ACHA UDINI!! Si ajabu nyie ndo wale wale 2015 kurudi nyuma mlikuwa mnaishabikia upinzani kwa sababu rais alikuwa Mwislamu, na baada ya Ikulu kuingia Mkristo mwenzenu mkaanza kumshabikia rais aliye madarakani kwa sababu tu ya dini yake! Pathetic!Huyu mdini Dau yuko wapi?