo babu zao walijenga hata kama ni nyakati za ukoloni na ubaguzi....but wao wana mchango wao pia

Suala la nyumba za NHC na wahindi linatatanisha sana. Mi nadhan ifike mahali rasilimali za nchi zitunufaishe wote kwa kwa usawa, wahindi hadi sasa wamekuwa ni wafaidika wa kubwa ktk hizo nyumba kiasi kwamba wamejisahau na kuona ni haki yao kuzeekea humo. Ifike wakati na wao waone aibu na ikibidi wawapishe na wengine waonje matunda ya uhuru. Mi nadhani ingekuwa vyema na wao waje kujenga huku tunapoishi watanzania wenye asili ya kimatumbi waone ilivyo raha kuishi umatumbini.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Hebu tuambie wewe mtetezi wa mabwanyenye wa kiasia ni wamatumbi wangapi wanaokaa kwenye hz nyumba za NHC mmh! Maana unaibua hoja nzuri lkn zenye chuki za wazi hv magabachori hawa wanaorigharimu taifa hili kwa matendo mengi yasiyofaa, pasi huruma kwa kutunyonya na mambo kedekede... Kuna ubaya gan magabachori kuishi kimanzichana mmh! Aise inasikitisha mtu kuona mtu analilia usawa lkn yeye n baguzi namba moja achen kumsingizia nyerere..

Kwanza hao magabachori hata kodi za biashara hawalipi, ukiingia dukani utasikia ipo taka na risiti au bila risiti! Ukisema na risiti utasikia basi hii TV 600,000?= ukisema basi sitaki risiti utasikia basi leta 400,000/= . je mtanzania wa kawaida anayekusanya hiyo pesa kwa mika miwili anunue TV atafanya option gani?? Magabachori wezi tu, Ni haki waulizwe upya wanalipa kiasi gani hizo nyumba. Haiwezekani mtu anakaa City centre kodi ya nyumba vyumba vitatu analipa elfu arobaini!!!! Wakati hati Mojore nyumba ya vyumba vitatu ni laki nne!!!
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Ndiyo, huyo DG wa NHC ni chapa kazi, etc. lakini he was a little bit naïve to include race in that survey. Race (and religion as well) are very sensitive issues for minorities everywhere. Ningekuwa mimi ningekubali nimekosea ili yaishe. Tatizo siku hizi watu wooote wenye madaraka hawakubali kukosea hata kama kosa liko wazi.
 
Kuna mtu anaweza kuniambia: zamani za mkoloni na mara baada ya uhuru Wahindi na Waarabu walikuwa wakiishi hata vijijini na Waafrika, lakini siku hizi siyo hivyo? Kitu gani kilitokea hapa katikati?
 
  • Thanks
Reactions: DSN
ww idiot mkubwa toa mfano wa ndoa ya mhindi na mswahili nyie ndio wabaguzi wakubwa!! kajenge ya kwako canada tuachie tz yetu wakuja ww!!, na mshahara ni makubaliano na siri ya muhusik!a peleka ****** yako nawe ukalipwe hizo pesa, hivi nyie wahindi mnaakili kweli? mwalimu gani au nurse gani anae kaa upanga?
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Mkuu DSN,
Bahati mbaya majibu yako yameonesha kuwa you are not only an ordinary fan, but a rather fanatic supporter of the new NHC Director General. Why is that, you know better?

Kwanza kabisa ilibidi DG wa NHC atambue na aelewe misingi ya Baba wa taifa kutaifisha majumba haya, ambapo mengi yake wamiliki ni watu wenye asili ya kiasia. Sababu kuu ilikua ni kuwapatia wananchi affordable housing na kuondoa unyonyaji wa makabaila.

Lakini la pili, Mwalimu alikua siku zote za maisha yake akiupinga UKABURU. Kwake yeye ukaburu ulikua ni ubaguzi wa rangi wa aina yeyote. Na ndiyo maana kwenye miaka ya '70s majeshi ya Kitanzania yalipelekwa nje ya mipaka yetu kupigania ubaguzi wa rangi. Na Mwalimu mwenyewe alikua na mawaziri wa kiasia kwenye baraza la mawaziri kwa kipindi kirefu tu. Amir Jamal ni mmoja wa mawaziri aliyesimamia "industrialization" ya Tanzania kwa ufanisi mkubwa kabla ya mchwa hawajaingia na kumaliza mashirika yetu miaka ya 70s. Hizi form za kujaza rangi ya ngozi ya mtu alizointroduce DG wa NHC na Rubber Stamp Board yake zinaturudisha nyuma, maana inasemekana alihandpick na kufacilitate uwepo wa idadi kubwa ya members wa Board ili iwe a True Rubber Stamp Board.

Inaelekea huyu DG wa NHC halitambui hili kwa vile ni bwana mdogo sana na haijui historia au hazipendi tu sera za usawa Mwalimu alizokua anapigania mpaka kufa kwake.

Cha kushngaza hakuna sehemu uliyocomment kama Azim Dewji nilivyomnukuu akisema, DG wa NHC mshahara wake kwa mwezi ni ZAIDI ya Millioni Ishirini, hii inaashiria mshahara wa huyu mtu upo pegged to the dollar ndio maana hautajiki kutokana na flactuations za USD market. Sasa hapa naomba bwana DSN "mtetezi wa wamatumbi" utufafanulie. Kama hata maKatibu wakuu mshahara haufiki millioni 3 kwa mwezi, kuna justification gani ya kumlipa mtu mmoja ZAIDI ya millioni 20 kwa mwezi?? Ina maana hicho kipaji cha uongozi ni kipaji gani cha kipekee kiasi kwamba hiyo kazi ingetangazwa kwa mshahara wa Millioni 7(mara mbili ya Katibu Mkuu) ingekosa watu?

Matokeo yake ni haya tunayoyaona. Huyu DG yupo totally out of touch na realities za maisha ya mtanzania wa kawaida. Na ukizingatia alitokea kwenye private banks ambako wanalipana vizuri, haelewi unapomwambia mapendekezo ya kodi ya Shs laki 5 kwa mwezi kwa mtanzania wa kawaida ni kitendawili kuzipata.

Tatizo ninaloliona ni kuwa Board ya NHC nayo ni kama rubber stamp za Management. Wakishaandaliwa visafari vya nje hapa na pale wanasahau kabisa wajibu wao wa kuisimamia management katika kuliendesha shirika, ili lisitoke kwenye misingi ya kuanzishwa yake. Kwa NHC inapoelekea sioni itakua na tofauti gani na makampuni mengine ya for profit real estate business. Kinyume kabisa na nia ya uanzishwaji kwake. Halafu hizo forms za kutaja rangi ya ngozi, jamani msiige mataifa ya nje kila kitu. Kule misingi ya constitution zao imejikita deep sana, na kila raia anajua haki zake. Huku kwetu kama kila landlord akiamua kujua rangi, baadae itakuja kuwa kabila, baadae dini, then you know where it will end. The board at NHC should immediately intervene and stop this NONSENSE!... Kwani wao NHC wamekua immigration au polisi au national sensus?

Ningekua mshauri wa DG wa NHC, kama DSN unavyoonekana kuwa karibu yake, ningemshauri akumbuke kuwa kuna ma nurse, walimu wa sekondari, madaktari ambao take home zao zinarange kati ya laki mbili kwa mwezi, na laki 7 kwa mwezi, nao ni watanzania, na wana haki ya makazi bora. Na hiyo ni total take home, haujaweka fees za watoto na mahitaji mengine muhimu. Sasa unapomwambia mtu alipe laki 5 unamaana walengwa wako watabaki kuwa watanzania wa kawaida au watanzania wenye nuru tu.

I dont care kama hakuna mmatumbi hajalalamika(sababu hatuna utamaduni wa kuandika) bali natizama content na substance ya mlalamikaji. Na kwa hili laubaguzi wa rangi kwa wapangaji wa NHC na marekebisho ya kodi, namuunga mkono Azim Dewji.

Si kila mtanzania analipwa ZAIDI ya millioni 20 kama anazolipwa DG wa NHC.




ww idiot mkubwa toa mfano wa ndoa ya mhindi na mswahili nyie ndio wabaguzi wakubwa!! kajenge ya kwako canada tuachie tz yetu wakuja ww!!, na mshahara ni makubaliano na siri ya muhusik!a peleka ****** yako nawe ukalipwe hizo pesa, hivi nyie wahindi mnaakili kweli? mwalimu gani au nurse gani anae kaa upanga?
 
Typical mind set ya wamatumbi wenzangu "Blame all others for your woes BUT yourselves". Hivi kuna muhindi alishawahi kuwa gavana BoT? Kwenye mabenki NBC, CRDB, TIB enzi hizo(najua bwana mdogo unaona kama naongea kichina hapa). Kuna muhindi yeyote amewahi kuwa rais au waziri mkuu, au waziri au katibu wakuu tangu Mwalimu aondoke madarakani?

Mbona ufisadi ndiyo umeongezeka mara millioni? signatories wote ni wamatumbi wenzetu lakini kama kawaida yetu ya uvivu wa kufikiri na akili za Mtikila,- just point the finger where its easy to score points. Grow up dude, acha story na misconceptions za vijiweni, tumia akili hiyo kuja matatizo yetu hasa yako wapi.

we alwatan ni muhindi wewe. Unawatetea wenzio tu. Hata kama hakuna watawala wa kihindi humu, mambo wanayoyafanya yanapendeza? Kwa nini hawachanganyiki na jamii ya wazawa? Kwa nini kama ni watanzania hawapo kwenye utendaji serikalini kama polisi? Kwa nini warundikane tu katikati ya miji? Mhindi ana uchungu gani na hii nchi? Hawa watu wana dharau na ni wabaguzi sana. Binafsi nisingependa kuona wahindi wakiuziwa hizi nyumba. Kwa nini wasijenge zao? Tena kwa nini wasijitanue hadi nje ya miji?
Nasikia wahindi wamekuwa wengi sana kwenye hayo majengo ya msajili hadi wanapeana shift za kulala. Wahindi ni wenzetu, lakini wasipoishi kama sisi hatuwezi kuwaona wana maana hata kidogo.
Wanachofanya ni kuwarubuni viongozi kwa fedha zao haram. Hakuna anayekataa pesa japo ni chafu. Wakajenge nje ya miji
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Topic ilikuwa ni NHC sasa naona emegeuka kuwa mambo ya kuoa wahindi. Huyo mhindi si mpaka akupende ndio umuoe au unataka akuoe ili aonekane mtanzania wa kweli?

Mbona sie wasukuma tunapata tabu sana kukubaliwa na wachaga?
 
Mkuu DSN,
Bahati mbaya majibu yako yameonesha kuwa you are not only an ordinary fan, but a rather fanatic supporter of the new NHC Director General. Why is that, you know better?

Kwanza kabisa ilibidi DG wa NHC atambue na aelewe misingi ya Baba wa taifa kutaifisha majumba haya, ambapo mengi yake wamiliki ni watu wenye asili ya kiasia. Sababu kuu ilikua ni kuwapatia wananchi affordable housing na kuondoa unyonyaji wa makabaila.

Lakini la pili, Mwalimu alikua siku zote za maisha yake akiupinga UKABURU. Kwake yeye ukaburu ulikua ni ubaguzi wa rangi wa aina yeyote. Na ndiyo maana kwenye miaka ya '70s majeshi ya Kitanzania yalipelekwa nje ya mipaka yetu kupigania ubaguzi wa rangi. Na Mwalimu mwenyewe alikua na mawaziri wa kiasia kwenye baraza la mawaziri kwa kipindi kirefu tu. Amir Jamal ni mmoja wa mawaziri aliyesimamia "industrialization" ya Tanzania kwa ufanisi mkubwa kabla ya mchwa hawajaingia na kumaliza mashirika yetu miaka ya 70s. Hizi form za kujaza rangi ya ngozi ya mtu alizointroduce DG wa NHC na Rubber Stamp Board yake zinaturudisha nyuma, maana inasemekana alihandpick na kufacilitate uwepo wa idadi kubwa ya members wa Board ili iwe a True Rubber Stamp Board.

Inaelekea huyu DG wa NHC halitambui hili kwa vile ni bwana mdogo sana na haijui historia au hazipendi tu sera za usawa Mwalimu alizokua anapigania mpaka kufa kwake.

Cha kushngaza hakuna sehemu uliyocomment kama Azim Dewji nilivyomnukuu akisema, DG wa NHC mshahara wake kwa mwezi ni ZAIDI ya Millioni Ishirini, hii inaashiria mshahara wa huyu mtu upo pegged to the dollar ndio maana hautajiki kutokana na flactuations za USD market. Sasa hapa naomba bwana DSN "mtetezi wa wamatumbi" utufafanulie. Kama hata maKatibu wakuu mshahara haufiki millioni 3 kwa mwezi, kuna justification gani ya kumlipa mtu mmoja ZAIDI ya millioni 20 kwa mwezi?? Ina maana hicho kipaji cha uongozi ni kipaji gani cha kipekee kiasi kwamba hiyo kazi ingetangazwa kwa mshahara wa Millioni 7(mara mbili ya Katibu Mkuu) ingekosa watu?

Matokeo yake ni haya tunayoyaona. Huyu DG yupo totally out of touch na realities za maisha ya mtanzania wa kawaida. Na ukizingatia alitokea kwenye private banks ambako wanalipana vizuri, haelewi unapomwambia mapendekezo ya kodi ya Shs laki 5 kwa mwezi kwa mtanzania wa kawaida ni kitendawili kuzipata.

Tatizo ninaloliona ni kuwa Board ya NHC nayo ni kama rubber stamp za Management. Wakishaandaliwa visafari vya nje hapa na pale wanasahau kabisa wajibu wao wa kuisimamia management katika kuliendesha shirika, ili lisitoke kwenye misingi ya kuanzishwa yake. Kwa NHC inapoelekea sioni itakua na tofauti gani na makampuni mengine ya for profit real estate business. Kinyume kabisa na nia ya uanzishwaji kwake. Halafu hizo forms za kutaja rangi ya ngozi, jamani msiige mataifa ya nje kila kitu. Kule misingi ya constitution zao imejikita deep sana, na kila raia anajua haki zake. Huku kwetu kama kila landlord akiamua kujua rangi, baadae itakuja kuwa kabila, baadae dini, then you know where it will end. The board at NHC should immediately intervene and stop this NONSENSE!... Kwani wao NHC wamekua immigration au polisi au national sensus?

Ningekua mshauri wa DG wa NHC, kama DSN unavyoonekana kuwa karibu yake, ningemshauri akumbuke kuwa kuna ma nurse, walimu wa sekondari, madaktari ambao take home zao zinarange kati ya laki mbili kwa mwezi, na laki 7 kwa mwezi, nao ni watanzania, na wana haki ya makazi bora. Na hiyo ni total take home, haujaweka fees za watoto na mahitaji mengine muhimu. Sasa unapomwambia mtu alipe laki 5 unamaana walengwa wako watabaki kuwa watanzania wa kawaida au watanzania wenye nuru tu.

I dont care kama hakuna mmatumbi hajalalamika(sababu hatuna utamaduni wa kuandika) bali natizama content na substance ya mlalamikaji. Na kwa hili laubaguzi wa rangi kwa wapangaji wa NHC na marekebisho ya kodi, namuunga mkono Azim Dewji.

Si kila mtanzania analipwa ZAIDI ya millioni 20 kama anazolipwa DG wa NHC.


Hakika Alwtan umenitumu mimi na dhidi ya DG wa NHC,sina sababu yoyote y kuzuia wewe kunituhumu kwa kuwa hata ID yako inatosha kusema wewe ni aina gani ya muelewa.
Naomba kujua definition ya ID yako yaani Alwatan?
Manake ninavyojua mimi neno Alwatan uwepo wake na mazingira yake upatikana kwenye maeneo ya miji yetu mikuu na uzungukwa na kada hiyo hiyo inayomtuhumu DG wa NHC na management yake.Uwezi kumkuta mwenye jiina la ID yako kazungukwa na wamatumbi bali mtu anapokuwa na jina la ID yako uzungukwa na Watanzania wenye asili ya Kiasia na Waarabu,sema hapana kisha iiache nafsi yako izungukwe na guilt conscious kuwa haiba yako ni aina hiyo ya watanzania wenzetu wenye asili ya bara la asia.

Usishupalie azimio la Arusha wakati unajua ukweli ulio wazi kuwa ukoloni uliendesha utawala wake chini ya msingi ya madaraja [class] ambalo kulikuwa na dalaja la kwanza [Wazungu] dalaja la pili [Waarabu na Waasia] dalaja la tatu [Wamatumbi].Baada ya Mwalimu kuchua madaraka hakukulupuka kunationalize bali alitizama mwenendo mzima wa kulijenga Taifa katika misingi ya haki [Reality] tena kwa kuzingatia uzoefu wake wa maisha yake kama Mwalimu kitaaluma.

Hivyo kuondoa madaraja ambayo ilikuwa ni halali kwa baadhi ya wanajamii ambao kwa madaraja hayo walipata FULSA kupitia mfumo wa kikoloni kufaidika kiuchumi na kuwapa nafasi ya kuhodhi mali chini ya mfumo wa kikoloni na kupitia ukweli huo tayari katika uzoefu huo kama ni mashinadano ya mbio mita mia tayari Waasia na Waarabu wakiwekwa kwenye running track na Wamatumbi na kengere ya on your mark inapopigwa.Ile kutamkwa on your Mark and get ready tayari Waasia na Wahindi walikuwa kwenye running track mita hamsini [50 Metres].mwalimu kwa kuliona hilo na kupitia historia sahihi ya maisha ya ubaguzi uliojengwa kupitia wakoloni ikabidi asimamie show kamili ambayo ina fair play kwa pande zote kitaifa.

Kwa hiyo bidii za Mwalimu ziko pale pale tena kupitia misingi yake hiyo tumekuwa na Wanzania wenye asii ya kiasia ambao walidiliki kutoa makampuni yao kisha wao kugeuka kuwa MACEO wa makampuni hayo.Lakini kupitia baadhi ya Wamatumbi baada ya Mwalimu Kungatuka wamelubunika na kuludi kule kule Mwalimu alikotutoa ukiwagusa wanakurupuka na kelele za UBAGUZI,wakati baadhi yao wamegeuka wao kuwa the FIRST CLASS CITIZEN,na WAHINDI NA WAARABU THE SECOND CLASS CITZEN na MAJORITY MATUMBI KUWA THE THIRD CITIZEN CLASS.


USITETE UJINGA acha ukweli uzungukwe na ukweli swala la msharaha wa milioni ishirini [20 mil] kwa DG.Haya mambo yako wazi ile ni Agency ya Serikali yenye mamlaka yenye maamuzi yanayojitosheleza yani maamuzi yanayojotegemea binafsi kama taasisi.Na kama taasisi ina mamlaka yake yenye uwezo wa kujipangia maamuzi yake binafsi kukidhi uitaji wa Shirika husika basi Serikali ya Wananchi haina sababu ya kutia mkono kuchokonoa maamuzi iliyojipangia kama taasisi [Institution].Hivyo Mshahara wa DG huyo sio swala la kitaifa bali ni swala la shirika kukidhi uitaji na matakwa ya taasisi au kampuni husika.Hivyo kuligeuza Shirika la Nyumba kuwa sio taasisi yenye mamlaka na hivyo Wananchi ndio wapange mshahara wa DG huyo uko ni kukiuka sheria na utaratibu wa kuanzishwa kwa shirika hilo na hivyo kuwa na mashirika yale yale ya kijima na yasiyo na ufanisi.

Mimi kama Mtanzania mwenye asili ya kimatumbi nina simamia kuona ukweli wa mafanikio ya shirika la NHC kama ni faida ya TAIFA.Na vivyo hivyo Mtanzania mwenye asili ya Kiasia au Kiaarabu anaweza kuwa anakusuidi hilo au la.Siwasemei kama unavyowasemea wewe ninachojiuliza hivi kuna nini? hasa kinachokuzwa kihiiivyo kuhusu swala la Waasia na Waarabu kupigia kelele swali la FORM ya NHC?

Hakika Mkurugenzi [DG] wa NHC Mr Mchechu amesaidia kutufumulia mengi sana tujifunze kupitia taarifa nyingi za matajiri wenye asili ya Kiasia wanazotoa kuhusu NHC, na hii ni picha kuwa tuna Watanzania wanaotaka kuhalalisha kuitwa Watanzania kwa majina na sio kwa uzalendo wa Taifa lao.

Hivi mkuu mtaani kwenu au kaka yako au binamu yako yupi kaolewa na Mtanzania Mwenye asilia ya Asia.Lakini nikikiuliza ukoo wenu walioa au kuolewa na mzungu hakika sikosi jibu kuwa wamejaa tele,tena siku hizi mpaka wabongo walioa ama kuolew na wachina wamejaa tele hata mtaani kwetu wapo siku hizi.Tusishabikie dhana ya kuwa kuna ubaguzi tuangalie faida za kitaifa.
 
Typical mind set ya wamatumbi wenzangu "Blame all others for your woes BUT yourselves". Hivi kuna muhindi alishawahi kuwa gavana BoT? Kwenye mabenki NBC, CRDB, TIB enzi hizo(najua bwana mdogo unaona kama naongea kichina hapa). Kuna muhindi yeyote amewahi kuwa rais au waziri mkuu, au waziri au katibu wakuu tangu Mwalimu aondoke madarakani?

Mbona ufisadi ndiyo umeongezeka mara millioni? signatories wote ni wamatumbi wenzetu lakini kama kawaida yetu ya uvivu wa kufikiri na akili za Mtikila,- just point the finger where its easy to score points. Grow up dude, acha story na misconceptions za vijiweni, tumia akili hiyo kuja matatizo yetu hasa yako wapi.

Du Alwatani [barozi wa Watanzania Wenye Asili ya Kiasia] fanya utafiti kisha uzungumze mkuu,manake inavyoonyesha unawawakilisha huku undani wao unauvalisha mask.Waitumikie Seriikali hipi hiyo? hii ya Rais Kikwete [Jamhuri ya Muungano wa Tanzania] ambayo wao sio yao bali ni kampuni ya kuchumia fedha za kutajilikia.

Fanya utafiti ndio ludi kuwatetea na kama unajua unajenga kutubomoa.
 
Ukwahili naungana na Azim Dewji, kwani kama kuuza hizo nyumba wauziwe wapangaji na dodoso ya kuuliza race ya mpangaji ni UKABURU TU!!!! Muhimu ni kuwa kama wao NHC wanahitaji kujenga nyumba si kubomoa Dar ya kale (Upanga) wajenge dar Mpya yenye miundo mbinu ya kutosha hapo leo ukijenga maghorofa zaidi patakuwa over populated na miundo mbinu kama barabara , maji taka, umeme na majisafi hayataweza kutosha, Angalia Jengo la Benjaminin Mkapa tower linatumia umeme MW6 karibu sawa na matumizi ya mkoa wa Mtwara sasa ukiruhusu majengo mengi ya aina hiyo umeme utakuwa hautoshi labda kujenga sub station nyingine au kuongeza njia za umeme ni bora hizo hela zao wapeleke kujenga nwe Dar

Haya kwako ni Mambo mapya na mageni [mashikolomageni] na kwa haiba ya watu wenye ID yako jifunze faida
 
Siwezi kutetea ubaguzi wa aina yoyote lakini ni muhimu tutambue kwamba hawa watanzania wenzetu wenye asili ya asia ndio wanatubagua na kujibagua.

Kama dhana ya kuanzishwa NHC ni kuwafaa watnzania wa kawaida,chukulia mfano alotaja alwatan hapo juu, basi anachofanya mchechu namuunga mkono na nitaendelea kumuunga mkono.

Hivi azim dewji huyu mwenye kumiliki makampuni mengi hapoa mjini naye bado amebanana kwenye nyumba za NHC? kwahiyo tuseme kwamba naye ni mtu wa chini asiyeweza kujenga hadi akalilie nyumba za NHC!

Watanzania wengi wenye asili ya kiasia na kiarabu wako vizuri, wanafanya biashara kubwa kubwa na wanamiliki majumba hapa mjini wameyapangisha kwa pesa nzuri halafu bado wanang'ang'ania kuendelea kukaa nyumba za makabwela.

Nafahamu kuna wachache wasio na uwezo mkubwa hao wanastahili kuendelea kukaa humo lakini wengi lazima watoke waende kwenye mabungallow yao.

Azim Dewji alisema wazi yeye sio mkazi wa nyumba hizo za NHC ila hakusema kama ndugu zake pia sio wakazi wa Nyumba hizo za NHC
 
Dewji alishakua na nyumba miaka ya 90's tena alipangisha balozi wa marekani,shame on him kung'ang'ania nyumba za working class while he can afford even to buy a house in the US!
Hwana lolote hao akina Dewji... wajenge nyumba waishi, wawaachie wasio na uwezo wakae kwenye hizo nyumba za NHC. Ni aina kwa mtu kama Dewji kuanza kulilia nyumba za bei nafuu
 
Kuna mtu anaweza kuniambia: zamani za mkoloni na mara baada ya uhuru Wahindi na Waarabu walikuwa wakiishi hata vijijini na Waafrika, lakini siku hizi siyo hivyo? Kitu gani kilitokea hapa katikati?[/QUOTE]

Mkuu swali hili zuri sana kwa Kuwa Barozi wa Watanzania Wenye Asili ya Kiasia yupo Mr Alwatan anaweza kutusaidia kujua kuhusu swali hili.
 
Ni jambo la kushangaza sana na kutia shaka nia na madhumuni ya hawa ndugu zetu 'ASIANS' minorities juu yetu SISI majority but poor,wakati ni dhahiri wao ndio wanaomiliki UCHUMI mkubwa wa nchi hii bado hawawezi kuwa huru na friendly kujumuhika na wenzao kujenga na kuishi kwenye makazi mchanganyiko ili kuondoa tofauti na dhana ya kubaguana?
 
Huyu Dewji atueleze haya:
  1. Kwa nini hakuna askari wa kihindi katika majeshi yetu? je wanabaguliwa kujiunga? na je wao hawanufaiki na ulinzi?
  2. Kuna wafanyakazi wangapi wa asili yake katika utumishi wa umma?
  3. Kuna wafungwa wangapi magerezani wenye asili ya kihindi? je wao hawavunji sheria?
  4. Kuna wahindi wanagapi wanaolazawa kule AMANA?
 
Back
Top Bottom