#COVID19 Azim Dewji amvaa Gwajima sakata la chanjo, amwambia ana akili ya kuhubiri siyo Sayansi

Azim Dewji: Tunasema kwamba, kazi kubwa ya mkuu wa Dini ni kuongoza waumini wake sio kuwapotosha, unazungumza maneno ya kuwapotosha waumini na kuleta taharuki kwenye Jamii, hiyo haifai kabisa na isiendelee kufanyika hivyo, sisi hatutakubali.

Kwa njia moja au nyingine unawatukana waliobobea kwenye fani hiyo kwamba kamati iliundwa, waliofanya utafiti wewe unawaona hawana akili. Saa nyingine naweza kusema labda wewe ndio huna akili ya sayansi, wewe labda una akili ya kuhubiri peke yake kwa hiyo usijaribu kuwatukana wenzako.

Mwisho Azim amemwambia mchungaji Gwajima amuheshimu Rais na kiongozi wa chama ambacho kimemlea na kumpatia ubunge kwani bila chama cha CCM asingepata ubunge na wengine kama yeye hajampigia kura Gwajima bali alipigia chama.

PIA, Soma> Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama


ana akili ya kuhubiri majitu yasiyojitambua, misukule, majitu yanapumua lakini ni kama maiti, hayajitambui
 
Azim Dewji: Tunasema kwamba, kazi kubwa ya mkuu wa Dini ni kuongoza waumini wake sio kuwapotosha, unazungumza maneno ya kuwapotosha waumini na kuleta taharuki kwenye Jamii, hiyo haifai kabisa na isiendelee kufanyika hivyo, sisi hatutakubali.

Kwa njia moja au nyingine unawatukana waliobobea kwenye fani hiyo kwamba kamati iliundwa, waliofanya utafiti wewe unawaona hawana akili. Saa nyingine naweza kusema labda wewe ndio huna akili ya sayansi, wewe labda una akili ya kuhubiri peke yake kwa hiyo usijaribu kuwatukana wenzako.

Mwisho Azim amemwambia mchungaji Gwajima amuheshimu Rais na kiongozi wa chama ambacho kimemlea na kumpatia ubunge kwani bila chama cha CCM asingepata ubunge na wengine kama yeye hajampigia kura Gwajima bali alipigia chama.

PIA, Soma> Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Tunataka mumjibu Askofu Gwajima kwa majibu ya tafiti zenu mlizofanya ambazo tunajua hamna uwezo wa kufanya tafiti bali mnadandia tu, Azim Dewji acha udalali wa hizo chanjo kwenye afya zetu
 
Yaani nikikumbuka ile video yake ya ngono. Yale mauno. Mzinzi mkubwa huyu.
  • Ana hela mfukoni ya kununua treni
  • Ana hela ya kuwapeleka wananchi wote wa Jimbo la Kawe Marekani na Ulaya
  • Ana hela ya kuwanunulia vijana wote wa Jimbo la Kawe maboti ya kisasa ya uvuvi.
  • Anauwezo wa kumfufua Amina Chifupa
 
Gwajima anapaswa atoke hadharani awaombe Radhi watanzania. vinginevyo atawajibika kwa kauli zake za upotoshaji wakati Taifa lipo ktk mapambano ya janga hili la korona.
 
Magufuli alikuwa na wafuasi wengi sana ingawa pia alikuwa na siasa mbaya sana.

Nilileta uzi hapa nikasema yeyote atakayekuwa na ujasiri wa kusimama na kuziendeleza siasa zake ana nafasi ya kufanikiwa sana kisiasa ingawa mfumo unaweza kumnyamazisha. Nadhani Rais Samia angependa kutoka katika mambo mengi ya Magufuli lakini anajua ombwe atakaloacha, yoyote anaweza kuja kuliziba ikamleta shida.

Mtu yoyote akijipanga na akawa ambitious kupata faida za kisiasa kupitia jina la Magufuli anaweza kutikisa nchi. Ila inabidi ajipange hasa maana wengi pia waliumizwa na siasa zake.
 
Magufuli alikuwa na wafuasi wengi sana ingawa pia alikuwa na siasa mbaya sana.

Nilileta uzi hapa nikasema yeyote atakayekuwa na ujasiri wa kusimama na kuziendeleza siasa zake ana nafasi ya kufanikiwa sana kisiasa ingawa mfumo unaweza kumnyamazisha. Nadhani Rais Samia angependa kutoka katika mambo mengi ya Magufuli lakini anajua ombwe atakaloacha, yoyote anaweza kuja kuliziba ikamleta shida.

Mtu yoyote akijipanga na akawa ambitious kupata faida za kisiasa kupitia jina la Magufuli anaweza kutikisa nchi. Ila inabidi ajipange hasa maana wengi pia waliumizwa na siasa zake.

Kuongezea tu, Magufuli hakufanya mambo mapya sana kisiasa tofauti na ambayo CCM wamekuwa wanafanya kabla yake.

Kuongea lugha za kuwagawa Watanzania kwa matabaka na lugha za kuwatisha Watanzania kuhusu mabeberu na vibaraka wao, ni njia 'very effective' katika siasa zetu maana mifumo yetu ya jamii na elimu inatuandaa kukubali propaganda hizo.

Niamini nikikwambia, CCM wameweka pause tu kwa muda ila hawatakuja kuacha siasa za kuwagawa Watanzania kwa matabaka na kuwatisha kuhusu mabeberu.
 
Kwanini yeye(Gwaji boy) amepinga hiyo chanjo kwa kutumia facts za kisayansi au amesema tu hachanjwi bila ya kutoa sababu za kitaaluma.
Hivi alivyochanjwa ndui utotoni wazazi wake walitumia sayansi ipi mpaka wakakubali achanjwe? Je ilimdhuru?
Uoga wake wa chanjo ni bora akafafanua kisayansi ili wenye akili timamu wachambue mbivu na mbichi kutoka kwenye 'utafiti' wake au kama huyo 'Askofu' Gwajima amefunuliwa na bwana kupitia malaika wake basi pia hana budi kutuhabarisha.
 
Kwanini yeye(Gwaji boy) amepinga hiyo chanjo kwa kutumia facts za kisayansi au amesema tu hachanjwi bila ya kutoa sababu za kitaaluma.
Hivi alivyochanjwa ndui utotoni wazazi wake walitumia sayansi ipi mpaka wakakubali achanjwe? Je ilimdhuru?
Uoga wake wa chanjo ni bora akafafanua kisayansi ili wenye akili timamu wachambue mbivu na mbichi kutoka kwenye 'utafiti' wake au kama huyo 'Askofu' Gwajima amefunuliwa na bwana kupitia malaika wake basi pia hana budi kutuhabarisha.
 
Kwanini yeye(Gwaji boy) amepinga hiyo chanjo kwa kutumia facts za kisayansi au amesema tu hachanjwi bila ya kutoa sababu za kitaaluma.
Hivi alivyochanjwa ndui utotoni wazazi wake walitumia sayansi ipi mpaka wakakubali achanjwe? Je ilimdhuru?
Uoga wake wa chanjo ni bora akafafanua kisayansi ili wenye akili timamu wachambue mbivu na mbichi kutoka kwenye 'utafiti' wake au kama huyo 'Askofu' Gwajima amefunuliwa na bwana kupitia malaika wake basi pia hana budi kutuhabarisha.
 
Mbona sakata la mdogo wake hakujitoa kimaso maso kutujuza alikuwa wapi na walikubaliana nini hadi wakaibukia home kwao kupata break fast ya nguvu.
 
Baki nae hadi siku atakapo mfufua mama yake Kama alivyodai
Gwajima ana utaalamumu gani wa bailogia na kemia achilia mbali viriology ?
Nyie subirini hekaya zake Kama hutaki chanjo nani kakulazimisha?
Viriology Nini? Eti na wewe ni mtaalamu 🤣🤣🤣🤣
 
Azim Dewji: Tunasema kwamba, kazi kubwa ya mkuu wa Dini ni kuongoza waumini wake sio kuwapotosha, unazungumza maneno ya kuwapotosha waumini na kuleta taharuki kwenye Jamii, hiyo haifai kabisa na isiendelee kufanyika hivyo, sisi hatutakubali.

Kwa njia moja au nyingine unawatukana waliobobea kwenye fani hiyo kwamba kamati iliundwa, waliofanya utafiti wewe unawaona hawana akili. Saa nyingine naweza kusema labda wewe ndio huna akili ya sayansi, wewe labda una akili ya kuhubiri peke yake kwa hiyo usijaribu kuwatukana wenzako.

Mwisho Azim amemwambia mchungaji Gwajima amuheshimu Rais na kiongozi wa chama ambacho kimemlea na kumpatia ubunge kwani bila chama cha CCM asingepata ubunge na wengine kama yeye hajampigia kura Gwajima bali alipigia chama.

PIA, Soma> Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama


MZEE DEWJI HUYU BWANA AKISEMA.ATAKAEMPINGA NA KUSHADADIA CHANJO ANAENDA USHAURI TU WE TULIA MZEE USITUPE SHIDA KWENYE MIRATHI YAKOO
 
Azim Dewji: Tunasema kwamba, kazi kubwa ya mkuu wa Dini ni kuongoza waumini wake sio kuwapotosha, unazungumza maneno ya kuwapotosha waumini na kuleta taharuki kwenye Jamii, hiyo haifai kabisa na isiendelee kufanyika hivyo, sisi hatutakubali.

Kwa njia moja au nyingine unawatukana waliobobea kwenye fani hiyo kwamba kamati iliundwa, waliofanya utafiti wewe unawaona hawana akili. Saa nyingine naweza kusema labda wewe ndio huna akili ya sayansi, wewe labda una akili ya kuhubiri peke yake kwa hiyo usijaribu kuwatukana wenzako.

Mwisho Azim amemwambia mchungaji Gwajima amuheshimu Rais na kiongozi wa chama ambacho kimemlea na kumpatia ubunge kwani bila chama cha CCM asingepata ubunge na wengine kama yeye hajampigia kura Gwajima bali alipigia chama.

PIA, Soma> Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama


Nakumbuka hawa watu waliitwa GABACHORI, mimi silitumii maana sijui maana yake.

GWAJIMA alikuwa CHADEMA , alihamia CCM baada ya M-nanii wa kabila lake kumuita na kumwambia waungane na ndio maana yupo skuuma-gang inayopingana na SSH
 
Back
Top Bottom