Bigjahman
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 841
- 421
Tawi la Azania Arusha Mjini Limeharibika sana Kiasi kwamba wateja Wanaondoka.Kero kubwa sana ni afsa mikopo Muheshimiwa sana John,Afisa uyu amekuwa akitaka rushwa kubwa sana laki tano kwa wateja wanaochukua mikopo na hajali mteja anachukua kiasi kidogo mf million tano(5) au ata pungufu ya apo.Kama mteja atatoa kiasi kidogo ama mteja huyo hatakaa apewe mkopo katika bank iyo,anaifanya bank kama yake na inashaingaza kwanini uongozi haumchukulii hatua,unakuta mteja amechukua mkopo na marejesho hajasumbua hata siku moja kwahali ya kawaida na kwa maslahi ya ya bank mteja huyo anatakiwa kupewa mkopo lakini katika tawi hili hali ni tofauti kabisa.Kwa vile mikopo inatolewa kwa manufaa ya John afisa mikopo na mteja hukuwahi hongo basi hutapewa hela ata uombeje Uongozi akiwemo Manager wanafumbia macho vitendo hivi viovu dhidi ya biashara zetu wajasiria mali,Kinachoshangaza kwa vile malalamiko ni mengi je uongozi wa tawi na makaoo makuu hawajawahi kupata tetesi hizi?Kwanini huyu afisa anafumbiwa macho akiharibu biashara ya Bank?je anashirikiana na uongozi kugawana rushwa?na kwanini uongozi haufanyi follow up kwa wateja ambao ambao siio wasumbufu kwenye marejesho maana ingekuwa rahisi kutatua tatizo hili,Natoa wito kwa uongozi ulitatue tatizo kwa kumchukulia hatua za kinidham afisa huyu maana ashakuwa sumu hata kwa wafanyakazi waadilifu baraka,binafsi nilisha mreport takukuru Arusha kumchukulia hatua mda sasa,na naomba wateja tupewe wasaa wa kutoa ushahidi ilii tuonyeshe jinsi afisa huyu anavyotisha kwa Rushwa maana box la maoni pale halina msaada.Wasalamu wateja waaminifufu wa azania bank ambao uvumilivu umewashinda pia.