Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,372
Kwanza niwapongeze Azam Tv kwa juhudi zenu za kutuletea matangazo yenye ubora.
Jumapili iliyopita nilipata tatizo la kuchelewa kurudi channel baada ya kulipia kifurushi cha Azam tv.
Sasa nilipoamua kupiga huduma kwa wateja kupita namba 0784108000 kwa mshangao niliambiwa huduma hii haipatikani Siku za weekend.
1.Hivi kweli Azam Tv mnashindwa kuweka huduma kwa wateja kwa Siku za weekend au mmeamua tu kutowajali wateja wenu?
Inawezekanaje nipate tatizo la dharura jumamosi inilazimu kusubiri mpaka Jumatatu?
2.Pia imarisheni ubora wa rimoti zenu maana vitufe vinawahi mno kuharibika hasa kile cha katikati "OK",hii nayo ni kero
Jirekebisheni kama kweli mnataka kuendana na kaulimbiu yenu ya 'burudani kwa wote"
Kero zangu ni hizo kwa leo.
Ahsante.
Jumapili iliyopita nilipata tatizo la kuchelewa kurudi channel baada ya kulipia kifurushi cha Azam tv.
Sasa nilipoamua kupiga huduma kwa wateja kupita namba 0784108000 kwa mshangao niliambiwa huduma hii haipatikani Siku za weekend.
1.Hivi kweli Azam Tv mnashindwa kuweka huduma kwa wateja kwa Siku za weekend au mmeamua tu kutowajali wateja wenu?
Inawezekanaje nipate tatizo la dharura jumamosi inilazimu kusubiri mpaka Jumatatu?
2.Pia imarisheni ubora wa rimoti zenu maana vitufe vinawahi mno kuharibika hasa kile cha katikati "OK",hii nayo ni kero
Jirekebisheni kama kweli mnataka kuendana na kaulimbiu yenu ya 'burudani kwa wote"
Kero zangu ni hizo kwa leo.
Ahsante.