greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,318
- 3,927
Kama wao hiyo johnson & jonosn wameikataa leo wewe ndo unaiona ni bora!!!! Kwa maabara gani ulizonazo acheni kujitoa ufahamuMkuu....
Kwa hiyo unadhani hizo chanjo zimeingia nchini na kuidhinishwa bila ya kufanyiwa tafiti?!!!
Je hakukuwa na SAMPLE iliyotumwa hapa nchini miezi kadhaa nyuma na kufuata mlolongo wa KUANGALIWA....Wataalamu wanajua....labda walimfanyia SOKWE.....
Nina imani serikali yetu adhimu haikukurupuka Kwani si mara ya kwanza KUPIMA UBORA WA CHANJO TOFAUTI.....